Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli ongea na wazee, wakuu wa Taifa! Sioni mwisho mwema kama nabii

Hakuna ugumu wowote
Woga wako tu
Sijaona was kumtetemesha Magu
Na anaishhi mioyoni mwetu
Magufuli babalaooo
JPM alidhani maflyover, mareli, ma-ndege ndio vitu vya kuombea kura. Kwa dunia ya leo hivyo vitu sio vya kutishia watu; hata watoto wanaviona kila siku kwenye Tv,simu,games nk
Watu wanataka furaha, amani, haki, heshima, shibe - kuishi bila hofu... wameyakosa haya kwa miaka mi5.
 
Njia ipi mkuu ya wizi wa kula imebumbuluka, taja moja tu. Mbili nakuendelea nitakutesa.
 
A

Ungekunywa Kvanta Na Maandazi ungerudia ufahamu wako huku uraiani tuko Powa sisi Vijana tunaojituma. Nyie BAVICHA MNAEMSUBILIA LISSU AWE RAIS AWAJAZE MAHELA AU ABADILI MAISHA MTANGOJA SANA

MAGUFULI 5 TENA
Ongera ila sisi kura zetu kwa LISSU.
 
Pambana kuokoa jahazi Mr hali mbaya.


JPM alidhani maflyover, mareli, ma-ndege ndio vitu vya kuombea kura. Kwa dunia ya leo hivyo vitu sio vya kutishia watu; hata watoto wanaviona kila siku kwenye Tv,simu,games nk
Watu wanataka furaha, amani, haki, heshima, shibe - kuishi bila hofu... wameyakosa haya kwa miaka mi5.
 
Yaani kitakachomtokea Meko kwenye uchaguzi huu, hatakaa aamini.
Ushindi mdogo wa asilimia 40! na zile sitini vyama vingine vinagawana kati ya asilimia 0 hadi 30!! Bila umoja chichiem bado wapo sana!!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Najaribu kuona hiki ulichokiandika huku mtaani lakini sioni.
Huwezi kukiona si kula kulala wewe ila tunaotaabika huku mpanda mlowoka ndio tunajua hali halisi jidanganyeni tu
 
Pole kwa msongo wa mawazo.
Uhalisia ni kwamba Magu amewakonga nyoyo wanyonge na amewaudhi majizi.
Hakuna mgonjwa yeyote atakaye sema ovyo kwa Magu.
Huo ndiyo uhalisia 91% wanampa kura ya ndiyo.
Sawa mkuu.
 
Mi mwenyewe huwa nashangaa nikifungua JF unaweza sema ni kweli ila nasomaga tu sisemi chochote ila kura ni Magu maana humu kumejaa majizi na makwepa kodi yameficha tu Id zao ila ni majizi menyewe au baba zao yanachuki kama zote.
Washakwambia kura zao zitaibiwa😂 maisha ndani ya Jf daah
 
Uwe unaambatanisha na picha unapomtaja jpm

 
hata watu waliokacha kupiga kura,ghafla wameibuka wanataka kupiga kura,kuchinja mtu
 
Yale madai ya tume huru yamayeyuka,mkipigwa chini msianze kulilia tume tena
Watu wachache hawa wezi kusumbua taifa.liwalo na liwee. Screenshoot i text kwa ukumbusho

SUBIRI KIDOGO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…