GwamahalaJR
JF-Expert Member
- Jul 18, 2019
- 414
- 767
Spanner za Lissu hizo...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Style za makonda za kujiliza liza mbele za watu.
Najiuliza hivi Rais magufuli aliwaza nini yaani mpaka akafikia stage hii?? Je ni stress?? Ni kukata tamaa??
Kuna mtaa na mtaa, ila nilichobaini wengi bado wanaogopa kwani kuna tetesi kuwa ukiropoka wanakufix.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Najaribu kuona hiki ulichokiandika huku mtaani lakini sioni
Mwana ccm gani bogus maandazi acha upambe bibiye.Yaani wewe Kilaza unataka uhilinganishe na TumainEL mwanaccm makini?
Fb ccm wengi kuliko cdmHakuna ugumu wowote
Woga wako tu
Sijaona was kumtetemesha Magu
Na anaishhi mioyoni mwetu
Magufuli babalaooo
Tuna spana za kutoshaa.mtu lazima aondoke chamwino.kesho hasipo lala chini kuomba kura sijui tuView attachment 1585080
SUBIRI KIDOGO
Kama JPM atalalazimishwa/sha kutangazwa mshindi,basi hiyo tunaita "net kontsa".Hiyo ndiyo Hali halisi. Kama JPM atashinda [emoji3064][emoji36] na akaendela na Siasa zake hizihizi....2025 hakutakuwa na CCM
Na kiukweli adui mkubwa sio CCM per se adui ni magu
Mwana ccm gani bogus maandazi acha upambe bibiye.
Pole kwa msongo wa mawazo.
Uhalisia ni kwamba Magu amewakonga nyoyo wanyonge na amewaudhi majizi.
Hakuna mgonjwa yeyote atakaye sema ovyo kwa Magu.
Huo ndiyo uhalisia 91% wanampa kura ya ndiyo.
Ebu weka na ile picha yako umevaa sikinini taiti ya pink una cheza rede na mashost zako.
Alijaza Lowasa itakuwa Lissu
Huyo zero kabisaa
Hata Rungwe anamshinda
Spanner za Lissu hizo...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Masikini...! Pamoja na magoti kuuma bado tu imebidi,
Pamoja na mnafiki kujaribu kuficha uso wake kwa aibu.
Mh. Tundu Antiphas Lissu hana huruma, anazidi kukaza tu.
View attachment 1585096
Ingawa kwa vyovyote vile dalili si nzuri ukweli bado anafichwa,
Haambiwi kina cha maji kilivyo kirefu utadhani nao wamemchoka
Labda atazinduka pale wanafiki waliomzunguka watakapoanza kutimka
Umeshawahi kuugua au kuuguliwa kipindi hiki wewe? Muogope mungu kuwa mkweli .Pole kwa msongo wa mawazo.
Uhalisia ni kwamba Magu amewakonga nyoyo wanyonge na amewaudhi majizi.
Hakuna mgonjwa yeyote atakaye sema ovyo kwa Magu.
Huo ndiyo uhalisia 91% wanampa kura ya ndiyo.
Usijidanganye, watu hawawezi kuwa huru, FB wanauza data za mtoa post ni hatari sanaFb ccm wengi kuliko cdm
Jf cdm wengi kuliko ccm.
Hii ngoma bado mbichi.
Ngoja nikaangalie instagram
Mh Rais, pole kwa mihangaiko ya kupiga kampeni ila nina neno moja juu yako usiku Waldo nalo ni siri japo sio Siri baada yakuandika hapa.
Hali inayoendelea hata tukiwa wanafiki na kuwa tumekunywa maji ya bendera mwisho pumzi zitakata na zikikata mashambulizi yatakuwa makali zaidi kuliko wakati huu tuna nguvu.
Asikudanganye mtu, hali sio hali, yani hata kama ni kwa goli la mkono, ila mtiti huu utakusumbua katk awamu yako ya pili kiasi utahisi kila mtu ni msaliti.
Kuna hali sio ya kawaida huku uraiani, yani watu wamejawa na machungu kiasi hawana pa kupumulia ila tu 28.10.2020.
Majeshi na idara za usalama hawatoweza kudhibiti hili vuguvugu na wakiweza basi watu wengi watakuwa silence jambo litazidi kuibuwa vuguvugu jingine baya zaidi, jambo litazigawa idara zako za ushauri.
Uongozi ni kuacha alama na ili ufanikiwe kubali yaishe, kaa na waliokuweka vua urais wako omba ushauri Ila kumbuka shida ipo nyingine Nani wakukupa honest feedback kwa aina ya uongoz wako mkali sana Mzee wangu hapa tafuta MTU tu akusaidie upewe honest feed back japo sijui kama utaipata Mungu akusaidie.
Pamoja umefanya yote mazuri Ila trust me umeshindwa ishi mioyoni mwa Watanzania. Embu jiulize why? Umeme umetadanza kama uyoga, maji kama yote, mahospitali kama yote, madege, reli.
Yani hakuna mahali hujagusa, umefanya mambo makubwa sana ila umeshindwa kula na kipofu, sasa kipofu kapata kipofu aliewahi kuona hapo zamani Ila baadae akawa kipofu. Amewaambia vipofu wenzake huko sio, hiyo njia sio, wamemwamini ani ni shida ukiweka Jiwe na Magi watu wanapigia Kura Jiwe. Why umesahau wakolon walitupa shanga Sisi tukawapa madini?
Ona sasa mziki huu jamaa Hana bango Hana vyombo vya habari Ila ameteka nchi kweupe.
Waite wazee wakushauri maana najuwa uchaguzi huu hautokuwa Rahisi kama tunavyodhani.
Too lateHuo ndiyo ukweli mtupu. Umemaliza kazi. Ni juu yake kuchagua mchele au pumba.
Ccm ya polepole na bashiru ni utopolo..