Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli ongea na wazee, wakuu wa Taifa! Sioni mwisho mwema kama nabii

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli ongea na wazee, wakuu wa Taifa! Sioni mwisho mwema kama nabii

[emoji1319][emoji1319]
Ukweli ni kua Mafuli yupo kwenye mioyo ya Watanzania na kuna hatari ya ku-mpiku Baba wa Taifa.
Haiwezekani kina mama waliosogezewa maji karibu wakamsaliti , wagonjwa wanahudumiwa vzr na madaktari na manesi wenye nidhamu na wanaojali leo wakasahau kua Magufuli ndie alieleta nidhsmu kazini ,mimi kwangu nitampa KURA kwa umakini na UJASIRI wake uliokomesha kabisa UJAMBAZI nchini. Hata asingejenga barabara wala reli yoyote bado anastahili HESHIMA kwa kupewa kura nyingi kwa sababu ya kusimamia AMANI , leo mabasi yanasafiri saa 24 na hskuna uporaji hata kanda ya ziwa na kule Kigoma na Tabora ilikua mabasi yanaporwa hata kama yamesindikizwa na Askari wa polisi mwenye silaha !
MAGUFULI TUPO PAMOJA ‘MITANO TENA NI LAZIMA’
Mioyo ya watz?

Yani MTU anakutoza 18% heslib na hajakuongezea mshahara halafu umuweke moyoni????

Una akili kweli wewe
Mjinga sana
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Na kiukweli adui mkubwa sio CCM per se adui ni magu
Mh Rais, pole kwa mihangaiko ya kupiga kampeni ila nina neno moja juu yako usiku Waldo nalo ni siri japo sio Siri baada yakuandika hapa.

Hali inayoendelea hata tukiwa wanafiki na kuwa tumekunywa maji ya bendera mwisho pumzi zitakata na zikikata mashambulizi yatakuwa makali zaidi kuliko wakati huu tuna nguvu.

Asikudanganye mtu, hali sio hali, yani hata kama ni kwa goli la mkono, ila mtiti huu utakusumbua katk awamu yako ya pili kiasi utahisi kila mtu ni msaliti.

Kuna hali sio ya kawaida huku uraiani, yani watu wamejawa na machungu kiasi hawana pa kupumulia ila tu 28.10.2020.

Majeshi na idara za usalama hawatoweza kudhibiti hili vuguvugu na wakiweza basi watu wengi watakuwa silence jambo litazidi kuibuwa vuguvugu jingine baya zaidi, jambo litazigawa idara zako za ushauri.

Uongozi ni kuacha alama na ili ufanikiwe kubali yaishe, kaa na waliokuweka vua urais wako omba ushauri Ila kumbuka shida ipo nyingine Nani wakukupa honest feedback kwa aina ya uongoz wako mkali sana Mzee wangu hapa tafuta MTU tu akusaidie upewe honest feed back japo sijui kama utaipata Mungu akusaidie.

Pamoja umefanya yote mazuri Ila trust me umeshindwa ishi mioyoni mwa Watanzania. Embu jiulize why? Umeme umetadanza kama uyoga, maji kama yote, mahospitali kama yote, madege, reli.

Yani hakuna mahali hujagusa, umefanya mambo makubwa sana ila umeshindwa kula na kipofu, sasa kipofu kapata kipofu aliewahi kuona hapo zamani Ila baadae akawa kipofu. Amewaambia vipofu wenzake huko sio, hiyo njia sio, wamemwamini ani ni shida ukiweka Jiwe na Magi watu wanapigia Kura Jiwe. Why umesahau wakolon walitupa shanga Sisi tukawapa madini?

Ona sasa mziki huu jamaa Hana bango Hana vyombo vya habari Ila ameteka nchi kweupe.

Waite wazee wakushauri maana najuwa uchaguzi huu hautokuwa Rahisi kama tunavyodhani.
Rais ni Magufuli. Acha porojo zako wewe unayejiita nabii.
 
Nakumbuka kwneye nyuzi nyingi ulikuwa na msemo usemao" bila tume huru nikujisumbua kupiga kura" hii ndio ilikuwa signature yako kila comment.
Mkuu kabla ya kumsikiliza Lissu ni kweli nilijipanga kutopiga kura ila ujasiri ninaouona kwenye uso na semi za Lissu kuwa hataibiwa mtu kura nimelazimika kubadilisha maamuzi yangu na sasa nitapiga kura.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Najaribu kuona hiki ulichokiandika huku mtaani lakini sioni.
Huwezi kuona kama huna macho ya kiuchunguzi.

Ukiwa na macho ya mahaba ya kupitiliza kwa Magufuli/CCM au kwa Lisu/CHADEMA utaona ushindi ni wa wazi kabisa kwa Magufuli au kwa Lisu.

Uchaguzi ukiwa huru kabisa, kwa ujumla hakuna upande utakaoshinda kiurahisi. Iwe Magufuli au Lisu, hakuna atakayeweza kushinda kwa zaidi ya 55%.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya mlitakiwa kumshauri toka 2016.

Hali ilivyo asidhani vyombo vya polisi na usalama vitamuokoa. Itafika kipindi hata hao wanaompa kibri watajitoa. Watagawanyika maana ukweli uko wazi

Kweli Rais ili ajaze wafuasi mpaka awasombe kwa mabasi?? Kwamba Wananchi hawawezi kuja wenyewe? Yaani mpaka walipwe? Kwanini wanaanchi wamekuwa na hasira dhidi yake kiasi hiki?

Wakati CCM inalipa na kubeba wahudhuriaji Tundu lisu wahudhuriaji ndio wanaomchangia pesa.

Beberu anasema: "what a contrast?"
 
HAKUNA WAZEE WA KUMSHAURI ALISHAWATUKANA WAZEE WA BUSARA KUWA WANAWASHWA WASHWA WAKAE KIMYA WASIMUINGILIE KWENYE UFALME WAKE!!!
Dah! Mtu mzima na heshima zake kumshushua namna hii kwenye kadamnasi? Na huyo ni raisi mstaafu? JPM ni ngazi ingine.
 
Walianzisha uzi wa Kutaka membe awavushe leo uko Wapi, Jukwaa la Siasa JF ni jukwaa la ovyo kabisa kupata kutokea limejaa Propagandists ambao wanajifanya ni Upinzani haswa ile hali wako nyuma ya keyboard hata kutumia Real identity zao wameshindwa ni Majasiri haswa katika fake ID ila ni wepesi zaidi ya nyoya,

Magufuli is there to stay
Mitano Tena uhakika

[emoji23][emoji23][emoji23]kazi na bata.

bata anachezea zake maji huko.
 
Mwakani muda kama huu thread za aina hii zitakuwa zimekwisha na watu wanaendelea kulijengaTaifa lao kwa furaha na amani tele.
 
Mh Rais, pole kwa mihangaiko ya kupiga kampeni ila nina neno moja juu yako usiku Waldo nalo ni siri japo sio Siri baada yakuandika hapa.

Hali inayoendelea hata tukiwa wanafiki na kuwa tumekunywa maji ya bendera mwisho pumzi zitakata na zikikata mashambulizi yatakuwa makali zaidi kuliko wakati huu tuna nguvu.

Asikudanganye mtu, hali sio hali, yani hata kama ni kwa goli la mkono, ila mtiti huu utakusumbua katk awamu yako ya pili kiasi utahisi kila mtu ni msaliti.

Kuna hali sio ya kawaida huku uraiani, yani watu wamejawa na machungu kiasi hawana pa kupumulia ila tu 28.10.2020.

Majeshi na idara za usalama hawatoweza kudhibiti hili vuguvugu na wakiweza basi watu wengi watakuwa silence jambo litazidi kuibuwa vuguvugu jingine baya zaidi, jambo litazigawa idara zako za ushauri.

Uongozi ni kuacha alama na ili ufanikiwe kubali yaishe, kaa na waliokuweka vua urais wako omba ushauri Ila kumbuka shida ipo nyingine Nani wakukupa honest feedback kwa aina ya uongoz wako mkali sana Mzee wangu hapa tafuta MTU tu akusaidie upewe honest feed back japo sijui kama utaipata Mungu akusaidie.

Pamoja umefanya yote mazuri Ila trust me umeshindwa ishi mioyoni mwa Watanzania. Embu jiulize why? Umeme umetadanza kama uyoga, maji kama yote, mahospitali kama yote, madege, reli.

Yani hakuna mahali hujagusa, umefanya mambo makubwa sana ila umeshindwa kula na kipofu, sasa kipofu kapata kipofu aliewahi kuona hapo zamani Ila baadae akawa kipofu. Amewaambia vipofu wenzake huko sio, hiyo njia sio, wamemwamini ani ni shida ukiweka Jiwe na Magi watu wanapigia Kura Jiwe. Why umesahau wakolon walitupa shanga Sisi tukawapa madini?

Ona sasa mziki huu jamaa Hana bango Hana vyombo vya habari Ila ameteka nchi kweupe.

Waite wazee wakushauri maana najuwa uchaguzi huu hautokuwa Rahisi kama tunavyodhani.
Njia nzuri sana ya ku-deal na hali kama hiyo ni kuachia tu mambo yajiendee yenyewe ili mradi hakuna anayevunja sheria. Kikwete alitumia mbinu hiyo wakati wa sakata la EPA. Mbinu hiyo pia inaweza kutumika kipindi hiki cha uchaguzi, acha wapige kelele mpaka wachoke, huna sababu ya kuogopa kwa sababu ukweli unafahamika na wananchi. Polepole wakati mwingine anakosea kuitisha press conference kila mara na kutukana......
 
Mh Rais, pole kwa mihangaiko ya kupiga kampeni ila nina neno moja juu yako usiku Waldo nalo ni siri japo sio Siri baada yakuandika hapa.

Hali inayoendelea hata tukiwa wanafiki na kuwa tumekunywa maji ya bendera mwisho pumzi zitakata na zikikata mashambulizi yatakuwa makali zaidi kuliko wakati huu tuna nguvu.

Asikudanganye mtu, hali sio hali, yani hata kama ni kwa goli la mkono, ila mtiti huu utakusumbua katk awamu yako ya pili kiasi utahisi kila mtu ni msaliti.

Kuna hali sio ya kawaida huku uraiani, yani watu wamejawa na machungu kiasi hawana pa kupumulia ila tu 28.10.2020.

Majeshi na idara za usalama hawatoweza kudhibiti hili vuguvugu na wakiweza basi watu wengi watakuwa silence jambo litazidi kuibuwa vuguvugu jingine baya zaidi, jambo litazigawa idara zako za ushauri.

Uongozi ni kuacha alama na ili ufanikiwe kubali yaishe, kaa na waliokuweka vua urais wako omba ushauri Ila kumbuka shida ipo nyingine Nani wakukupa honest feedback kwa aina ya uongoz wako mkali sana Mzee wangu hapa tafuta MTU tu akusaidie upewe honest feed back japo sijui kama utaipata Mungu akusaidie.

Pamoja umefanya yote mazuri Ila trust me umeshindwa ishi mioyoni mwa Watanzania. Embu jiulize why? Umeme umetadanza kama uyoga, maji kama yote, mahospitali kama yote, madege, reli.

Yani hakuna mahali hujagusa, umefanya mambo makubwa sana ila umeshindwa kula na kipofu, sasa kipofu kapata kipofu aliewahi kuona hapo zamani Ila baadae akawa kipofu. Amewaambia vipofu wenzake huko sio, hiyo njia sio, wamemwamini ani ni shida ukiweka Jiwe na Magi watu wanapigia Kura Jiwe. Why umesahau wakolon walitupa shanga Sisi tukawapa madini?

Ona sasa mziki huu jamaa Hana bango Hana vyombo vya habari Ila ameteka nchi kweupe.

Waite wazee wakushauri maana najuwa uchaguzi huu hautokuwa Rahisi kama tunavyodhani.
Mpira dakika tisini, tusubiri matokeo, ila refa akipendelea timu moja atafute nchi ya kuhamia
 
Umeshamaliza kuota? Tunaheshimu hisia zako lakini ziko tofauti na uhalisia. Maelezo yako hayana takwimu. CCM ina wanachama wangapi, je unajua idadi ya wapiga kura? CCM ina mtaji mkubwa. Hizo hadithi wasimulie wanao na endeleeni kumdanganya wakala wa mabeberu!
Kama wewe una takwimu, hayo maswali muhimu uliouliza ungeyatolea majibu bado.
 
Hakuna ugumu wowote
Woga wako tu
Sijaona was kumtetemesha Magu
Na anaishhi mioyoni mwetu
Magufuli babalaooo
Hahahaa,, kama nakuona unavyojitutumua kuandika unafiki huku nafsi yako inakusuta!
Eti anaishi mioyoni mwenu??!!
 
Hakuna ugumu wowote
Woga wako tu
Sijaona was kumtetemesha Magu
Na anaishhi mioyoni mwetu
Magufuli babalaooo
Soma hii paragraph kwa utulivu bila mhemko wa kisiasa labda utamuelewa mleta mada "Nani wakukupa honest feedback kwa aina ya uongozi wako mkali sana Mzee wangu hapa tafuta MTU tu akusaidie upewe honest feed back japo sijui kama utaipata Mungu akusaidie. " Nyie ndio mnamdanganya mzee wa watu kuwa mambo ni shwari hadi anafikia kupigia watoto wa shule magoti wakati anajua hawapigi kura
 
Back
Top Bottom