Uchaguzi 2020 DKT. Magufuli: Sasa ni wakati wa kujali maslahi ya Wafanyakazi

Na haujashuka pia
 
Hakuna mfanyakazi atakaa achague huyu dhalimu. Anajidanganya tu.

Si alijifanya kuwafokea! Leo maji yamemfika shingoni ndo anaanza kutapatapa. Ameshachelewa yaani.
Kijana we una matatizo sana,hivi mangap Raisi Magufuli ameyafanya kuhusu wafanya kazi.

Ameleta heshima makazini na kupunguza wingu la rushwa na utumiaji wa fedha kiholela.ulitaka afanye nini,au ulitaka tubaki na wafanya kazi hewa nchi iendeleee kuwa na hasara?

Mbona nyie mbuzi hamtaki kujiongeza,mi naumia sana mtu anapokosa kuwa muelewa.


KURA YANGU KWA RAISI MAGUFULI TUUU
 
Kila mwaka utasikia sasa ni wakati wa kujali maslahi ya wafanyakazi![emoji1782][emoji1782][emoji1782]
 
Wafanyakazi na vijana wa Tanzania mjiandae neema inakuja JPM akiahidi anatimiza.

October 28th twendeni tukamchague Magufuli kwa kura nyingi sana

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Magufuli ndio kila kitu kwetu vijana,,lakini pia kwa watanzania wote
 
Sawa wamedhibiti mfumuko wa bei ya sukari kutoka 1,800/= mwaka 2015 mpaka 3,000/= mwaka 2020!

Marais wote waliomtangulia waliongeza mishahara walau kidogo na hii iliwasaidia sana waliokuwa wanastaafu.
HIvi wewe Una akili kweli?
 
Wafanyakazi na vijana wa Tanzania mjiandae neema inakuja JPM akiahidi anatimiza.

October 28th twendeni tukamchague Magufuli kwa kura nyingi sana

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Acha umbulula kwani 2015 pia si aliahidi na baadae akaanza kutufomea.
 
Acha umbulula kwani 2015 pia si aliahidi na baadae akaanza kutufomea.
Habari ya asubuhi Mbulula Mkuu.

October 28th kura yako kwa JPM ni muhimu sana himiza na wengine twende tukampigie kura za ndio Magufuli na wabunge na madiwani wa CCM.

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Mgombeawa Urais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM amesema sasa ni wakati wa kujali maslahi ya wafanyakazi wa Tanzania...
Kwakweli amejitahidi sana kujenga nchi amechoka na sasa watanzania tunampa nafasi akapumzike

Hilo la sisi wafanyakazi tumuachie Lissu atamsaidia kuliweka sawa

#NI YEYE + PONDA 2020
 
Mkuu ulipata Incliment? Au unamaanisha Increment?

Kama ni increment katika awamu hii kwa walio watumishi wengi wa umma hiajafanyika kwa ufasaha kama mikataba yao ya kazi inavyoelekeza.
Mpe, Sisi hatukupata hivyo hatumpi.
 
Kachelewa tumetawaliwa km mifugo
 


Hivi kuna mfanyakazi atakayedanganywa na ahadi hizo za kitoto kwamba nitakuletea pipi wakati siku zote umemnyima hizo pipi?
 
Naona hii ahadi ni too little too late mjipange kwa lolote.
 
1.5 Trillioni?.Ameshatoa majibu zilipo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…