Shehullohi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2020
- 3,753
- 3,685
Sukari 3000
Cement 22000
Umeme tangu aingie madarakani haujapanda hsaa senti moja, ulisikia mgao ukiongezeka na wahindi kuagiza majenereta ya kutulangua? Wenye biashara za sukari na cement si cartel practice hiyo needs a longrun plan and solution.
Ule mradi wa umeme tegeta wa wahuni, matapeli na wezi ulishausikia?