Uchaguzi 2020 DKT. Magufuli: Sasa ni wakati wa kujali maslahi ya Wafanyakazi

Uchaguzi 2020 DKT. Magufuli: Sasa ni wakati wa kujali maslahi ya Wafanyakazi

Wafanyakazi idadi yao hata laki sita hawafiki wakati nchi ina changamoto nyingi sana.

Hao waliojengewa zahanati huko mikoani ni wa muhimu sana kama walivyo hao wafanyakazi.

Upanuzi wa bandari zote na ujenzi wa meli ni muhimu sana kwa uchumi wa nchi kwa miaka mingi ijayo.
 
Unajenga uwanja wa mabilioni ya fedha huku watu wa hilo eneo miaka yote hawana maji si upumbavu huo.
Unajua mila na desturi zao? JPM akitaka kuinua maisha ya Watanzania walioachwa nyuma na mfumo. Ndio kelele haziishi oooh kajenga uwanja kwao, ooh sijui kahamisha wanyama kufufua mbuga zilizofujwa na uwindaji haramu.

Uwanja wa ndege wa Chato umekuwa ndio moja ya agenda kuu ya genge la maadui wa Taifa la Tanzania. Uwanja ule ni fursa ya kuinua utalii kanda ya ziwa. Ila hamuoni hivyo unataka utalii ufanyike kwenye mapango ya ambani tu. Watanzania wengine kwenye maeneo yao hawana haki hiyo.
 
Unajenga uwanja wa mabilioni ya fedha huku watu wa hilo eneo miaka yote hawana maji si upumbavu huo.

Vyote ni muhimu na kwa taarifa yako hao wataalam wanaojiunga mifumo ya kisasa ya maji hawaji kwako kwa bodaboda au baiskeli.

Changamoto ni lazima ziwepo na ndio kazi ya serikali kuzifanyia kazi.
 
Na ndio mnachokifanya hiki kupiga propoganda zilizojaa uzushi ili kuyumbisha msimamo wa Rais. Na akiyumba mnapata nafasi ya kumboa zaidi.

Huwezi kuficha ukweli kwamba moja ya vitu ambavyo JPM na serikali yacawamu ya 5bwamefanikiwa ni kudhibiti mfumuko wa bei. Isingesaidia saba kuongeza mishahara tena wakati mwengie kwa 20,000/- mpaka50,000/-.

Na matokeo ya kuongeza mshahara ya lete mfumuko wa bei unaokula ongezeko la matumizi ya mshahara jati ya 60,000/- mpaka 120,000/- Huu utakuwa ulaghai kwa wafanyakazi.
Mbona sukari hadi leo haijapungua bei?
 
Ila huyu mheshimiwa Mungu amjalie tu.

Watumishi wa umma walikua wanapanda daraja kila baada ya miaka mitatu,akatengua na kupeleka mitano lkn hata hiyo mitano watumishi wengi hawajafanikiwa kupanda, aliyemwachia kiti alikua anaongeza walau 40,000/= hadi 80,000/= kwa mwaka,yeye hakufanya na kusema yeye anaona Stiglers gorge ni ya maana kuliko mishahara kupanda.

Mwenzake alisema sio kwamba hakujua kwamba kuna watumishi wenye vyeti feki ila waliona wabane mfumo wa kutoa vyeti na kukagua vyeti feki wakati wa kuajiriwa na tatizo litajimaliza maana hakuna wapya watakaoingia kwenye ajira. Yeye akawatumbua onspot,watu wamepoteza uhai,baadhi ya familia zinaishi maisha magumu sana.

Leo unataka hawa watu ndio wakupigie kura kweli? Basi bwana Mungu mwenyewe ndio anajua.

kmkm
Magufuli mitano tena
 
Wafanyakazi na vijana wa Tanzania mjiandae neema inakuja JPM akiahidi anatimiza.

October 28th twendeni tukamchague Magufuli kwa kura nyingi sana

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
😀🤣😂😂😂 Onen nae hyu tena
 
Rais wetu hataki vitu vya kupangiwa ataongeza mshahara 2027! yeye ni rais anayejiamini sana tofauti na waliomtangulia!
 
" Mimi sipangiwi na Inategemea siku hiyo nimeamkaje"
Huyu kweli aongeze mishahara!! Atanunua ndege nyingine 5 kwa pesa taslim.

Likina swala la ndege pesa ipo ikija issue ya maslahi ya wafanyakazi pesa hamna!
 
Kama kuzungumza ni rahisi, kuliko kutenda, yeye anachofanya ni kuzungumza, kutenda histamine aweza kutenda!

Anafanya massive, gigantic, projects kwa wakati mmoja, bila kujali wafanyakazi wataishije. Eti hakuna hela, zile kauli za nchi tajiri hela zipo, anazikana leo au?

Yeye amekuwa akisema majukwaani hela zipo, miradi ya matrilioni, ila nyongeza kwa watumishi hakuna!

Danganya toto eti ataongeza sasa mishahara! Elephants can fly!

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Back
Top Bottom