Nijitambueje jomba embu nieleze..dakika za lala salama hizi braza..unakumbuka shuka kumekucha...mbona...it's too late...jipangeni kuanzia 2030 na kuendelea, nawashauri nendeni mkamalizane na Jenerari Membe kwanza tunataka kujua Nani zaidi..sisi wananchi tumeshajipanga kwenda kutumia kichinjio chetu tarehe 28oktbWewe ndugu yake na Rashidi!, acha kushikiwa akili, jitambue. View attachment 1606296