Uchaguzi 2020 DKT. Magufuli: Sasa ni wakati wa kujali maslahi ya Wafanyakazi

Uchaguzi 2020 DKT. Magufuli: Sasa ni wakati wa kujali maslahi ya Wafanyakazi

Huyu sie yule aliyewapiga za uso wafanyakazi siku ya Mei Mosi kwa miaka mitano mfululizo?
Sitashangaa kabla kampeni kuisha nikiskia waliochishwa kazi kwa vyeti feki watarudishwa makazini na kulipwa mishahara yao ya miezi yote waliokaa nje ya ajira.
Huyu ni mfa maji, anatapatapa baada ya kuona watu wamechefukwa na CCM
 
Na ndio mnachokifanya hiki kupiga propoganda zilizojaa uzushi ili kuyumbisha msimamo wa Rais. Na akiyumba mnapata nafasi ya kumboa zaidi.

Huwezi kuficha ukweli kwamba moja ya vitu ambavyo JPM na serikali yacawamu ya 5bwamefanikiwa ni kudhibiti mfumuko wa bei. Isingesaidia saba kuongeza mishahara tena wakati mwengie kwa 20,000/- mpaka50,000/-.

Na matokeo ya kuongeza mshahara ya lete mfumuko wa bei unaokula ongezeko la matumizi ya mshahara jati ya 60,000/- mpaka 120,000/- Huu utakuwa ulaghai kwa wafanyakazi.
Wewe unaozungumzia mfumko gani? Kitu gani hakijapanda bei tanga aingie madarakani zaidi ya miaka 5 iliyopita.Watanzania wameamka, wanaelewa sasa, enzi zinabadilika. Msitumie mbinu ya 2015 mkadhani sasa itawaokoa. Mungu awarehemu huko muendako.
 
Mshezi wewe unatolea mfano sukari ambayo biashara yake inaendeshwa na genge la mafisadi waliojichimbia mizizi ya mbuyu ndani ya mifumo ya uendeshaji wa serikali. Toa mfano wa unga wa sembe tuone.
Sasa ndugu,Magufuli ameshindwa vipi kuwadhibiti hao mafisadi?.Au wana nguvu kuliko serikali?
 
[emoji3061][emoji3061][emoji3061]
 
Na ndio mnachokifanya hiki kupiga propoganda zilizojaa uzushi ili kuyumbisha msimamo wa Rais. Na akiyumba mnapata nafasi ya kumboa zaidi.

Huwezi kuficha ukweli kwamba moja ya vitu ambavyo JPM na serikali yacawamu ya 5bwamefanikiwa ni kudhibiti mfumuko wa bei. Isingesaidia saba kuongeza mishahara tena wakati mwengie kwa 20,000/- mpaka50,000/-.

Na matokeo ya kuongeza mshahara ya lete mfumuko wa bei unaokula ongezeko la matumizi ya mshahara jati ya 60,000/- mpaka 120,000/- Huu utakuwa ulaghai kwa wafanyakazi.
Cement kutoka 10,000/= 2015 mpaka 16,500/= 2020 nfo udhibii wa mfumuko wa bei huo?
 
Kudhulumu maslahi ya wafanyakazi katia kibindoni 1.5tr halafu anajifanya mcha mungu, mcha mungu gani mbaguzi wa dini na mkabila.
Kisesa mlinipigia kura msivunjiwe, kimara mbezi bomoa.

Eti binadamu gani kama sii aina ya shetani
Hakuna mfanyakazi atakaa achague huyu dhalimu. Anajidanganya tu.

Si alijifanya kuwafokea! Leo maji yamemfika shingoni ndo anaanza kutapatapa. Ameshachelewa yaani.
 
Aliahidi ataongeza mishahara kabla hajaondoka sasa ameshachelewa maana uongozi wa nchi ni mitano mitano.
 
Sasa ndugu,Magufuli ameshindwa vipi kuwadhibiti hao mafisadi?.Au wana nguvu kuliko serikali?

Ameshindwa kuwa dhibiti nani kasema? Unajua Longrun plan na solution ya sukari Tanzania? Kaeni chonjo biashara ya kuagiza sukari Brazil na kwengineko mkichanganya miraa inaenda kufa kifo cha jumla. Tanzania itauza sukari nje kama ilivyo kwa dhahabu na korosho.

Mashamba na viwanda vipya vikianza kutema miwa na sukari bei ya kilo ya sukari itakuwa kama ya kijoti cha Bakhresa.
 
Ni kweli, hata mimi wakati najenga kila siku familia walikuwa wanakula ugali mchicha
 
Kuna mawaziri wanatoka sehemu mbovu!

Unajua mila na desturi zao? JPM akitaka kuinua maisha ya Watanzania walioachwa nyuma na mfumo. Ndio kelele haziishi oooh kajenga uwanja kwao, ooh sijui kahamisha wanyama kufufua mbuga zilizofujwa na uwindaji haramu.

Uwanja wa ndege wa Chato umekuwa ndio moja ya agenda kuu ya genge la maadui wa Taifa la Tanzania. Uwanja ule ni fursa ya kuinua utalii kanda ya ziwa. Ila hamuoni hivyo unataka utalii ufanyike kwenye mapango ya ambani tu. Watanzania wengine kwenye maeneo yao hawana haki hiyo.
 
Kumbe ndani ya Sirikalii hii mafisadi yapo?

Mabaki ya enzi zile, husikii Membe kakiri hadharani mchana kweupe alikuwa na Bunge lake la wabunge 76 wa kumundia serikali.

Hapo katia mfano wa wabunge tu, Kwa maana hiyo ana madc, RC, wakurugenzi, and blabla nyengine. Tanzania ndipo ilipokuwa imefikia hapo. Unafikiri Membe alikuwa anatania kusema vile?
 
Wamepanga nyumba pale ufipa kinondoni miaka nenda miaka rudi halafu wanataka waaminiwe kupewa nchi!

Kuongoza nchi sio shughuli ndogo.
 
Back
Top Bottom