Uchaguzi 2020 DKT. Magufuli: Sasa ni wakati wa kujali maslahi ya Wafanyakazi

Uchaguzi 2020 DKT. Magufuli: Sasa ni wakati wa kujali maslahi ya Wafanyakazi

Mgombeawa Urais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM amesema sasa ni wakati wa kujali maslahi ya wafanyakazi wa Tanzania.

Amesema kwa miaka mitano aliyoongoza ameweza kufanya nchi ifike uchumi wa kati wa chini na hivyo kwa miaka mitano inayofuata ataanza kuboresha maslahi ya wafanyakazi.

Amesema hauwezi kuongeza mishahara wakati hauna hela ya kuongeza mishahara. Aidha amesema hao wanasema kuhusu kuongeza mishahara hawajawahi kutawala.

Amesema wengine vyama vyao wameshindwa hata kujenga ofisi za vyama vyao. Amesema kuzungumza ni rahisi kuliko vitendo.

IMG_20201019_152614_640.jpg
 
Hadanganyiki mtu amesahau alivyokuwa anajibu kibabe alipokuwa anaulizwa kuongeza mishahara ,leo ndio amejua kuongeza mishahara ni muhimu akafiebele huko.
Hili la kuongeza mishahara watumishi sasa hivi ni sera ya lissu..si ya jpm tena..maana yeye ilimshinda. Kama ambavyo sera ya elimu bure waliyochukua chadema inavyowatesa sasa.
 
Huyu Mzee laghai na muongo wa kutupwa jalalani, haaminiki 2015 alisema hivyohivyo alipoingia madarakani kabadilika bila kupepesa macho, katili Sana!

Maslahi ya wafanyakazi ni masuala ya kisheria na si hiyari ya Raisi, aache upumbavu!

Hakuna nanna ni wa kupingwa chini tu huyu.
 
Hahaminiki alihaidi 2015 wakati wa kampeni Kama sasa.kuwa ataboresha maslahi ya wafanyakazi mpaka mwezi watano mwaka huu alikataa na hawezi kuongeza yeye atanunua dege atajenga reli Hana hawapo katika mipango yake. asilani.ni Nini kimemtokea hivi karibuni mbona wafanyakazi wapi kimya hawajadai tena.
 
Back
Top Bottom