muheza2007
JF-Expert Member
- Mar 19, 2010
- 483
- 771
Basi atangaze nyongeza hiyo leo mbona kwenye barabara anawaita Tanroad hapo hapo?
Kumuamini mtu muongo kama Magufuli utakuwa punguani
Kumuamini mtu muongo kama Magufuli utakuwa punguani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amesema atapandisha mishaharaWafanyakzi hawadanganyiki. Ameshindwa kutoa kauli hiyo siku ya mei Mosi aje atoe leo hii tena kwenye kampeni baada ya spana za Lissu
Keyword = "kutawala".Amesema hauwezi kuongeza mishahara wakati hauna hela ya kuongeza mishahara. Aidha amesema hao wanasema kuhusu kuongeza mishahara hawajawahi kutawala.
Mgombeawa Urais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM amesema sasa ni wakati wa kujali maslahi ya wafanyakazi wa Tanzania.
Amesema kwa miaka mitano aliyoongoza ameweza kufanya nchi ifike uchumi wa kati wa chini na hivyo kwa miaka mitano inayofuata ataanza kuboresha maslahi ya wafanyakazi.
Amesema hauwezi kuongeza mishahara wakati hauna hela ya kuongeza mishahara. Aidha amesema hao wanasema kuhusu kuongeza mishahara hawajawahi kutawala.
Amesema wengine vyama vyao wameshindwa hata kujenga ofisi za vyama vyao. Amesema kuzungumza ni rahisi kuliko vitendo.
Hivi ni rahisi kujua aliyekhpigia kura?Awadanganye wasiomjua
AsitufokeyeHadanganyiki mtu amesahau alivyokuwa anajibu kibabe alipokuwa anaulizwa kuongeza mishahara ,leo ndio amejua kuongeza mishahara ni muhimu akafiebele huko.
Hili la kuongeza mishahara watumishi sasa hivi ni sera ya lissu..si ya jpm tena..maana yeye ilimshinda. Kama ambavyo sera ya elimu bure waliyochukua chadema inavyowatesa sasa.Hadanganyiki mtu amesahau alivyokuwa anajibu kibabe alipokuwa anaulizwa kuongeza mishahara ,leo ndio amejua kuongeza mishahara ni muhimu akafiebele huko.
Pumbavu unaelewa maana ya mfumuko wa bei?Mshezi wewe unatolea mfano sukari ambayo biashara yake inaendeshwa na genge la mafisadi waliojichimbia mizizi ya mbuyu ndani ya mifumo ya uendeshaji wa serikali. Toa mfano wa unga wa sembe tuone.