Uchaguzi 2020 DKT. Magufuli: Sasa ni wakati wa kujali maslahi ya Wafanyakazi

Uchaguzi 2020 DKT. Magufuli: Sasa ni wakati wa kujali maslahi ya Wafanyakazi

Na ndio mnachokifanya hiki kupiga propoganda zilizojaa uzushi ili kuyumbisha msimamo wa Rais. Na akiyumba mnapata nafasi ya kumboa zaidi.

Huwezi kuficha ukweli kwamba moja ya vitu ambavyo JPM na serikali yacawamu ya 5bwamefanikiwa ni kudhibiti mfumuko wa bei. Isingesaidia saba kuongeza mishahara tena wakati mwengie kwa 20,000/- mpaka50,000/-.

Na matokeo ya kuongeza mshahara ya lete mfumuko wa bei unaokula ongezeko la matumizi ya mshahara jati ya 60,000/- mpaka 120,000/- Huu utakuwa ulaghai kwa wafanyakazi.
Mfumuko upi wa bei aliodhibiti? Wakati anaingia Sukari ilikuwa bei gani na sasa ni bei gani? 2015 bei ya unga, sukari, mabati, cement, sabuni, madaftari ilikuwa bei gani na leo ni bei gani?

Alichofanya ni kuwaumiza wakulima kwa kuwanyima soko hirai ili wasiweze kuuza mazao yao kwenye soko la nje. Kifupi uongo wa kudhibiti mfumuko wa bei haiwezi kufanikiwa? Kama kuna watu wameumia awamu hii ni wakulima. Yaani unasema umedhibiti mfumuko wa bei kwa expenses za wakulima?
 
Wafanyakazi na vijana wa Tanzania mjiandae neema inakuja JPM akiahidi anatimiza.

October 28th twendeni tukamchague Magufuli kwa kura nyingi sana

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Hajawahi kuahidi kitu akatimiza. Ila anaweza kutimiza asivyo ahidi. Aliahidi million 50 kila kijiji ziko wapi?
 
Mfumuko upi wa bei aliodhibiti? Wakati anaingia Sukari ilikuwa bei gani na sasa ni bei gani? 2015 bei ya unga, sukari, mabati, cement, sabuni, madaftari ilikuwa bei gani na leo ni bei gani?

Alichofanya ni kuwaumiza wakulima kwa kuwanyima soko hirai ili wasiweze kuuza mazao yao kwenye soko la nje. Kifupi uongo wa kudhibiti mfumuko wa bei haiwezi kufanikiwa? Kama kuna watu wameumia awamu hii ni wakulima. Yaani unasema umedhibiti mfumuko wa bei kwa expenses za wakulima?

Muadhirika wa bomba la kunyonyea wakulima jasho na damu yao liitwalo kangomboa huyu hapa. Sasa mtu kama wewe utampenda JPM.?Sana sana utaungana na Lissu na rais wa mashoga duniani kumpinga. Na hizo fedha zenu za kufanya opotoshaji dhidi ya JPM muandike maumivi zimeliwa bure hamna mtakachokopata zaidi ya kuzugwa.
 
Atakayemuamini jamaa ye aendelee tu kumuamini.
Screenshot_2020-09-24-19-55-15-1.jpg
 
Mshezi wewe unatolea mfano sukari ambayo biashara yake inaendeshwa na genge la mafisadi waliojichimbia mizizi ya mbuyu ndani ya mifumo ya uendeshaji wa serikali. Toa mfano wa unga wa sembe tuone.
Umesahau juzi tu hapa sembe kg 25 imetoka sh 17,000 mpka 37,000. Kilo ilifika 2000 kwa reja reja.
 
Na ndio mnachokifanya hiki kupiga propoganda zilizojaa uzushi ili kuyumbisha msimamo wa Rais. Na akiyumba mnapata nafasi ya kumboa zaidi.

Huwezi kuficha ukweli kwamba moja ya vitu ambavyo JPM na serikali yacawamu ya 5bwamefanikiwa ni kudhibiti mfumuko wa bei. Isingesaidia saba kuongeza mishahara tena wakati mwengie kwa 20,000/- mpaka50,000/-.

Na matokeo ya kuongeza mshahara ya lete mfumuko wa bei unaokula ongezeko la matumizi ya mshahara jati ya 60,000/- mpaka 120,000/- Huu utakuwa ulaghai kwa wafanyakazi.
Bati, cement unaona bei imepungua
 
[emoji23][emoji23][emoji23]sisi tunataka kiongozi sio mtawala.

Nenda kapumzike wenye kujali maisha ya watu watajali tu masilahi ya wafanyakazi
 
Back
Top Bottom