Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah yaani imekuwa kinyumeUchaguzi wa mwaka Huu Ni mgumu sidhani Kama Magufuli alitegemea itakuwa hivi
Sasa angekubali kupangiwa angekua rais au rahisi😂😂😂" Mimi sipangiwi na Inategemea siku hiyo nimeamkaje"
Mimi Mtumishi wa Umma, nipata salary incliment 98,000/=, Mwaka 2016, salary incliment 102000 Mwaka 2017 up to date naendelea kupata.Tena katili haswa
Mpuuzi wewe labda mtumishi wa ibilisi, mtu hata kuandika hujui utakuwa ladba umeajiriwa na ukoo wa panyaMimi Mtumishi wa Umma, nipata salary incliment 98,000/=, Mwaka 2016, salary incliment 102000 Mwaka 2017 up to date naendelea kupata.
Ubora wake Kiuchumi wa Mtumishi: Haijaongeza Mfumuko wa Bei, tofauti na zamani ukiongezewa 15,000 na bei ya kila bidhaa inapanda. Naamini mmenielewa JPM anaakili kuliko kikosi chote cha Mihemko Forum
Elimu haija isaidia, baada ya uchaguzi wasubiri visasi na wasilalamike,Magu ni zaidi ya diktetaWapo wengi mkuu
Hawana elimu isipokuwa ni wasomiWakuu wa mikoa wanahangaika kupita kuongea na wasimamizi wawasaidie, wangejua wasingepoteza muda wao
Elimu haija isaidia, baada ya uchaguzi wasubiri visasi na wasilalamike,Magu ni zaidi ya dikteta
Na wakilogwa wakamchagua basi wamejichimbia kaburiHakuna mfanyakazi atakaa achague huyu dhalimu. Anajidanganya tu.
Si alijifanya kuwafokea! Leo maji yamemfika shingoni ndo anaanza kutapatapa. Ameshachelewa yaani.
Kwa hiyo kwa akli yako kitendo cha Tanzania kutangazwa kuingia uchumi wa kati wewe kumekuudhi sana? Daah ama kweli tunakiwa tukamuliwe zaidi ili akili irudi pamoja!Dunia nzima hakuna vyama vyenye ofisi, ni Tanzania tu. Wapi ipo office ya Republican au Democratic? Tusidanganyane hapa, CCM imetuchangisha michango wakati wa mfumo wa chama kimoja kujenga maofisi ambayo leo hii ingekuwa mali ya serikali. Ofisi za vyama zinakuwa active wakati wa chaguzi tu....Hapo ndipo wanapokodi nyumba ya ofisi na si vinginevyo.
Uchumi wa chini kati tulishafikia tangu wakati wa Kikwete ila hakutaka ku-declare kwa sababu misaada ingepungua.....Sasa huyu ili kutaka sifa akaona hilo litam-boost. By the way Tanzania bado ni nchi maskini sana, kati ya idadi yake ya watu Mil 58, Milioni 29 wanaishi kwenye umaskini wa kutupwa. Msijifariji....SAFARI BADO NI NDEFU.
Fanya kazi jitume na tumia akili usifikiri kuna mtu hapa dunianai atakuletea hela huku wewe umebweteka tu. Hata umachague Tundu hatakuletea hela kirahisi hivyo na pengine hali ndiyo inaweza kuwa mbaya zaidi labda kama atauza nchi kwa wanyonyaji ili awadanganye na vimisaada vya fedha kwenye mzunguko wa fedha nchini kama ilivyo kwa baadhi ya majirani zetu!Najua kwamba wataiba kura,lkn mimi nitakwenda kupiga kura ili kujiondoa kwenye laana na kujisafisha mbele ya mwenyezi Mungu kwamba sihusiki na madhira na mateso yoyote yatakayofuata katika kipindi cha miaka mitano ijayo. Mungu anitie nguvu.
Sasa unadhani wamchague nani..kwa sababu Lissu na Membe ngoma isomile tayari..wapinzani nadhani wanawapotezea muda wananchi..waende wakatatute kazi nyingine ya kufanya..siasa hawaziweziHakuna mfanyakazi atakaa achague huyu dhalimu. Anajidanganya tu.
Si alijifanya kuwafokea! Leo maji yamemfika shingoni ndo anaanza kutapatapa. Ameshachelewa yaani.