Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Lisu anamchanganya sana Magufuli wetuDuh..miaka 5 tena..wakati vitu vinapand bei vifaa vya ujenzi, mafuta, vyakula..[emoji24][emoji24] bora asingeongelea hil swala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lisu anamchanganya sana Magufuli wetuDuh..miaka 5 tena..wakati vitu vinapand bei vifaa vya ujenzi, mafuta, vyakula..[emoji24][emoji24] bora asingeongelea hil swala
Hayo ameyasema Leo akiwa mkoani Mara kwenye kampeni za kuomba kuchaguliwa kwa miaka mitano ijayo.
Ahadi hii imeniacha na maswali mawili Kama ifuatavyo: 1 Je huyu mgombea anawachukuliaje watumishi wa umma? Huwaona Kama wanaokula bure?, au makondoo tu wasio na lolote.! 2 Nini mtazamo wa watumishi juu ya ahadi hii?
Sisi wafanyakazi hatuwezi kudanganya, hatuwezi kukupa kura Magufuli.Hayo ameyasema Leo akiwa mkoani Mara kwenye kampeni za kuomba kuchaguliwa kwa miaka mitano ijayo.
Ahadi hii imeniacha na maswali mawili Kama ifuatavyo: 1 Je huyu mgombea anawachukuliaje watumishi wa umma? Huwaona Kama wanaokula bure?, au makondoo tu wasio na lolote.! 2 Nini mtazamo wa watumishi juu ya ahadi hii?
Utashangaa hao watumishi ndio wataenda kumpa support ya kupata mi5 ya ziada.Mbona hana huruma na watumishi
Wafanya kazi nao wasimdanganye kuwa wanaweza wakampa kura Magufuli.
Naunga mkono hojaMkuu watumishi wa Uma ni makondoo tu zaidi ya 99,% cheki Kenya muziki wake...mm siyaonei huruma. ..Dadek zao
Hayo ameyasema Leo akiwa mkoani Mara kwenye kampeni za kuomba kuchaguliwa kwa miaka mitano ijayo.
Ahadi hii imeniacha na maswali mawili Kama ifuatavyo: 1 Je huyu mgombea anawachukuliaje watumishi wa umma? Huwaona Kama wanaokula bure?, au makondoo tu wasio na lolote.! 2 Nini mtazamo wa watumishi juu ya ahadi hii?
Unaandika ukiwa na uhakika au ni hisia tu?Sio kura tu. Asahau hadi wafanyakazi kutumika katika fitna za kumpa ushindi
Muda utaongeaUnaandika ukiwa na uhakika au ni hisia tu?
Asiongee kabisa kuhusu hilo ataniliza,machozi nimeyavumbika muda mrefuHayo ameyasema Leo akiwa mkoani Mara kwenye kampeni za kuomba kuchaguliwa kwa miaka mitano ijayo.
Ahadi hii imeniacha na maswali mawili Kama ifuatavyo: 1 Je huyu mgombea anawachukuliaje watumishi wa umma? Huwaona Kama wanaokula bure?, au makondoo tu wasio na lolote.! 2 Nini mtazamo wa watumishi juu ya ahadi hii?
Wakati wa kikwete kuna kauli maarufu ilikuwa ikisema Tanzania inapitia kipindi kigumu, lakini ukweli tulikuwa tunaelekea kipindi kigumu. Sasa tumo kweli kipindi kigumu haswaaaa.Mkuu watumishi wa Uma ni makondoo tu zaidi ya 99,% cheki Kenya muziki wake...mm siyaonei huruma. ..Dadek zao
Hayo ameyasema Leo akiwa mkoani Mara kwenye kampeni za kuomba kuchaguliwa kwa miaka mitano ijayo.
Ahadi hii imeniacha na maswali mawili Kama ifuatavyo: 1 Je huyu mgombea anawachukuliaje watumishi wa umma? Huwaona Kama wanaokula bure?, au makondoo tu wasio na lolote.! 2 Nini mtazamo wa watumishi juu ya ahadi hii?