kiboko samson
Member
- Oct 14, 2013
- 73
- 74
Daaah hiii kali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuongeza salary sio swala la kuamua mtu ni swala ambalo lipo kisheria.Msema ukweli ni mpenzi wa Aliye juu ya yote.
Haiwezekani hata kama ni mimi ndiye kiongozi kusema uongo, watumishi wa umma nchi hii ndio wenye nafuu ya kila kitu kuanzia mikopo, ajira ya kudumu n.k.
Hivyo kuwaongezea mishahara na kila kitu huku sekta binafsi ikiangaika si sawa, kwanza wao ndio waliotamalaki kila mahala kwenye uwekezaji wa ndani huku wasiokopesheka wakifunga biashara zao.
Watumishi watosheke, waache Mh.Rais afanyie kazi sekta binafsi, kuimalisha miundombinu na kujenga uchumi imara kwa manufaa ya wote.
Na mishahara ikiongezwa itakua na faida kwa kizazi kijacho na cha sasa.Projects zinazofanyika sasa zikikamilika zitakuwa na faida kubwa kwa vizazi vya sasa na baadae.
dah!Duh..miaka 5 tena..wakati vitu vinapand bei vifaa vya ujenzi, mafuta, vyakula..[emoji24][emoji24] bora asingeongelea hil swala
Mwenye masikio na asikie, 5 mingine bila nyongezaDuh..miaka 5 tena..wakati vitu vinapand bei vifaa vya ujenzi, mafuta, vyakula..[emoji24][emoji24] bora asingeongelea hil swala
Hasira ni kali mnoo..
Hayo ameyasema Leo akiwa mkoani Mara kwenye kampeni za kuomba kuchaguliwa kwa miaka mitano ijayo.
Ahadi hii imeniacha na maswali mawili Kama ifuatavyo: 1 Je huyu mgombea anawachukuliaje watumishi wa umma? Huwaona Kama wanaokula bure?, au makondoo tu wasio na lolote.! 2 Nini mtazamo wa watumishi juu ya ahadi hii?
========
DKT. MAGUFULI: Ukaacha kujenga reli ambayo italeta uchumi mkubwa, ukasema naipeleka hii kupandisha mishahara. Huwezi ukaacha kujenga vituo vya afya, tumejenga katika nchi nzima vituo vya afya 487. Wanaotibiwa sio wakulima na wafanyabiashara, hata wafanyakazi wanatibiwa pale.
Kwa hiyo tuliamua hiyo fedha iende kwa kujenga vituo vya afya na dispensary zaidi ya elfu moja na kitu, hospitali za wilaya 99 na hospitali za rufaa zaidi ya tatu. Hizi hospitali zinawatibu pia wafanyakazi, zinawatibu pia watoto wa wafanyakazi.
Tumeamua kutoa elimu bure kwa watoto wetu kuanzia darasa la kwanza mpaka sekondari na mikopo ya chuo kikuu tukaiongeza mpaka bilioni 450 ili mtoto wa masikini nae aweze kupata mkopo atakapokuwa chuo kikuu.
Tumitumia trilioni 1.06, hizi fedha tungeweza tukawadanganya wafanyakazi tukasema tumewaongeza mishahara, kupanga ni kuchagua, tuliamua watoto wasome bure kwanza.
Sisi wafanyakazi tunawapenda na ndio maana tunatoa hizi huduma, ndio maana katika ilani ya uchaguzi inazungumzia juu ya maslahi ya wafanyakazi.
Mzee Rungwe aliwahi kusema huyu mtu anakula bure, anavaa bure hajui shida zetu.Kuna watu walikua wanamtetea kwamba anaongeza mishahara. Kiko wapi sasa kasema mwenyewe hatoongeza. Kazi kwenu wafanyakazi, maisha yanapanda kila Siku lakini mshahara upo palepale.
Kwa lugha yako Watumishi ni wawekezaji wa ndaniMsema ukweli ni mpenzi wa Aliye juu ya yote.
Haiwezekani hata kama ni mimi ndiye kiongozi kusema uongo, watumishi wa umma nchi hii ndio wenye nafuu ya kila kitu kuanzia mikopo, ajira ya kudumu n.k.
Hivyo kuwaongezea mishahara na kila kitu huku sekta binafsi ikiangaika si sawa, kwanza wao ndio waliotamalaki kila mahala kwenye uwekezaji wa ndani huku wasiokopesheka wakifunga biashara zao.
Watumishi watosheke, waache Mh.Rais afanyie kazi sekta binafsi, kuimalisha miundombinu na kujenga uchumi imara kwa manufaa ya wote.
Wakati sahihi ukifika tumwombee kazi ya kusimamia miundombinu,kwa anayekuja.Kama hawezi kufanya mazuri kwa wafanyakazi maana yake ata kwa wakulima,wafanyabiashara na sekta zingine zote hawezi kuwafanyia mema.huo ndio ukweli.
Kwahiyo?Projects zinazofanyika sasa zikikamilika zitakuwa na faida kubwa kwa vizazi vya sasa na baadae.
Ukificha ujinga ni ujinga zaidiKuongeza salary sio swala la kuamua mtu ni swala ambalo lipo kisheria.
Kama hataki kiongeza basi awaambie wabunge wa ccm wafute hiyo sheria.
NB: Jitahidi kuficha ujinga wako.
Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app