Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli umeudanganya umma wa Watanzania na Wanategeta kuhusu kero ya mafuriko

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli umeudanganya umma wa Watanzania na Wanategeta kuhusu kero ya mafuriko

Subira the princess

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2018
Posts
3,474
Reaction score
3,744
Wasalaam.

Mimi ni mkazi wa Tegeta Nyuki, Leo natoka hali ya kushangaza mgombea Urais kupitia CCM bwana Magufuli amesema hajui matatizo ya mafuriko yanayowakumba wakazi wa Tegeta hivyo wamchagulie mbunge wa CCM Askofu Gwajima ili akaombe pesa za kuchimbia mitaro. Hayo ameyasema akiongea na wanachi wa Tegeta baada ya kukubwa na mafuriko siku ya Jana.

Uongo wa Dkt. Magufuli.
Nakumbuka mwaka 2017 wananchi wa Tegeta tulikubwa na mafuriko Mh akiwa Rais alimtuma waziri Jenista Mhagama kuja kutupa pole na aliahidi kujenga mitaro ya Bagamoyo road, lkn kwa kuwa jimbo la Kawe linaongozwa na upinzani zile ahadi zikaota mbaya mpaka Leo hii 13/10/2020 unaahidi tena na kusema ulikuwa hujui shida za mafuriko ktk hii barabara ya Bagamoyo.

Binadamu tukumbuke ukuliwa muongo usiwe msahaulifu.

Imeniuma sana kudanganywa mchana kweupe, au Waziri alijiundia ahadi hewa?

Leo umeahidi kutoa bil 5 za mitaro siku zote ulikuwa wapi? Hii sio rushwa ya uchaguzi

Maendeleo yana vyama.
 
duh, ongopa Mungu na mitandao... leta picha za utube hapa ili iwe fact
 
Gwajima porn star
Magu mpenda wanawake weupe.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Wasalaam.

Mimi ni mkazi wa Tegeta Nyuki, Leo natoka hali ya kushangaxa mgombea urais kupitia CCM bwana Magufuli amesema hajui matatizo ya mafuriko yanayowakumba wakazi wa Tegeta hivyo wamchagulie mbunge wa CCM askofu Gwajima ili akaombe pesa za kuchimbia mitaro. Hayo ameyasema akiongea na wanachi wa Tegeta baada ya kukubwa na mafuriko siku ya Jana.

Uongo wa Dr magufuli.
Nakumbuka mwaka 2017 wananchi wa tegeta tulikubwa na mafuriko Mh akiwa rais JMT na alimtuma waziri Jenista Muhagama kuja kutupa pole na aliahidi kujenga mitaro ya Bagamoyo road, lkn kwa kuwa jimbo la Kawe linaongozwa na upinzani zile ahadi zikaota mbaya mpaka Leo hii 13/10/2020 unaahidi tena na kusema ulikua hujui shida za mafuriko ktk hii barabara ya Bagamoyo.

Binadamu tukumbuke ukuwa mwongo usiwe msahaulifu.

Imeniuma sana kudanganywa mchana kweupe, au waziri Ummi Mwalimu ajiundia ahadi hewa?

Leo umeahidi kutoa bil 5 za mitaro ucku zote ulikua wp? Hii sio rushwa ya uchaguzi

Maendeleo yana vyama.
Gwajima ataanza utekelezaji mwaka huu
Halima alikosa connection sababu ya kutoka nje ya bunge kila siku
 
Wasalaam.

Mimi ni mkazi wa Tegeta Nyuki, Leo natoka hali ya kushangaxa mgombea urais kupitia CCM bwana Magufuli amesema hajui matatizo ya mafuriko yanayowakumba wakazi wa Tegeta hivyo wamchagulie mbunge wa CCM askofu Gwajima ili akaombe pesa za kuchimbia mitaro. Hayo ameyasema akiongea na wanachi wa Tegeta baada ya kukubwa na mafuriko siku ya Jana.

Uongo wa Dr magufuli.
Nakumbuka mwaka 2017 wananchi wa tegeta tulikubwa na mafuriko Mh akiwa rais JMT na alimtuma waziri Jenista Muhagama kuja kutupa pole na aliahidi kujenga mitaro ya Bagamoyo road, lkn kwa kuwa jimbo la Kawe linaongozwa na upinzani zile ahadi zikaota mbaya mpaka Leo hii 13/10/2020 unaahidi tena na kusema ulikua hujui shida za mafuriko ktk hii barabara ya Bagamoyo.

Binadamu tukumbuke ukuwa mwongo usiwe msahaulifu.

Imeniuma sana kudanganywa mchana kweupe, au waziri Ummi Mwalimu ajiundia ahadi hewa?

Leo umeahidi kutoa bil 5 za mitaro ucku zote ulikua wp? Hii sio rushwa ya uchaguzi

Maendeleo yana vyama.
Huyu "mbwiga" ni muongo aliyekubuhu.
 
Magufuli amesha tueleza kuwa akienda ikulu atakuwa anaangalia wanawake weupee hatumuhitaji mtu kama huyo sie tuna taka mtu anayejua kazi za ikulu.
 
Kongwa wana connection miaka ya kutosha chini ya Ndungai na bado ni jimbo masikini kabisa.
Mipango unaijua? Tulianza na kuhamishia serikali dodoma sasa tunahamia najimboni
Mark hii comment halafu niulize 2022
 
Mipango unaijua? Tulianza na kuhamishia serikali dodoma sana tunahamia najimboni
Mark hii comment halafu niulize 2022
Hii nilii-mark tangu 2015 mpk leo manyoya.
Screenshot_2020-09-24-19-55-15-1.jpg
 
Hivi kuna watu bado wanamuamini Yohana.

Mambo mengi anayoongea 10 ya kweli 90 inabidi uangalie. Nimesikia jana anadai kuwa tumeingia uchumi wa kati kwa kuwa hatukuweka nchi kwenye lock down ......!!
Narudia tena kusema kwamba wanasiasa si waongo, bali hawasemi ukweli. Mkiwa ndani ya chumba cha mkutano na mkaambiwa na mwanasiasa kwamba nje kuna giza, msimuamini. TokenI nje nyote na mjihakikishie pasi na shaka kwamba kweli jua limekwisha zama na hivyo kuna giza. Vinginevyo imekula kwenu.
 
Wasalaam.

Mimi ni mkazi wa Tegeta Nyuki, Leo natoka hali ya kushangaza mgombea Urais kupitia CCM bwana Magufuli amesema hajui matatizo ya mafuriko yanayowakumba wakazi wa Tegeta hivyo wamchagulie mbunge wa CCM Askofu Gwajima ili akaombe pesa za kuchimbia mitaro. Hayo ameyasema akiongea na wanachi wa Tegeta baada ya kukubwa na mafuriko siku ya Jana.

Uongo wa Dkt. Magufuli.
Nakumbuka mwaka 2017 wananchi wa Tegeta tulikubwa na mafuriko Mh akiwa Rais alimtuma waziri Jenista Mhagama kuja kutupa pole na aliahidi kujenga mitaro ya Bagamoyo road, lkn kwa kuwa jimbo la Kawe linaongozwa na upinzani zile ahadi zikaota mbaya mpaka Leo hii 13/10/2020 unaahidi tena na kusema ulikuwa hujui shida za mafuriko ktk hii barabara ya Bagamoyo.

Binadamu tukumbuke ukuliwa muongo usiwe msahaulifu.

Imeniuma sana kudanganywa mchana kweupe, au Waziri alijiundia ahadi hewa?

Leo umeahidi kutoa bil 5 za mitaro siku zote ulikuwa wapi? Hii sio rushwa ya uchaguzi

Maendeleo yana vyama.
Niesikiliza hotuba yote Sijasikia akisema hajui kuhusu mafuriko ya tegeta, alichosema hajui na alitakiwa kufahamishwa na mbunge husika ni bandari ya eneo fulani huko mbweni na ishu ya eneo la mafundi gereji ktk eneo la benki ya tid...
Haya mengine umetunga, ameongelea ishu ya mafuriko ila hajasema kuwa hajui...
Bavicha akili yako imeenda ma mafuriko wewe bila shaka...
 
Hii nilii-mark tangu 2015 mpk leo manyoya.View attachment 1599929
Ni kawaida kabisa kufanya mabadiliko madogo madogo wakati wa project ili kuleta ufanisi zaidi

Wewe unafikiri baada ya rais kugundua idadi kubwa ya walimu aliotaka kuwapelekea laptops hawana barabara za kuwafikia, hawana office wala madarasa ya kufundishia, hawana maji, hawana vituo vya afya wala umeme wa kuzicharge angeanza na nini.

Sasaivi anaijua nchi, kuanzia kijiji hadi taifa na wananchi mi5tena afanye mambo
 
Ni kawaida kabisa kufanya mabadiliko madogo madogo wakati wa project ili kuleta ufanisi zaidi

Wewe unafikiri baada ya rais kugundua idadi kubwa ya walimu aliotaka kuwapelekea laptops hawana barabara za kuwafikia, hawana office wala madarasa ya kufundishia, hawana maji, hawana vituo vya afya wala umeme wa kuzicharge angeanza na nini.

Sasaivi anaijua nchi, kuanzia kijiji hadi taifa na wananchi mi5tena afanye mambo

Naona kwa sasa wazungu wanavaa mitumba kutoka bongo.
Screenshot_2020-09-28-19-00-29-1.jpg
 
Back
Top Bottom