Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli unamtenga Jakaya Kikwete kwenye Kampeni zako, kumbuka ndiye aliyekupa Urais 2015. Muangukie akusaidie

Wafanyakazi wote wameongezewa mshahara wewe unaongelea wafanyakazi wa kugonga kokoto?

Km Unataka kikwete aendelee kukuongoza nenda ukamuombe ujiunge kwenye familia yake
Kwanini Rais Magufuli haongezi Mishahara wala kulipa mafao wakati Kodi imeongezeka mara dufu zaidi ya Kikwete. Kwanini anashindwa Kuwahudumia Wananchi kama Kikwete alivyokuwa anahudumia?
 
Magufuli anavyotuona malofa, eti anatuambia amezalisha ajira million 8,
 
Nakumbuka mwaka 2015 alipo magufuli lazima Bulembo awepo.
Ila mwaka 2020 alipo Magufuli lazima waimba singeli wawepo.
 
Kipindi cha nyuma kikwete alitukanwa kila aina ya matusi mabaya.Leo kageuka malaika.Na huyu wasasa pengine ipo siku atageuka malaika
 
Ila nasikia kwa utaratibu wa CCM, kila Rais anatekeleza sehemu ya pili ya mpango mkakati wa mtangulizi wake. Kwa hiyo kama akishinda atatekeleza wa kwake kuanzia 2020-2025.
Usiishi kwa habari za kusikia sikia.

Maccm huwa yanasema kwa mwa miaka mitano hii wamejenga maelfu ya viwanda nchini. Jiulize ni biadhaa ziipi umewahi kununua kutoka kwenye hivyo viwanda tofauti na Azam Embe ?
 
Hawana sababu ya kuhangaika hu uchaguzi 2020 wapinzani sio tishio kwa ccm kama ule wa 2015

Tena katika uraisi ndio kabisa wapinzani hawana chao maana kura zao zinagawanyika kwa Lisu , Membe na Lipumba

So wacheni wazee wale bata tu kazi imeshaisha tayari kama mnaakili mjipange kwa uchaguzi wa 2025
 
Yaani Unataka Tuanze Kuchosha Wazee Kwa Ajili ya Lissu MTU anaepita Mijinini peke take Yaani Lissu Atakuwa Raid Wa Mijini Tu HIZI NI KAMPENI RAHIS SANA KWA CCM TUNAPOELEKEA TUMWACHIA POLEPOLE APAMBANE N LISSU HALAFU MAGU AKAPUMZIKE CHATO KUSUBILI KUAPISHWA
 
Dudu Kikwete angekuwa amefanya vizuri kwenye awamu zake mbili angekuwa an asset,lakini kwa kuwa he performed extremely poorly,akae tu pembeni,atakuwa liability.After all Magufuli hahitaji msaada wake.Kwa Magufuli aliyofanya in his first term,yeye mwenyewe anatosha.
 
Ccm ikifika muda kama huu kila mwanachama upangiwa kazi,umejuaje kama ametengwa?
 
Idea zinasaidia nini bila kutekelezwa?
 
Walibanwa na Katiba. Ingekua Awamu ya Urais ni miaka 15 au 20. Miradi yote ingekamilika. Hata Magufuli hatamaliza atakuja mwingine atafanya. Haiondoi kwamba Magufuli alifanya kitu. Au sio?
Unashauri katiba ibadilishwe?
 
Alichofanikiwa Magufuli ni kutujaza hofu, hata kutamka majina yake yote manne angeweza kusema uyatamke ukiwa umepiga magoti.
 
Usiishi kwa habari za kusikia sikia.

Maccm huwa yanasema kwa mwa miaka mitano hii wamejenga maelfu ya viwanda nchini. Jiulize ni biadhaa ziipi umewahi kununua kutoka kwenye hivyo viwanda tofauti na Azam Embe ?
Hivi nimetumia neno 'nasikia sikia' au 'nasikia'?
 
Mpaka sasa sijaona hotuba yoyote ya maana unayoweza kumsifia mgombea wetu.wananchi ni kama hawamwelewi mgombea wetu.hii siyo CCM nnayoijua ni aibu. Sikio la kufa halisikii dawa.Nilionya mapema uchaguzi huu si lelemama.

Wapiga mapambio wanamdanganya mkuu.hizi hotuba hazina mashiko aeleze mambo mapya kwa wananchi.
 
Lete picha
 
Mkuu makada wa CCM mpya na team Magufuli walikuwa wanategemea sana mbeleko ya Benjamin Mkapa ktk kupangua hoja kutoka kwa wapinzani, kiasi kwamba hawakuona umuhimu wa Jakaya. Sasa imefika wakati anakubali kufa na tai shingoni.

Hoja jadidu za ushindani kutoka CDM za team Lissu na za ACT Wazalendo za team Membe na Maalim Seif zinamtia kiwewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…