Bia yetu
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 6,921
- 8,321
Wafanyakazi wote wameongezewa mshahara wewe unaongelea wafanyakazi wa kugonga kokoto?
Km Unataka kikwete aendelee kukuongoza nenda ukamuombe ujiunge kwenye familia yake
Km Unataka kikwete aendelee kukuongoza nenda ukamuombe ujiunge kwenye familia yake
Kwanini Rais Magufuli haongezi Mishahara wala kulipa mafao wakati Kodi imeongezeka mara dufu zaidi ya Kikwete. Kwanini anashindwa Kuwahudumia Wananchi kama Kikwete alivyokuwa anahudumia?