Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Vijana wanakosa ajira na kudharaulika, Miaka 5 inayokuja nataka suala la ajira nilishughulikie

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Vijana wanakosa ajira na kudharaulika, Miaka 5 inayokuja nataka suala la ajira nilishughulikie

Umeona eeeh. Yaani watanzania wanadanganywa kijinga. Mtu anakiri kabisa kawadharau vijana. Still anasema eti miaka mitano ijayo bla bla.
Cha ajabu na wasomi wetu wataamini miujiza hio.

Ajabu sana mkuu.
 
Alishindwa miaka mitano iliyopita,ataweza miaka mitano ijayo?Anawaza kununua ndege cash na kujenga Magufuli Stadium Dodoma. Halafu kwani hii miaka 5 inayomalizika Rais alikuwa nani?
Anataka tangible legacy. .... ajira watu watasahau. Maflyover yataishi milele😀😀
 
Unajua maana ya 'kipaumbele'
Kipaumbele si ndio kama hiki au?
Screenshot_2020-09-24-19-55-15-1.jpg
 
Binadamu bwana kwahiyo kushidwa miaka Mitano kutoa Ajira basi ndio wameshindwa mazima ??

CHUKI zetu zisizidi AKILI zetu

Tupe Suggestions zako Wafanyaje nini ili kutoa Ajira kwa Vijana Maana wao wameshashindwa as you said
Hamna cha ajira. SGR hata Moro haijafika. Kwa strategy za Magufuli na SGR hawezi ajiri. Alishindwa miaka mitano,ijayo pia hataweza. SGR ingekuwa imeisha hapo sawa.
 
Binadamu bwana kwahiyo kushidwa miaka Mitano kutoa Ajira basi ndio wameshindwa mazima ??

CHUKI zetu zisizidi AKILI zetu

Tupe Suggestions zako Wafanyaje nini ili kutoa Ajira kwa Vijana Maana wao wameshashindwa as you said
Kwa nini unalazimisha iwe chuki watu wanapopinga utawala uliopo, kwa kutumia haki yao ya kikatiba?

Kwanini unasema ni chuki na si tofauti ya kisiasa tu?

Kwa nini iwe chuki na si tofauti ya kifalsafa tu?

Kwa nini iwe chuki na si tofauti ya ki mrengo tu?

Huoni kwamba kukimbilia kuona chuki kabla ya kujadili mambo kiuchumi, kisiasa na na kifalsafa kunakuonesha kwamba wewe ni mtu mwenye upeo mdogo katika mijadala hii?
 
Hamna cha ajira. SGR hata Moro haijafika. Kwa strategy za Magufuli na SGR hawezi ajiri. Alishindwa miaka mitano,ijayo pia hataweza. SGR ingekuwa imeisha hapo sawa.
Mbona unarudia rudia Ulichosema Mwanzo Sawa JPM hataweza kuajiri

Tupe ways basi Za kutoa Ajira kwa vijana
 
Wanasiasa wote wa vyama vyotevni walaghai na wanaweza kusema lolote muda wowote pale inapobidi.

Kujitafutia kipato kwa mtu mmojamoja ni suala binafsi na kuendelea kuwaamini wanasiasa ni kupoteza muda
 
Mbona unarudia rudia Ulichosema Mwanzo Sawa JPM hataweza kuajiri

Tupe ways basi Za kutoa Ajira kwa vijana
Kwanza kabisa serikali inatakiwa kuondoa ukiritimba katika biashara.

Kuondoa milolongo ya kodi na vibali.

Pili serikali inatakiwa kujitoa kwenye biashara za white elephant projects kama kununua midege mikubwa ambayo kuiendesha gaharama yake ni kubwa sana na sekta binafsi ilishaanza kujiweka vizuri kuendesha biashara ya ndege.

Serikali inatakiwa kutumia nafasi yake kuwezesha vijana kufanya biashara ndogondogo na za kati zitakazoongeza mzunguko wa fedha na kuzalisha zaidi, siyo kufungia pesa nyingi katika white elephant projects ambazo hazifanyiwi hata audits wala kufuata tender process. Hili ni chaka la ufisadi mamboleo tu.

Tatu serikali inatakiwa kuwa na muelekeo. Sio mara inajitoa katika biashara na kuuza nyumba za umma. Mara inajirudisha katika biashara na kununua ndege na kuingilia biashara ya korosho.

Serikali ya Magufuli imeangusha mapato ya kilimo kutoka nje kwa silimia 55 mwaka ulioishia September 2019. Kwa kiasi kikubwa jwa sababu ya kuingikia biashara ya korosho. Ripoti ya Bank of Tanzania ndiyo imesema hilo.

Nne, serikali iache kuingilia mzunguko wa fedhs kwa makusudi na kulazimisha taasisi zake zifanye banking wapi kwa nia ya kuhodhi fedha za umma. Taasisi za umma zipewe uhuru wa kufanya biashara popote penye tija na ufanisi.

Tano, ajira zitolewe kwa watu wenye uwezo. Sio watu wenye connection.

Tano, rais aache kusema maneno ovyo ovyo. Ana undermine uchumi wa nchi. Watu wengine wakiona nchi ina rais msema ovyo hawawekezi kwenye nchi hiyo. Mambo mengine tukijipanga kidogo tu kwenye Public Relations and Messaging, mengine yatatengemaa.

Sita, rais aache kujifungia ndani kama mwali na kukataza watu kusafiri. Rais ana kazi ya kuwakilisha nchi ndani na nje ya nchi. Kujifungia ndani anatukosesha fursa nyingi za biashara na kujumuika kimataifa.

Saba, serikali inabidi ijikite katika research and develooment kuqnzia mambi ya uchumi mpaka sayansi. Kwa sasa mambo yanaenda kisiasa zaidi bila kujali uchumi wala sayansi.

Nane, serikali inabidi ijikite kutumia vizuri zaidi rasilimqli zetu za ndani. Fiscal policy itumike kuchochea maendeleo. Mifuko ya oensheni itumike kwenye shughuli zenye maendeleo ya kiuchuni na si kisiasa kama sasa. VAT itumike vizuri kwenye diatribution impact. Incentives na sera ziwekwe kuwndeleza na kupata kodi sahihi kutoka sekatq isiyo rasmi.

Tisa, sera ya taifa kuhusu extractives ijikite kuwa rafiki kwa mazingira na endelevu zaidi ili kuchangia uwezo wa kujiondoa katika a "rent seeking economy". Kuna migodi kama Buzwagi huko madini yashaisha yamebaki mashimo tu. Pia inqbidi tuwe business friendly zaidi, serikali isione wawekezaji maadui, ika walipe kodi na kudhibitiwa wasituibie. Kwa sasa wawekezaji ni kama maadui.

Kumi, land reform. Ni wakati sasa tuondokqne na habari za Ujamaa za serikali kumiliki ardhi na kukodisha watu. Hii ni moja ya sababu wawekezaji serious hawataki kuwekeza Tanzania. Utawekezaje kilimo cha mashambq makubwa na kutia ajira kwa watu kama simu yoyote serikali inaweza kutaifisha ardhi yako kwa kisingizio chochote bila hata malipo?

Bonus point.

Miradi ya kijilingajinga ya kisiasa kama kuhamisha mji mkuu kwenda Dodoma, ambayo sio tu haina ufanisi wa kiuchumi, bali pia ina gharama kubwa, itupiliwe mbali.

Naweza kuandika point mia kama hizi. Na hizi sijaandika kwa order ya umuhimu.

Ila kwa keo niishie hapa.
 
Hahahahh katika Post yangu yote Umevutiwa na Neno CHUKI tuu na Si dhima Nyingine
Kwa nini unalazimisha iwe chuki watu wanapopinga utawala uliopo, kwa kutumia haki yao ya kikatiba?
Hapana Hakuna Mahali Nimelazimisha CHUKI kuwa Ndio Sababu yao kupinga Utawala uliopo, yaani sikuonesha Msisitizo katika Hilo
Kwanini unasema ni chuki na si tofauti ya kisiasa tu?
Unajua katika Maisha yangu Nimewahi kuchukia kitu/mtu kama ilivyo kwa watu wengine ikiwemo wewe, Na kwa Sababu hiyo Ndio Maana Nimesema CHUKI inaweza pia ikawa Sababu kwao kupinga Utawala huu Na CHUKI Wakati mwengine ndio inazalisha Tofaut ya kisiasa
Kwa nini iwe chuki na si tofauti ya kifalsafa tu?
Nakubali Hizo zote ni Sababu halisi zinazo sababisha watu kupinga Utawala, FALSAFA ni Shughuli tuu za kimawazo Au Aina pekee ya kimawazo Au Namna frani ya kufikiri Hivyo CHUKI haingii kwenye Mawazo iko kwenye Nafsi tuu
Kwa nini iwe chuki na si tofauti ya ki mrengo tu?
Unajua Wakat Mwingine Najaribu kuwauliza Opions zao watu wanaopinga Utawala ili kuona Mrengo wao katika Maswala, Lakini wao kushindwa kunanipa Opinions zao inahalalisha Mimi kusema Ni CHUKI
Huoni kwamba kukimbilia kuona chuki kabla ya kujadili mambo kiuchumi, kisiasa na na kifalsafa kunakuonesha kwamba wewe ni mtu mwenye upeo mdogo katika mijadala hii?
Kama unaposema kukimbilia You Mean Always, Basi Haup Sahihi Si desturi yangu kusema Ni CHUKI ni Leo tu Na ni baada ya kupata Uhalalisho huo kwa Single Member huyo
 
Hahahahh katika Post yangu yote Umevutiwa na Neno CHUKI tuu na Si dhima Nyingine
Hapana Hakuna Mahali Nimelazimisha CHUKI kuwa Ndio Sababu yao kupinga Utawala uliopo, yaani sikuonesha Msisitizo katika Hilo

Unajua katika Maisha yangu Nimewahi kuchukia kitu/mtu kama ilivyo kwa watu wengine ikiwemo wewe, Na kwa Sababu hiyo Ndio Maana Nimesema CHUKI inaweza pia ikawa Sababu kwao kupinga Utawala huu Na CHUKI Wakati mwengine ndio inazalisha Tofaut ya kisiasa
Nakubali Hizo zote ni Sababu halisi zinazo sababisha watu kupinga Utawala, FALSAFA ni Shughuli tuu za kimawazo Au Aina pekee ya kimawazo Au Namna frani ya kufikiri Hivyo CHUKI haingii kwenye Mawazo iko kwenye Nafsi tuu
Unajua Wakat Mwingine Najaribu kuwauliza Opions zao watu wanaopinga Utawala ili kuona Mrengo wao katika Maswala, Lakini wao kushindwa kunanipa Opinions zao inahalalisha Mimi kusema Ni CHUKI
Kama unaposema kukimbilia You Mean Always, Basi Haup Sahihi Si desturi yangu kusema Ni CHUKI ni Leo tu Na ni baada ya kupata Uhalalisho huo kwa Single Member huyo
Kwa hiyo unakataa maneno yako mwenyewe? Hukuandika habari za chuki?

Yani unajamba hadharani, halafu mtu anakuuliza mbona umejamba hadharani hapa, unajitetea na kusema kwamba "mbona unaona nimejamba tu hujaona nimepaka marashi pia?".

Huo ni utetezi au unakubali kosa umejamba?
 
Kwanza kabisa serikali inatakiwa kuondoa ukiritimba katika biashara.

Kuondoa milolongo ya kodi na vibali.

Pili serikali inatakiwa kujitoa kwenye biashara za white elephant projects kama kununua midege mikubwa ambayo kuiendesha gaharama yake ni kubwa sana na sekta binafsi ilishaanza kujiweka vizuri kuendesha biashara ya ndege.

Serikali inatakiwa kutumia nafasi yake kuwezesha vijana kufanya biashara ndogondogo na za kati zitakazoongeza mzunguko wa fedha na kuzalisha zaidi, siyo kufungia pesa nyingi katika white elephant projects ambazo hazifanyiwi hata audits wala kufuata tender process. Hili ni chaka la ufisadi mamboleo tu.

Tatu serikali inatakiwa kuwa na muelekeo. Sio mara inajitoa katika biashara na kuuza nyumba za umma. Mara inajirudisha katika biashara na kununua ndege na kuingilia biashara ya korosho.

Serikali ya Magufuli imeangusha mapato ya kilimo kutoka nje kwa silimia 55 mwaka ulioishia September 2019. Kwa kiasi kikubwa jwa sababu ya kuingikia biashara ya korosho. Ripoti ya Bank of Tanzania ndiyo imesema hilo.

Nne, serikali iache kuingilia mzunguko wa fedhs kwa makusudi na kulazimisha taasisi zake zifanye banking wapi kwa nia ya kuhodhi fedha za umma. Taasisi za umma zipewe uhuru wa kufanya biashara popote penye tija na ufanisi.

Tano, ajira zitolewe kwa watu wenye uwezo. Sio watu wenye connection.

Tano, rais aache kusema maneno ovyo ovyo. Ana undermine uchumi wa nchi. Watu wengine wakiona nchi ina rais msema ovyo hawawekezi kwenye nchi hiyo. Mambo mengine tukijipanga kidogo tu kwenye Public Relations and Messaging, mengine yatatengemaa.

Sita, rais aache kujifungia ndani kama mwali na kukataza watu kusafiri. Rais ana kazi ya kuwakilisha nchi ndani na nje ya nchi. Kujifungia ndani anatukosesha fursa nyingi za biashara na kujumuika kimataifa.

Saba, serikali inabidi ijikite katika research and develooment kuqnzia mambi ya uchumi mpaka sayansi. Kwa sasa mambo yanaenda kisiasa zaidi bila kujali uchumi wala sayansi.

Nane, serikali inabidi ijikite kutumia vizuri zaidi rasilimqli zetu za ndani. Fiscal policy itumike kuchochea maendeleo. Mifuko ya oensheni itumike kwenye shughuli zenye maendeleo ya kiuchuni na si kisiasa kama sasa. VAT itumike vizuri kwenye diatribution impact. Incentives na sera ziwekwe kuwndeleza na kupata kodi sahihi kutoka sekatq isiyo rasmi.

Tisa, sera ya taifa kuhusu extractives ijikite kuwa rafiki kwa mazingira na endelevu zaidi ili kuchangia uwezo wa kujiondoa katika a "rent seeking economy". Kuna migodi kama Buzwagi huko madini yashaisha yamebaki mashimo tu. Pia inqbidi tuwe business friendly zaidi, serikali isione wawekezaji maadui, ika walipe kodi na kudhibitiwa wasituibie. Kwa sasa wawekezaji ni kama maadui.

Kumi, land reform. Ni wakati sasa tuondokqne na habari za Ujamaa za serikali kumiliki ardhi na kukodisha watu. Hii ni moja ya sababu wawekezaji serious hawataki kuwekeza Tanzania. Utawekezaje kilimo cha mashambq makubwa na kutia ajira kwa watu kama simu yoyote serikali inaweza kutaifisha ardhi yako kwa kisingizio chochote bila hata malipo?

Bonus point.

Miradi ya kijilingajinga ya kisiasa kama kuhamisha mji mkuu kwenda Dodoma, ambayo sio tu haina ufanisi wa kiuchumi, bali pia ina gharama kubwa, itupiliwe mbali.

Naweza kuandika point mia kama hizi. Na hizi sijaandika kwa order ya umuhimu.

Ila kwa keo niishie hapa.

You are very good Writer My Friend

I wish i could have that ability too, Am not good writer or Speaker. I speak and Write good in my mind

Anyway, Of Course Umeandika Mambo ya Msingi Sana ila sio yote Mfano hilo la Dodoma, Huo Sio mradi wa kijingajinga kama usemavyo Bali Ni maswala ya Kiusalama Zaidi

Pia Swala la Serikali kutumia Rasilimali vizuri mbona wanajitahidi sana tukianza na Utalii, Upande huu wamefanya jitihada Nyingi ikiwemo Kufungua channel ya Safari inayo tumika kuhamasisha Utalii ndani na nje ya nchi Hata hivyo Mapato yameongezeka Takwimu nimesahau

Swala la kuona Wawekezaji Maadui nimelisikia kwako. Leo tuu Serikali imepokea Gawio kwenye Setka ya Madini na imeto hamasa kwa watu kwenda kuwekeza sio wa Nje tuu na Hata Sisi wazawa,Sijajua Uadui gani unazungumzia
Serikali na Wawekezaji

Kama nilivyosema hapo Mwanzo Mimi Si MwandishI wala Muongeaji Mzuri, Kuna Mambo mengine nafikilia kwa kina Sana

Unajua Sisi Africa Tumechelewa Sana kupata Maendeleo, Dunia kuanzia karne ya 19 kurudi Nyuma ni Tofaut Sana na Dunia katikati Mwa karne ya 20 kuja juu Sisi Africa wengi tumepata Uhuru at the mid of 20 century, Hivyo basi mchakato katika kuyafikia Maendeleo Ni Lazima Sana uwe tofauti na ule wa miaka ile Sio kwamba Africans Hatuna Akili Lahasha mchakato wetu sisi sio smooth, and it can't be Smooth hivyo Sometimes i do think hatuna budi kukubali hali hizi kufikia Mrengo

Hapakua na Facebook, twitter Au simply hapakua na internet. INTERNET imeguduliwa miaka ya 1960 Na tena imetumika miaka firstly around 1980

Unajua nachotaka kusema ni kwamba kile kikwazo walichokua wanakipata These First world Countries in their Processes is almost Negligible na Sio kwamba walikua hawakosei in their Hustle they do make mistakes imagine Trump is 45th US president

Leo hii Wangapi wanaingia Jamii forum, Twitter etc kuikosea Serikali na Wana ambukiza wangapi ??...Do you think it will end kwa Magufuli Pekee Wewe huoni Hata akija Lissu tutapata Kiggo2014 Mwengine, tutapata zzk Mwengine, kina kiranga wengine Na nk nk .Na Always Negativity ina attracts More than Positivity, Na hayo ndio yatakua Maisha yetu Hence it's So hard kupata Maendeleo
MAGU2020[emoji3]

Being Positively is the Key
 
Kwa hiyo unakataa maneno yako mwenyewe? Hukuandika habari za chuki?

Yani unajamba hadharani, halafu mtu anakuuliza mbona umejamba hadharani hapa, unajitetea na kusema kwamba "mbona unaona nimejamba tu hujaona nimepaka marashi pia?".

Huo ni utetezi au unakubali kosa umejamba?

Mbona unaleta UBISHI WA KITOTO

Nimekujibu Maswali According na ulivyo kipengele kwa kipengele ungeniuliza Jumla Jumla I could do it so

Kama umeshindwa kujibu Ungeacha

Ndio ni UTETEZI kwani uliniuliza ili NIKUBALI ?? [emoji28]
 
Mbona unaleta UBISHI WA KITOTO

Nimekujibu Maswali According na ulivyo kipengele kwa kipengele ungeniuliza Jumla Jumla I could do it so

Kama umeshindwa kujibu Ungeacha

Ndio ni UTETEZI kwani uliniuliza ili NIKUBALI ?? [emoji28]
Nimeanza mwanzo tu kabla sijafika mbali.

Sitakiwi kukupeleka kwenye Euler-Riemann Zeta functions kabla hujajua alphabet ni nini.

Nisije kufika mbali kumbe mwenzangu mbumbumbu wahedi.

Hukuandika habari za chuki?

Unakataa maneno yako mwenyewe?
 
Kwa taarifa tu ajira huwezi kulinganisha na vitu vidogo kama flyover kwani baada ya kuajiri ni miezi miwili tu unakuwa umelipa mishahara ya zaid ya garama ya flyover kwaio hapo tunadanganywa tu!
 
Mwanasiasa ni kiumbe ambaye hupitia kozi fupi ya uongo na ulaghai..kamwe usimwamini mwanasiasi wa aina ya magu.
Huyu haaminiki tena.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom