Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Vijana wanakosa ajira na kudharaulika, Miaka 5 inayokuja nataka suala la ajira nilishughulikie

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Vijana wanakosa ajira na kudharaulika, Miaka 5 inayokuja nataka suala la ajira nilishughulikie

Kwa nini unalazimisha iwe chuki watu wanapopinga utawala uliopo, kwa kutumia haki yao ya kikatiba?

Kwanini unasema ni chuki na si tofauti ya kisiasa tu?

Kwa nini iwe chuki na si tofauti ya kifalsafa tu?

Kwa nini iwe chuki na si tofauti ya ki mrengo tu?

Huoni kwamba kukimbilia kuona chuki kabla ya kujadili mambo kiuchumi, kisiasa na na kifalsafa kunakuonesha kwamba wewe ni mtu mwenye upeo mdogo katika mijadala hii?
Wamezoea kujaribu kwa kila kitu mpaka kumpa mtu urais anapewa kwa makaribio bila kuwa na uhakika wa nini atafanya.

Yaani akilala na kuamka lakumjia akilini ndilo hilohilo atalofanya as long as itakua ni mtaji kisiasa.

Hawana dira ya maendeleo wapo wapo tu. Hakuna plan za miaka hata 50. Yaani ujinga mtupu. Ndio maana unaona barabara zinajengwa alafu baada ya muda mfupi zinabomolewa either kwa kupanuliwa au kutengenezwa upya.

Ona jiji kubwa kama dar mvua ya siku moja imekua majanga. Alafu kuna watu wanajisifia.

Wameondoa fao la kujitoa watu wanahangaika.
Hali za watu zimekua ngumu mtaani wao wapo tu na maneno yao ya siasa
 
You are very good Writer My Friend

I wish i could have that ability too, Am not good writer or Speaker. I speak and Write good in my mind

Anyway, Of Course Umeandika Mambo ya Msingi Sana ila sio yote Mfano hilo la Dodoma, Huo Sio mradi wa kijingajinga kama usemavyo Bali Ni maswala ya Kiusalama Zaidi

Pia Swala la Serikali kutumia Rasilimali vizuri mbona wanajitahidi sana tukianza na Utalii, Upande huu wamefanya jitihada Nyingi ikiwemo Kufungua channel ya Safari inayo tumika kuhamasisha Utalii ndani na nje ya nchi Hata hivyo Mapato yameongezeka Takwimu nimesahau

Swala la kuona Wawekezaji Maadui nimelisikia kwako. Leo tuu Serikali imepokea Gawio kwenye Setka ya Madini na imeto hamasa kwa watu kwenda kuwekeza sio wa Nje tuu na Hata Sisi wazawa,Sijajua Uadui gani unazungumzia
Serikali na Wawekezaji

Kama nilivyosema hapo Mwanzo Mimi Si MwandishI wala Muongeaji Mzuri, Kuna Mambo mengine nafikilia kwa kina Sana

Unajua Sisi Africa Tumechelewa Sana kupata Maendeleo, Dunia kuanzia karne ya 19 kurudi Nyuma ni Tofaut Sana na Dunia katikati Mwa karne ya 20 kuja juu Sisi Africa wengi tumepata Uhuru at the mid of 20 century, Hivyo basi mchakato katika kuyafikia Maendeleo Ni Lazima Sana uwe tofauti na ule wa miaka ile Sio kwamba Africans Hatuna Akili Lahasha mchakato wetu sisi sio smooth, and it can't be Smooth hivyo Sometimes i do think hatuna budi kukubali hali hizi kufikia Mrengo

Hapakua na Facebook, twitter Au simply hapakua na internet. INTERNET imeguduliwa miaka ya 1960 Na tena imetumika miaka firstly around 1980

Unajua nachotaka kusema ni kwamba kile kikwazo walichokua wanakipata These First world Countries in their Processes is almost Negligible na Sio kwamba walikua hawakosei in their Hustle they do make mistakes imagine Trump is 45th US president

Leo hii Wangapi wanaingia Jamii forum, Twitter etc kuikosea Serikali na Wana ambukiza wangapi ??...Do you think it will end kwa Magufuli Pekee Wewe huoni Hata akija Lissu tutapata Kiggo2014 Mwengine, tutapata zzk Mwengine, kina kiranga wengine Na nk nk .Na Always Negativity ina attracts More than Positivity, Na hayo ndio yatakua Maisha yetu Hence it's So hard kupata Maendeleo
MAGU2020[emoji3]

Being Positively is the Key
Bora hata usingeandika tu..umedhihirisha ulivyo mweupe kichwani.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Kwa taarifa tu ajira huwezi kulinganisha na vitu vidogo kama flyover kwani baada ya kuajiri ni miezi miwili tu unakuwa umelipa mishahara ya zaid ya garama ya flyover kwaio hapo tunadanganywa tu!
Ajira kama zina tija zinaweza kutengeneza flyover kadhaa kila mwezi.

Zenye manufaa kwa serikali na wananchi.

Hivi watu hawaoni hili?
 
Hakika kwanza haaminiki uyo yeye huyo huyo atakuja aseme mlifikiri kweli nitaajiri wafanya kazi wengi kiasi hucho?? Iyo haiwezekani katika nchi yeyote ni lazima niwaambie ukweli kwa sababu msemakweli ni mpenzi wa mungu? Saiz katulia tuliiii c anaomba ajira kwanza!!
 
Amna kitu apa inaonesha amna kitu kichwani na hufuatilii mambo ya nchi yako labda unatizamaga TBC TAIFA pekee!! yan unachokijibu kwa huyu jamaa hukielewi aisee!! Ivi wewe unaijua wawamu ya tano ya MAGU vs TRA??
 
Wamezoea kujaribu kwa kila kitu mpaka kumpa mtu urais anapewa kwa makaribio bila kuwa na uhakika wa nini atafanya.

Yaani akilala na kuamka lakumjia akilini ndilo hilohilo atalofanya as long as itakua ni mtaji kisiasa.

Hawana dira ya maendeleo wapo wapo tu. Hakuna plan za miaka hata 50. Yaani ujinga mtupu. Ndio maana unaona barabara zinajengwa alafu baada ya muda mfupi zinabomolewa either kwa kupanuliwa au kutengenezwa upya.

Ona jiji kubwa kama dar mvua ya siku moja imekua majanga. Alafu kuna watu wanajisifia.

Wameondoa fao la kujitoa watu wanahangaika.
Hali za watu zimekua ngumu mtaani wao wapo tu na maneno yao ya siasa
Mtu kaandika chuki.

Namuuliza kwa nini umeandika kuhusu chuki, kwa nini hizi zisiwe tofauti za kisiasa tu?

Mpaka sasa sijaona jibu.
 
You are very good Writer My Friend

I wish i could have that ability too, Am not good writer or Speaker. I speak and Write good in my mind

Anyway, Of Course Umeandika Mambo ya Msingi Sana ila sio yote Mfano hilo la Dodoma, Huo Sio mradi wa kijingajinga kama usemavyo Bali Ni maswala ya Kiusalama Zaidi

Pia Swala la Serikali kutumia Rasilimali vizuri mbona wanajitahidi sana tukianza na Utalii, Upande huu wamefanya jitihada Nyingi ikiwemo Kufungua channel ya Safari inayo tumika kuhamasisha Utalii ndani na nje ya nchi Hata hivyo Mapato yameongezeka Takwimu nimesahau

Swala la kuona Wawekezaji Maadui nimelisikia kwako. Leo tuu Serikali imepokea Gawio kwenye Setka ya Madini na imeto hamasa kwa watu kwenda kuwekeza sio wa Nje tuu na Hata Sisi wazawa,Sijajua Uadui gani unazungumzia
Serikali na Wawekezaji

Kama nilivyosema hapo Mwanzo Mimi Si MwandishI wala Muongeaji Mzuri, Kuna Mambo mengine nafikilia kwa kina Sana

Unajua Sisi Africa Tumechelewa Sana kupata Maendeleo, Dunia kuanzia karne ya 19 kurudi Nyuma ni Tofaut Sana na Dunia katikati Mwa karne ya 20 kuja juu Sisi Africa wengi tumepata Uhuru at the mid of 20 century, Hivyo basi mchakato katika kuyafikia Maendeleo Ni Lazima Sana uwe tofauti na ule wa miaka ile Sio kwamba Africans Hatuna Akili Lahasha mchakato wetu sisi sio smooth, and it can't be Smooth hivyo Sometimes i do think hatuna budi kukubali hali hizi kufikia Mrengo

Hapakua na Facebook, twitter Au simply hapakua na internet. INTERNET imeguduliwa miaka ya 1960 Na tena imetumika miaka firstly around 1980

Unajua nachotaka kusema ni kwamba kile kikwazo walichokua wanakipata These First world Countries in their Processes is almost Negligible na Sio kwamba walikua hawakosei in their Hustle they do make mistakes imagine Trump is 45th US president

Leo hii Wangapi wanaingia Jamii forum, Twitter etc kuikosea Serikali na Wana ambukiza wangapi ??...Do you think it will end kwa Magufuli Pekee Wewe huoni Hata akija Lissu tutapata Kiggo2014 Mwengine, tutapata zzk Mwengine, kina kiranga wengine Na nk nk .Na Always Negativity ina attracts More than Positivity, Na hayo ndio yatakua Maisha yetu Hence it's So hard kupata Maendeleo
MAGU2020[emoji3]

Being Positively is the Key
Magufuli is a country bumpkin.

Ndiyo maana mpaka leo ana objectify wanawake na kupapatikia wanawake weupe kishamba.

Badala ya kuunganisha wananchi wake, anawagawa kwa rangi.

Usipoona hilo, na wewe ni mshamba kama yeye.

Bisha.
 
Alishindwa miaka mitano iliyopita,ataweza miaka mitano ijayo?Anawaza kununua ndege cash na kujenga Magufuli Stadium Dodoma. Halafu kwani hii miaka 5 inayomalizika Rais alikuwa nani?

Ukweli mkuu, angeweza kubalance mambo, sio anaenda extreme kununua mandege sijui ziko ngapi najua ni nyingi, huku vijana wanadoda, while angeweza kununua chache huku akilishughulikia swala la ajira, i bet in the next five years ataenda again extreme ai invest kwenye ajira, huku mambo mengine yanadoda, ningekua mshauri wake ningemwambia afanye ku balance mambo..hata chumvi , sukari ukizidisha ni kero...
 
Binadamu bwana kwahiyo kushidwa miaka Mitano kutoa Ajira basi ndio wameshindwa mazima ??

CHUKI zetu zisizidi AKILI zetu

Tupe Suggestions zako Wafanyaje nini ili kutoa Ajira kwa Vijana Maana wao wameshashindwa as you said
He is a totally failure...
 
Binadamu bwana kwahiyo kushidwa miaka Mitano kutoa Ajira basi ndio wameshindwa mazima ??

CHUKI zetu zisizidi AKILI zetu

Tupe Suggestions zako Wafanyaje nini ili kutoa Ajira kwa Vijana Maana wao wameshashindwa as you said
Hakuna habari ya suggestions hapa, ni kukabidhi madaraka kwa wengine. Imekaa miaka 60 kwenye utawala unasubiri suggestions kutoka kwa wapinzani? Waache wapinzani wafanye wenyewe.
 
Ukweli mkuu, angeweza kubalance mambo, sio anaenda extreme kununua mandege sijui ziko ngapi najua ni nyingi, huku vijana wanadoda, while angeweza kununua chache huku akilishughulikia swala la ajira, i bet in the next five years ataenda again extreme ai invest kwenye ajira, huku mambo mengine yanadoda, ningekua mshauri wake ningemwambia afanye ku balance mambo..hata chumvi , sukari ukizidisha ni kero...
Huyu akishinda wafanyakazi wasahau kuongezwa mishara. Wala ajira mpya vijana wasahau. Li SGR halijaisha. Hicho kipande tu walisema kitaisha 2019 bado hakijaisha,ukiongeza na wanataka iende mpaka Mwanza ndo kuisha mpaka miaka 20. Wapambe watakuja na issue ya tumuongeze muda ili amalizie SGR.Kubalance ni ngumu maana yeye lengo lake ni kumaliza SGR kwa haraka. Hajui hata Rome haikujengwa kwa miaka 10.
 
Hakuna habari ya suggestions hapa, ni kukabidhi madaraka kwa wengine. Imekaa miaka 60 kwenye utawala unasubiri suggestions kutoka kwa wapinzani? Waache wapinzani wafanye wenyewe.

Sawa Sawa

He is a totally failure...

Sawa Sawa

Kwa hiyo ajira zinatolewa kimamlaka sio?!

Ndio zinatolewa kimamlaka ndio maana Mnawaomba Wawaajiri, Kwan hamuwaombi ???
[emoji23][emoji23][emoji23]

Magufuli is a country bumpkin.

Ndiyo maana mpaka leo ana objectify wanawake na kupapatikia wanawake weupe kishamba.

Badala ya kuunganisha wananchi wake, anawagawa kwa rangi.

Usipoona hilo, na wewe ni mshamba kama yeye.

Bisha.

Sawa Umeshinda mkuu Hongera

Mtu kaandika chuki.

Namuuliza kwa nini umeandika kuhusu chuki, kwa nini hizi zisiwe tofauti za kisiasa tu?

Mpaka sasa sijaona jibu.

Unataka Majibu gani kiranga ??? Mbona unanilazimish nikujibu utakavyo, Hii ni Discussion Au nini ??

Bora hata usingeandika tu..umedhihirisha ulivyo mweupe kichwani.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app

Shukrani Mkuu, Lakini Usisahau kutuonesha jinsi Wewe ulivyo na AKILI NYINGI Sana [emoji4][emoji4]

Nimeanza mwanzo tu kabla sijafika mbali.

Sitakiwi kukupeleka kwenye Euler-Riemann Zeta functions kabla hujajua alphabet ni nini.

Nisije kufika mbali kumbe mwenzangu mbumbumbu wahedi.

Hukuandika habari za chuki?

Unakataa maneno yako mwenyewe?

Sawa Sawa kabisa
 
Ukweli mkuu, angeweza kubalance mambo, sio anaenda extreme kununua mandege sijui ziko ngapi najua ni nyingi, huku vijana wanadoda, while angeweza kununua chache huku akilishughulikia swala la ajira, i bet in the next five years ataenda again extreme ai invest kwenye ajira, huku mambo mengine yanadoda, ningekua mshauri wake ningemwambia afanye ku balance mambo..hata chumvi , sukari ukizidisha ni kero...
Nimeipenda.!
 
Umeona eeeh. Yaani watanzania wanadanganywa kijinga. Mtu anakiri kabisa kawadharau vijana. Still anasema eti miaka mitano ijayo bla bla.
njoo tucheze kamari Mimi nipo upande wa Magufuli, kwamba atashinda tuweke milioni moja moja.
 
Epuka kumwamini mwanasiasa wa ccm kwa afya na ustawi wa akili yako.
 
Back
Top Bottom