Uchaguzi 2020 Dkt. Mahera: Kuna watu wana chokochoko, wasimamizi wa uchaguzi fuateni sheria kuepuka shari

Labda kwa mujibu wa PhD ya hesabu hakuna tofauti.
 
Huyu Mahera kitambo sana ameshaingia kwenye 18 za Bensouda.
Mchana anasisitiza kufuata sheria lakini gizani anawaagiza wakurugenzi kuminya haki za watu. Tunamwambia, mkurugenzi atakayeminya haki za mawakala atakuwa anatutafuta maneno sisi raia na atayapata! Mkurugenzi atakayedhulumu haki za mawakala anatafuta ugomvi mpatieni huo ugomvi!!
 
Mimi sijaelewa. Kwa hiyo mtu ukiishapiga hauruhusiwi kwenda sehemu yeyote tofauti na nyumbani na ukae nyumbani kusubiri matokeo? Kwa hiyo mtu ukienda kanisani, kwa kinyozi, hospitali, kazini, beach, kuangalia mpira kwa jirani n.k. unaweza kushtakiwa kwa kuvunja sheria? Na ukitoka nyumbani kwenda kazini au sehemu nyingine kabla ya matokeo kutangazwa nako utakuwa umevunja sheria? Mbona wanatuchanganya?

Amandla......
 
Hivi kwa tume kujiamulia kuwapeleka mawakala wa vyama katika vituo watakavyoamua tume wenyewe, si kwamba wanawapotezea hawa mawakala haki yao ya msingi ya kupiga kura?
Inaonekana hujui. Ukweli ni kwamba, Tume imeagiza vyama viwapangie mawakala wao vituo,ndipo waende kuapishwa.
 
Inaonekana hujui. Ukweli ni kwamba, Tume imeagiza vyama viwapangie mawakala wao vituo,ndipo waende kuapishwa.
Kwa maelezo niliyosikia akiyatoa Lissu juzi ni kuwa pamoja na vyama kupendekeza vituo vya hao mawakala, tume bado ina uwezo wa kubadilisha wapi hao mawakala waende. Ndiyo maana akawa anasema wanaweza kucheleweshwa kwa makusudi kufika katika vituo vyao.
 
Mnajisifia kwa Matumizi makubwa wakati huo huo Wnanachi wenu wana taabika katika umasikini ulio topea.
Watu tunakula mihogo mibichi na iliyopikwa tunalala hovyo halafu huyu kinyamkera anatutambia.
 
Ajitahadhari, bado ni kijana midogo. Uchaguzi ukichafuka yeye ndiye wa kwanza kulaumiwa na wa kwanza kwenda The Hague.
 
Kwa nini Tume inaogopa kusaidiwa na wenye nchi(wananchi) kulinda vituo vya kupigia kura,kuna shida gani wakisubiri matokeo hapo hapo??
 
👇🏽👇🏽👇🏽Mambo ni 🔥
It's simple -unaandika HELLO kwenda namba hiyo +16202675770
Na hatujuani huko inawezekana hata jirani yako au mwenza wako yuko humu, hamtambuani! Uzuri hata ujumbe ukituma hawaoni DATA PROTECTION ya hali ya juu
Mwambie na mwenzako!
#TutaelewanaTu #Uchaguzi2020
 
Sisi hapa Geita tumejiandaa na kidumu cha Petroli iwapo Upendo na Lissu wasipotangazwa hiyo 28 msimamizi atatutambua
Kila siku huwa nawaambia dawa ya hao jamaa ni vidumu tu,mapolisi hawawezi kuwepo kila kwenye Mali zao ikiwemo nyumba.Unajua chama chakavu kimebaki na wazee na wamama wote waoga
 
Kila siku huwa nawaambia dawa ya hao jamaa ni vidumu tu,mapolisi hawawezi kuwepo kila kwenye Mali zao ikiwemo nyumba.Unajua chama chakavu kimebaki na wazee na wamama wote waoga
Mimi sio kama nilikuwa nahamasisha Vurugu la hasha ila Chadema ikishinda halafu walete mchezo wa kuiba ndio wataona moto
Mimi nilikuwa CCM kwa miaka mingi na sasa nimehamia Chadema mbinu zao nazijua sasa waache Wananchi waamue
 
WASIMAMIZI WA UCHAGUZI NGAZI ZA MAJIMBO KWENYE MIKOA YA SINGIDA NA DODOMA NA MOROGORO WANATOA MAELEKEZO YA KUIPENDELEA CCM TENA MA ARO KATA WAPO KWENYE PRESHA KUBWA NEC HAPA MUWE WAANGALIFU KWENYE MIKOA HII

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
 
Ni bahati mbaya sana tume ya uchaguzi kuongozwa na mtu wa aina ya Dk Mahera.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…