Dkt. Manguruwe anyooshewa kidole akidaiwa kufanya utapeli kwa baadhi ya wateja walioitikia kuwekeza kwenye kampuni yake

Dkt. Manguruwe anyooshewa kidole akidaiwa kufanya utapeli kwa baadhi ya wateja walioitikia kuwekeza kwenye kampuni yake

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Haya sasa sema kimeumana Dr. Manguruwe akaliwa kooni adaiwa katapeli watu. Bwebwe nyingi huko mtandaoni kumbe nyuma ya camera anayake mambo
===================
Katika hali isiyokuwa ya kawaida na isiyotarajiwa kampuni ya Pig Investment International (Kijiji cha Nguruwe) inayomilikiwa na Simon Mkondya (Dr. Manguruwe) imenyooshewa kidole ikidaiwa kufanya utapeli kwa baadhi ya wateja walioitikia wito wake wa kuwekeza kwenye kampuni hiyo

Taarifa za kuaminika ilizonazo Jambo TV zinadai kuwa kampuni hiyo inadaiwa mamilioni ya fedha kutoka kwa wananchi wa maeneo tofauti nchini ambao kwa kiasi kikubwa wengi walishawishika kujiunga na kuwekeza kwenye 'Kijiji cha Nguruwe' kufuatia taarifa na matangazo yaliyokuwa yanatolewa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii na baadhi ya vyombo vya habari ikiwemo kituo cha radio cha Wapo, ambapo uwepo wa matangazo hayo umetengeneza ushawishi mkubwa kwa jamii wa kuamini kuwa fedha zao zingekuwa salama pindi wakiwekeza kwenye kampuni hiyo jambo ambalo kiuhalisia wengi wao kwa sasa wanajuta

Soma Pia: Walimu wanne wakamatwa wakituhumiwa kufanya utapeli kwa safaru ya kimtandao Mwanza

Jeremiah Magesa, mkazi wa Mbagala, Temeke, jijini Dar es Salaam ni miongoni mwa waathirika wa utapeli huo ambapo katika mazungumzo yake na Jambo TV amedai kuwa awali alipata taarifa ya uwepo wa kampuni hiyo kupitia matangazo yaliyokuwa yakisikika kwenye kituo cha radio cha Wapo, kituo kilichopo Mbezi jijini Dar es Salaam ambapo hamasa ya tangazo lililokuwa linaendelea lilimshawishi naye kuitafuta kampuni hiyo kwa ajili ya kuanza uwekezaji

Amesema alianza uwekezaji wake mnamo Mei 21.2024 ambapo aliwekeza shilingi milioni 1.4 na kwamba walikubaliana kuwa yeye atakuwa akipokea shilingi laki 1 na elfu 40 kila wiki kwa muda wa miezi sita, lakini katika simulizi yake anadai kuwa makubaliano hayo yalieanda sawa ndani ya muda wa wiki tatu tu za mwanzo ambapo kwa ujumla wake alipatiwa shilingi laki 4 na elfu 20, tangu hapo hajapokea kiasi chochote cha pesa hadi sasa

Sambamba na huyo, yuko mtu mwingine aliyejitambulisha jina la Modest Emmanuel Kanan, mkazi wa Mwananyamala jijini Dar es Salaam ambapo yeye anadai kuwa aliwekeza mtaji wa shilingi milioni 1.
 
Haya sasa sema kimeumana Dr. Manguruwe akaliwa kooni adaiwa katapeli watu. Bwebwe nyingi huko mtandaoni kumbe nyuma ya camera anayake mambo
===================
Katika hali isiyokuwa ya kawaida na isiyotarajiwa kampuni ya Pig Investment International (Kijiji cha Nguruwe) inayomilikiwa na Simon Mkondya (Dr. Manguruwe) imenyooshewa kidole ikidaiwa kufanya utapeli kwa baadhi ya wateja walioitikia wito wake wa kuwekeza kwenye kampuni hiyo

Taarifa za kuaminika ilizonazo Jambo TV zinadai kuwa kampuni hiyo inadaiwa mamilioni ya fedha kutoka kwa wananchi wa maeneo tofauti nchini ambao kwa kiasi kikubwa wengi walishawishika kujiunga na kuwekeza kwenye 'Kijiji cha Nguruwe' kufuatia taarifa na matangazo yaliyokuwa yanatolewa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii na baadhi ya vyombo vya habari ikiwemo kituo cha radio cha Wapo, ambapo uwepo wa matangazo hayo umetengeneza ushawishi mkubwa kwa jamii wa kuamini kuwa fedha zao zingekuwa salama pindi wakiwekeza kwenye kampuni hiyo jambo ambalo kiuhalisia wengi wao kwa sasa wanajuta

Soma Pia: Walimu wanne wakamatwa wakituhumiwa kufanya utapeli kwa safaru ya kimtandao Mwanza

Jeremiah Magesa, mkazi wa Mbagala, Temeke, jijini Dar es Salaam ni miongoni mwa waathirika wa utapeli huo ambapo katika mazungumzo yake na Jambo TV amedai kuwa awali alipata taarifa ya uwepo wa kampuni hiyo kupitia matangazo yaliyokuwa yakisikika kwenye kituo cha radio cha Wapo, kituo kilichopo Mbezi jijini Dar es Salaam ambapo hamasa ya tangazo lililokuwa linaendelea lilimshawishi naye kuitafuta kampuni hiyo kwa ajili ya kuanza uwekezaji

Amesema alianza uwekezaji wake mnamo Mei 21.2024 ambapo aliwekeza shilingi milioni 1.4 na kwamba walikubaliana kuwa yeye atakuwa akipokea shilingi laki 1 na elfu 40 kila wiki kwa muda wa miezi sita, lakini katika simulizi yake anadai kuwa makubaliano hayo yalieanda sawa ndani ya muda wa wiki tatu tu za mwanzo ambapo kwa ujumla wake alipatiwa shilingi laki 4 na elfu 20, tangu hapo hajapokea kiasi chochote cha pesa hadi sasa

Sambamba na huyo, yuko mtu mwingine aliyejitambulisha jina la Modest Emmanuel Kanan, mkazi wa Mwananyamala jijini Dar es Salaam ambapo yeye anadai kuwa aliwekeza mtaji wa shilingi milioni 1.
Safi sana Dr Nguruwe wapige tu. Yani watu hawajifunzi huwezi kupata hela bure tu kirahisi.
 
Haya sasa sema kimeumana Dr. Manguruwe akaliwa kooni adaiwa katapeli watu. Bwebwe nyingi huko mtandaoni kumbe nyuma ya camera anayake mambo
===================
Katika hali isiyokuwa ya kawaida na isiyotarajiwa kampuni ya Pig Investment International (Kijiji cha Nguruwe) inayomilikiwa na Simon Mkondya (Dr. Manguruwe) imenyooshewa kidole ikidaiwa kufanya utapeli kwa baadhi ya wateja walioitikia wito wake wa kuwekeza kwenye kampuni hiyo

Taarifa za kuaminika ilizonazo Jambo TV zinadai kuwa kampuni hiyo inadaiwa mamilioni ya fedha kutoka kwa wananchi wa maeneo tofauti nchini ambao kwa kiasi kikubwa wengi walishawishika kujiunga na kuwekeza kwenye 'Kijiji cha Nguruwe' kufuatia taarifa na matangazo yaliyokuwa yanatolewa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii na baadhi ya vyombo vya habari ikiwemo kituo cha radio cha Wapo, ambapo uwepo wa matangazo hayo umetengeneza ushawishi mkubwa kwa jamii wa kuamini kuwa fedha zao zingekuwa salama pindi wakiwekeza kwenye kampuni hiyo jambo ambalo kiuhalisia wengi wao kwa sasa wanajuta

Soma Pia: Walimu wanne wakamatwa wakituhumiwa kufanya utapeli kwa safaru ya kimtandao Mwanza

Jeremiah Magesa, mkazi wa Mbagala, Temeke, jijini Dar es Salaam ni miongoni mwa waathirika wa utapeli huo ambapo katika mazungumzo yake na Jambo TV amedai kuwa awali alipata taarifa ya uwepo wa kampuni hiyo kupitia matangazo yaliyokuwa yakisikika kwenye kituo cha radio cha Wapo, kituo kilichopo Mbezi jijini Dar es Salaam ambapo hamasa ya tangazo lililokuwa linaendelea lilimshawishi naye kuitafuta kampuni hiyo kwa ajili ya kuanza uwekezaji

Amesema alianza uwekezaji wake mnamo Mei 21.2024 ambapo aliwekeza shilingi milioni 1.4 na kwamba walikubaliana kuwa yeye atakuwa akipokea shilingi laki 1 na elfu 40 kila wiki kwa muda wa miezi sita, lakini katika simulizi yake anadai kuwa makubaliano hayo yalieanda sawa ndani ya muda wa wiki tatu tu za mwanzo ambapo kwa ujumla wake alipatiwa shilingi laki 4 na elfu 20, tangu hapo hajapokea kiasi chochote cha pesa hadi sasa

Sambamba na huyo, yuko mtu mwingine aliyejitambulisha jina la Modest Emmanuel Kanan, mkazi wa Mwananyamala jijini Dar es Salaam ambapo yeye anadai kuwa aliwekeza mtaji wa shilingi milioni 1.
Mimi siwaonei huruma. Huyu jamaa ni tapeli na tulikwisha onywa hapa JF lakini ŵatu hawasikii kama wasivyosikia kwenda kukanyaga mafuta kwa Mwamposa. Soma hizi nyuzi

1. Kilio cha Walima Vanilla Kagera kwenda kwa Rais Samia Suluhu Hassan

2. Profesa Kapuya alitapeliwa na kampuni ya Kilimo cha Vanilla Njombe

3. Biashara ya Vanilla, Tshs 850,000 kwa kilo; Kuna nini nyuma ya tangazo hili?
 
Amesema alianza uwekezaji wake mnamo Mei 21.2024 ambapo aliwekeza shilingi milioni 1.4 na kwamba walikubaliana kuwa yeye atakuwa akipokea shilingi laki 1 na elfu 40 kila wiki kwa muda wa miezi sita, lakini katika simulizi yake anadai kuwa makubaliano hayo yalieanda sawa ndani ya muda wa wiki tatu tu za mwanzo ambapo kwa ujumla wake alipatiwa shilingi laki 4 na elfu 20, tangu hapo hajapokea kiasi chochote cha pesa hadi sasa
MTU ISIPOMFAA AKILI YAKE, UTAMDHURU UJINGA WAKE.

Tatizo watu wakipata Pesa huwa hawashauriki, tokea lini sehemu inayoleta Pesa ya kiasi hicho mtu ashinde anatangaza Mitandaoni kila siku, Yaana analipia Tangazo ili watanzania wakapate Pesa. WTF

SIRI ya Utajiri huwa haiwekwi hadharani hata siku moja, Ukiona mtu anaelezea jinsi ya kupata hela nyingi jua ni UTAPELI.

Blame Society.
 
Back
Top Bottom