Dkt. Manguruwe anyooshewa kidole akidaiwa kufanya utapeli kwa baadhi ya wateja walioitikia kuwekeza kwenye kampuni yake

Bila kuwasahau wale JATU, eti ww unawapa hela wao wanakulimia na kukupa faida. Yaani ww ulale tu nyumbani mtu mwingine akufanyie kaziπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hata Bakhresa au Mo hawalali wanachakalika ila mwenzangu na mie anataka alale mr kuku au Mr manguruwe amfugie yeye awe anamumtumia tu kwenye simu huku yeye amelala πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
 
Aise,na wabongo wakisikia hivyo
Wanajaaa πŸ˜„

Ova
Sio wabongo tu nadhani Afrika kwa ujumla hasa kusini mwa jangwa la sahara. Zambia kuna jamaa alisifiwa hadi na Rais kwenye mambo ya ujasiriamali kumbe ni tapeli FIRST CLASS.. sasa hivi anaishi kama digidigi baada ya kuwapiga watu.
 
Doto alisema nguruwe anakula laki 3 kwa siku ....Vyombo vya habari na celebrities wataendelea kutangaza utapeli milele, kama hutotumia akili yako basi utapigwa kila siku .
 
Dogo alisema nguruwe anakula laki 3 kwa siku ....Vyombo vya habari na celebrities wataendelea kutangaza utapeli milele, kama hutotumia akili yako basi utapigwa kila siku .
Tena hao ndiyo wanawatumia

Ova
 
Jamaa ana akili sana,
wawekezaji wake kina Ismael, Rajabu, Omary, abdallah.
Hawa kujitokeza hadharani kulalamika ni ngumu.
 
Hata Bakhresa au Mo hawalali wanachakalika ila mwenzangu na mie anataka alale mr kuku au Mr manguruwe amfugie yeye awe anamumtumia tu kwenye simu huku yeye amelala πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
Imagine πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wabongo wanapenda kutapeliwa maana mambo mengine hayahitaji kuwa na PhD kujua kuwa ni wizi na utapeli. Kwanza inadaiwa jamaa aliwatapeli wakulima huko kabla ya kuja na hii eti manguruwe.
Hii yani ni wazi kuwa ni pyramid scheme. Matapeli wa hivi hawaishi kwa sababu huwa hawafungwi huenda wanakula na vyombo vya usalama na pia watanzania nao wanapenda kutapeliwa.
 
Dogo alisema nguruwe anakula laki 3 kwa siku ....Vyombo vya habari na celebrities wataendelea kutangaza utapeli milele, kama hutotumia akili yako basi utapigwa kila siku .
Na hizi media,wasanii sjui influencer wanawatumia kuwaingiza King mafala

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…