Yes, Mashinji needs some money for the detriment of democracy, alaaniwe na uzao wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes, Mashinji needs some money for the detriment of democracy, alaaniwe na uzao wake
Unadhalilisha "pHd" kwa ujumla wake.Aliyewahi kuwa katibu mkuu wa Chama cha demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) na baadae kuhamia CCM, Dkt. Mashinji amesema Tanzania ni nchi changa na haiitaji kuwa na mabadiliko ya haraka ghafla kwa sababu kila mabadiliko yana athari.
Amesema yakifanyika mabadiliko na yakaja na athari, bado Tanzania halijawa Taifa linaloweza kujitanua kuhimili vishindo vya mabadiliko akitolea mfano mataifa yaliyofanikiwa kufanya mabadiliko kama Zambia na Malawi na kuyumba.
"Wameyumba sana, mpaka Zambia sasa hivi kuna watu wanaisema mtaani imekuwa kama imeuzwa kwa wachina, sasa sielewi kama ni kweli kwa sababu hivi karibuni sijaenda Zambia lakini ni kwa sababu ya haraka ya mabadiliko" Alisema Mashinji
UTAYARI VYAMA VYA SIASA
MASHINJI: Chama cha mapinduzi kimekuwepo siku nyingi kikifanya kazi pamoja na dola, chama ndio kinaongoza serikali na sehemu yake ni dola. Huku nje tunaweza kukaa na kudanganyana wawe huru!
Hakuna kitu ambacho kinatofautisha hivi vitu, huwezi ukawatofautisha executive, mahakama na Bunge. Ni mawazo tu ya kufikirika hata kule Mbinguni kuna baba, mwana na roho lakini maamuzi ni yaleyale kwa sababu hawa wote lengo lao ni kufikia kitu kimoja
Ukishangaa ya Tanzania kwa Uhuru wa miaka 50 na vituko vya hawa tuseme nini?miaka 50 ya Uhuru hata kuchaguana wenyewe kwa wenyewe kwa ustarabu hamuwezi !! hadi wengine wawe vilema, wengine wafe, wengine wafungwe... yaani huu ni ustaarabu wa karne ya 13, aibu.
Huyu DR. hana lolote la maana.
Watoto wangekuwa na option ya kuchagua wazaliwe na nani, kuna watu wasingepata uzao.Aliyewahi kuwa katibu mkuu wa Chama cha demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) na baadae kuhamia CCM, Dkt. Mashinji amesema Tanzania ni nchi changa na haiitaji kuwa na mabadiliko ya haraka ghafla kwa sababu kila mabadiliko yana athari.
Amesema yakifanyika mabadiliko na yakaja na athari, bado Tanzania halijawa Taifa linaloweza kujitanua kuhimili vishindo vya mabadiliko akitolea mfano mataifa yaliyofanikiwa kufanya mabadiliko kama Zambia na Malawi na kuyumba.
"Wameyumba sana, mpaka Zambia sasa hivi kuna watu wanaisema mtaani imekuwa kama imeuzwa kwa wachina, sasa sielewi kama ni kweli kwa sababu hivi karibuni sijaenda Zambia lakini ni kwa sababu ya haraka ya mabadiliko" Alisema Mashinji
UTAYARI VYAMA VYA SIASA
MASHINJI: Chama cha mapinduzi kimekuwepo siku nyingi kikifanya kazi pamoja na dola, chama ndio kinaongoza serikali na sehemu yake ni dola. Huku nje tunaweza kukaa na kudanganyana wawe huru!
Hakuna kitu ambacho kinatofautisha hivi vitu, huwezi ukawatofautisha executive, mahakama na Bunge. Ni mawazo tu ya kufikirika hata kule Mbinguni kuna baba, mwana na roho lakini maamuzi ni yaleyale kwa sababu hawa wote lengo lao ni kufikia kitu kimoja
Mtawafikia kwa kupiga hatua kinyume nyume ?!. Poor usomi wa ki Tz [emoji107]Sasa miaka50 ya uhuru unataka tulingane na wale wa miaka 250 ya uhuru...? Tena wale waliotuibia na wanalazimisha kuendelea kutuibia?
Tutafika walipo safari ni hatua
Huwa siwaamini kabisa hawa wahamiaji kutoka Chadema!Aliyewahi kuwa katibu mkuu wa Chama cha demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) na baadae kuhamia CCM, Dkt. Mashinji amesema Tanzania ni nchi changa na haiitaji kuwa na mabadiliko ya haraka ghafla kwa sababu kila mabadiliko yana athari.
Amesema yakifanyika mabadiliko na yakaja na athari, bado Tanzania halijawa Taifa linaloweza kujitanua kuhimili vishindo vya mabadiliko akitolea mfano mataifa yaliyofanikiwa kufanya mabadiliko kama Zambia na Malawi na kuyumba.
"Wameyumba sana, mpaka Zambia sasa hivi kuna watu wanaisema mtaani imekuwa kama imeuzwa kwa wachina, sasa sielewi kama ni kweli kwa sababu hivi karibuni sijaenda Zambia lakini ni kwa sababu ya haraka ya mabadiliko" Alisema Mashinji
UTAYARI VYAMA VYA SIASA
MASHINJI: Chama cha mapinduzi kimekuwepo siku nyingi kikifanya kazi pamoja na dola, chama ndio kinaongoza serikali na sehemu yake ni dola. Huku nje tunaweza kukaa na kudanganyana wawe huru!
Hakuna kitu ambacho kinatofautisha hivi vitu, huwezi ukawatofautisha executive, mahakama na Bunge. Ni mawazo tu ya kufikirika hata kule Mbinguni kuna baba, mwana na roho lakini maamuzi ni yaleyale kwa sababu hawa wote lengo lao ni kufikia kitu kimoja
Huyu jamaa anadhalilisha sana phd za Tanzania, akiongozwa na professa wa jalalaniHahaha kelele za viti maalum hizo, dirisha liko wazi sasa wanahaha wasikike.
Daktari ana hoja kama za mtoto wa shule ya msingi.
Haki ya nani ndio maana magonjwa yameamu kuwa sugu.
Mtawafikia kwa kupiga hatua kinyume nyume ?!. Poor usomi wa ki Tz [emoji107]
"mbere kwa mbere" ndiyo kiswahili ulichofundishwa "CHATO ENGLISH MEDIUM"Kinyume nyume kipi mkuu?
Sisi ni mbere kwa mbere
LEVEL ZA mashinjin wa CCM ni class 4 aliyefelihuyu namzidi hata mimi uelewa
Ndiyo vijana wa CHADEMA wanamuimbia mapambio hiyu wakimsifu kwamba ni Katibu Mkuu wa Chama cha siasa msomi kuliko wote duniani?Aliyewahi kuwa katibu mkuu wa Chama cha demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) na baadae kuhamia CCM, Dkt. Mashinji amesema Tanzania ni nchi changa na haiitaji kuwa na mabadiliko ya haraka ghafla kwa sababu kila mabadiliko yana athari.
Amesema yakifanyika mabadiliko na yakaja na athari, bado Tanzania halijawa Taifa linaloweza kujitanua kuhimili vishindo vya mabadiliko akitolea mfano mataifa yaliyofanikiwa kufanya mabadiliko kama Zambia na Malawi na kuyumba.
"Wameyumba sana, mpaka Zambia sasa hivi kuna watu wanaisema mtaani imekuwa kama imeuzwa kwa wachina, sasa sielewi kama ni kweli kwa sababu hivi karibuni sijaenda Zambia lakini ni kwa sababu ya haraka ya mabadiliko" Alisema Mashinji
UTAYARI VYAMA VYA SIASA
MASHINJI: Chama cha mapinduzi kimekuwepo siku nyingi kikifanya kazi pamoja na dola, chama ndio kinaongoza serikali na sehemu yake ni dola. Huku nje tunaweza kukaa na kudanganyana wawe huru!
Hakuna kitu ambacho kinatofautisha hivi vitu, huwezi ukawatofautisha executive, mahakama na Bunge. Ni mawazo tu ya kufikirika hata kule Mbinguni kuna baba, mwana na roho lakini maamuzi ni yaleyale kwa sababu hawa wote lengo lao ni kufikia kitu kimoja
Ya kurudi kwenye chaguzi za kura za maruhani ?!. Ya kuukumbatia u dictator badala democracy ?!. Mtawafikia aheraKinyume nyume kipi mkuu?
Sisi ni mbere kwa mbere
Ph.D za Watanzania zimeshushwa thamani sana miaka ya karibuni, hususan na wanasiasa.unadhalilisha "pHd" kwa ujumla wake.
Ukitoka msalani, tawatha kwanza, inonekana wewe huna huo utaratibu ndio maana una-hara barabarani.
Mkuu husifikiri mwanasiasa yeyote yupo kwa ajili ya watu au kutetea Maslai ya Taifa. Wote wapo kwa ajili ya Utawa tu. Mwanasiasa anataka madaraka tu hana chochote hata hao kina Lisu wanaosema haki ya watu au maendeleo ya watu wanahitaji utawala tuPamoja na Kwamba alikuwa liability wakati akiwa CHADEMA na alipoenda SieSiem aliendelea kuwa liability kama kawa, Kwa Maneno mengine He did not add value kwa chama Pendwa. Msomi huyu wa Phd. ameona apige mayowe ili Kipindi hiki cha wapakwa mafuta ( wateule/wateuliwa) asije kusaulika.
Wasomi Wa Bongo Ma Phd plus Maprof, Wameamua Kuziacha taaluma zao na kwenda kwenye politics, Kwa lugha rahisi Matumbo yao yamekuwa na ushawishi mkubwa kuliko bongo zao. Bro, PhD Zingine zimespecialize Nyuki so wanazilazimishia Kwenye Political science...
😂😂😂😂😂😂😂sio kiswahili cha "CHATO ENGLISH MEDIUM"."mbere kwa mbere" ndiyo kiswahili ulichofundishwa "CHATO ENGLISH MEDIUM"