hiwewe nakufahamu , kama Kibangu! na Kibo maana nimekaa pale tangu 1971. Baa maarufu ilikuwa Kibo! Tours and hunters Club etc
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hiwewe nakufahamu , kama Kibangu! na Kibo maana nimekaa pale tangu 1971. Baa maarufu ilikuwa Kibo! Tours and hunters Club etc
Maeneo hayo nayafahamu tangu enzi ila ya zamani zaidi ni Yenu Bar.
Mkuu Jallen ni kweli hili!?Wote hao wameshatangulia mbele ya haki
Hivi Mzee Maliki/Mariki wa "Sitawahuku " 1 - 12 bado yupo kweli!?Mh kweli kuna wenzangu humu. Kama umepita njia hiyo na unatoka Mlimani, then....Nakumbuka njia ya kupitia chuo cha maji unatokea kwenye tangi kubwa la maji kando ya ukuta wa Idara ya maji.
Namkumbuka sana huyo mama! Kibo bar ndiyo ilikuwa bar mashuhuri eneo hilo enzi hizo! Ukitaka muziki unakwenda White House kuna Maquis, Tour and Hunters kuna Mzee makassy na Orchestra Makassy! Maisha bado mazuri na Nyerere wetu anatupa hela ya kukaa nje ya chuo ili wanaotoka mbali wapate nafasi chuoni!