Mange ni born town kitambo wadada wa mjini anawajua kindakindaki tuuuKumbe mange alitikisaga toka zamani,sio mchezo nimejua juzi tu kwenye mainstergram....hebu endeleeni kutufungua macho wazee..
Kabisa Mange angetulia angekula mema ya nchi, Mange alifanya kazi Stanbic Bank, akatoka akaenda Dubai akapata kazi Bank huko huko Dubai, akafanya kazi mpka alipokuja kuacha Benki na kufanya kazi kampuni moja na baba Kenzo, mange ameharibika na mashauzi tu, na akiachwa ndio kichwa kinakuwa fyatu haswa maana anapenda sana ku show off bwana na magari mazuri.Daahhh Mange angetulia na siasa asee angekuja kuwa mtu mkubwa sana ila ndio hivyo asili yake ya U-turn ndio inammaliza. Anapenda sana udaku lakini yupo vizuri upstairs. By the way kuna marafiki zake kama mwamvita sidhani kwa sasa wanaeza kaa meza moja maana ni different levels. Mange angefanya kutulia tu
We nawe[emoji3][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Shoga yake yupi Irene?na je hiyo mimba alipewa na huyo huyo mbulugaria?
Hivi kabla ya kuolewa na mzungu mange alikuwa na ishu gani ya maana ya kumpa umaarufuMbona wa madongo kuinama nimeelewa !!!!... Tabu sio kufika mjini ila ni kuyafuatilia ya mjini. Fide alikuwa maarufu kwa sababu ya kuwa model kibonge plus alikuwa video vixen pia hivyo, kwa mtu aliyekuwa anafuatilia ya zamani bhasi alimjua mange, tausi likokola, shose, senche,sintah, magesse, miriam ikoa, odemba, mercy galabawa n.k ambao ndo walitikisa kitambo kabla ya kuanza new reign ya madam sepenga na watu wake km uwoya wolper na wengineo
acha nikuibie siri.Hivi kuna mtu amekula bata awamu ya kwanza?
Ku bull watu mitandaoni.Hivi kabla ya kuolewa na mzungu mange alikuwa na ishu gani ya maana ya kumpa umaarufu
Balaa tupu hana usafi wowote Mengi ndo alimtuliza ndo maana maneno maneno yako MengiKwamba hata madam Jack nae ashawahi kuwa mdangaji ?
Tena chuo mnyika aliachiwa JOJO na RIZMOKO..Mnyika huyu huyu wa Kibamba ?
Mange alikuwa anafanya kazi Stanbic Bank, akatoka Dar, akaenda Barclays Dubai..Ku bull watu mitandaoni.
Miaka hiyo hakukuwa na Instagram, smart hazikuwepo na ni watu wachache waliokuwa na access ya internetKu bull watu mitandaoni.
Mbona kama ulichojibu ni tofauti na alichouliza?acha nikuibie siri.
hii ni zamu kikundi kidogo cha watoto wa matajiri wa kiarabu(siwezi kuwataja).
hawa jamaa baba zao walishatengeneza pesa toka enzi za utawala wa mzee ruksa. kwa sasa wao ndio wasimamizi wakuu wa business empire zilizoanzishwa baba zao.
hawa jamaa wanakula bata sana, ila kutokana na kwamba wengi wao wamelelewa katika misingi ya imani ya kidini, huwezi kuona wakifanya show off kwenye kurasa zao za kijamii. wana hofu ya kuharibu reputation ya majina ya wazazi wao.
bata zao hawazifanyii maeneo ya mijini, bali wanazifanyia kweye vitalu vya uwandaji wanavyovimiliki huko selous game reserve na maeneo mengine nchini.
halafu ni nadra sana kuwakuta wakila bata na wadada maarufuku wa mujini. wao huwa wanawa-import makahaba wa kimataifa toka nchi kama morocco, brazil, spain na kujificha nao huko maporini mbugani wakila raha za dunia.
NB: awamu ya kwanza sina taarifa nayo.
SeriouslyKwa kweli, kuna kesi moja aligonga gari, alipokamatwa na traffic alipiga simu akaambiwa nipe huyo askari niongee nae.
Masikini yule Askari sijui aliambiwa nini, lakini alivyofika nyumbani alijiua.
rudi tena nenda kusome mpaka mwisho uone nilivyohitimisha.Mbona kama ulichojibu ni tofauti na alichouliza?
Nimeona lakini maelelo yooote uliyotoa ni ya awamu hii wakati ye kauliza ya kwanzarudi tena nenda kusome mpaka mwisho uone nilivyohitimisha.
basi chukua jukumu la kueleza ya awamu ya kwanza.Nimeona lakini maelelo yooote uliyotoa ni ya awamu hii wakati ye kauliza ya kwanza
Tusiojua kukonnect dot na umbea tunautaka tunakomajeNinakumbuka, kwenye cycle yake nilikuwa namwelewa sana huyu dogo FL M
Sifahamu lolotebasi chukua jukumu la kueleza ya awamu ya kwanza.
[emoji106][emoji106][emoji106]Sifahamu lolote
Flaviana MatataTusiojua kukonnect dot na umbea tunautaka tunakomaje
Alikua anakula fegi huyo Miss na wajuvi wa mambo walikua wanasema hata msuba alikua anamokaSilvia Bahame