Kichwa maji , hujaelewa kitu ila unakimbia kureply ushuzi tu , unajua Kinje ni nani ?Tafuta pesa acha umbea kwa non nonsense, unamjadili negatively mtu kama Bahkresa, Mo, and a like inakusaidia nini? Hivi Mungu waswahili tulimkosea nini kutuumba na roho zinazopenda negativity kwa wengine?, Tena hasa waliofanikiwa!
Mtoto wa Kingunge Ngombali MwiruKwa sisi wa vijijini Kinje hatumfaham
AsanteMtoto wa Kingunge Ngombali Mwiru
Flaviana Matata
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hawa mabinti pia niliwaona kwenye list ililetwa humu ya mabinti waliohongwa pesa na kupitiwa na mzee mmoja aliwa mkurugenzi wa utawala na utumishi Benk kuu.Hili lina ukweli au walizushiwa tu?Irene yuko makini kutakmaisha ya juu, sasa hivi katulia kwa sababu amepata bwana mwenye hela ya ufusadi wa baba ake, wale hawataki maisha ya kupima mkaa kwa Dula, wala kwenda gengeni kwa mama Juma mkuu, Irene nadhani kapita mlimani chuo.
Ohoooo!!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We nawe[emoji3][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mzee yule nae alikuwa mtata, sina uhakika kama alipita ilikuwa fyaaaaa....hakuweka kambi hata ya wiki.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hawa mabinti pia niliwaona kwenye list ililetwa humu ya mabinti waliohongwa pesa na kupitiwa na mzee mmoja aliwa mkurugenzi wa utawala na utumishi Benk kuu.Hili lina ukweli au walizushiwa tu?
Mtoto wa Kingunge Ngombali Mwiru
Huyu binti naye kumbe vijana wamepasiana?Tena chuo mnyika aliachiwa JOJO na RIZMOKO..
Hata Diamond alimpasia Ally Kiba..Huyu binti naye kumbe vijana wamepasiana?
Walitowa kizazi, alikuwa ana breed sana, ambayo ingepelekea kifo chake, the last solution ilikuwa kuondoa kizazi kunusuru maisha yake. Siyo kukata utumbo.Kuna wakati nilimuona amekwisha wala hapendezi tena, wanadai alikatwa utumbo ili akonde.
Alikuwa ana pesa sana, mfanyabiashara maarufu, ( biashara) ilikuwa haijulikanai ila ilikuja julikana baadae kuwa ni semba, alkikuwa na hela ya kustarehe popote anapotaka, alikuwa mjeuri na kibri mbaya..Sawa...lakini nini kinamfanya ye kuwa maarufu kiwango hiko
May be ni msanii, o mfanyabiashara mkubwa, au kiongozi wa serikali au CEO wa likampuni flani likubwa
Ulifikiri mzee baba alianza? Watu walimuona wa ajabu alipoanza kutoka na bongo fleva.Huyu binti naye kumbe vijana wamepasiana?
Duh!!!atakuwa na shida sehemu maana ni mrembo vijana wote hao wapasiane tu washindwe hata kumweka ndani?Hata Fiamond alimpasia Ally Kiba..
Sio pale karibia na Orthodox church maeneo ya red cross? Pale ilikuwa hatariiiiHaikuwa rahisi.. Ulikuwa ni ugomvi mzito.. Pesa ikashinda..
Kinje alimsaidia Jacky ku-maintain maisha classic ya mjini, career yake ya mitindo/music na kumpatia exposure..
Mengi alikuwa ana ofisi yake maalum ya kufanya mikutano na vijana waliokuwa wakihitaji 'kusapotiwa'. Wengi walipata msaada wake. Nilicheka nilivyosikia Jacky anasema walikutana kwenye ndege! Hassanali anajua zaidi..
Msimu huo ulikuwa ni vita pia kwa wadada wa mjini.. Wenyewe waliita mawindo.. Kila mmoja alitaka kupata a finer catch..
Zile nyimbo za K-Lyinn mostly zilimhusu Kinje na madongo kwa mashosti zake... Mambo ya kuporana wanaume..
Pale Makumbusho jirani na eagle wing kuna members only club.. MPs, Ministers, CEOs, Moguls, Dons na Diplomats wanaenda kurefresh.. VIPs only.. PIMPs wa enzi hizo wanajua zaidi... Da' Mange naye kachezea sana mikasi pale.. Niishie hapo. Sitaki kuharibu swaum za watu!
Bifu la Kinje na Mengi halikuwa la kibiashara!
EeeehMnyika huyu huyu wa Kibamba ?
Wallah nimeshtukaMwenzang[emoji16][emoji3][emoji6][emoji6][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]fide pinii....!!!!
Huwenda aliona ngoja ajisogeze kwa vijana wa rika lake waanzishe mahusiano endelevu yatayo jenga familia bora taka ujanani.Ulifikiri mzee baba alianza? Watu walimuona wa ajabu alipoanza kutoka na bongo fleva.