Dkt. Mengi alivyomchukua Jacky kwa Kinje

Kinje ndio alikuwa na bifu na Mengi baada ya kuchukuliwa mwanamke, Mengi hawezi kuwa na bifu na underdog kama kinje na hilo bifu lenyewe haliku materialize
Huyu dem Kabla ya kinje alikuwa na mzungu mmja mbulgaria mzungu huyo alikuwa na kampuni ya mambo ya bahati nasibu lotto Olympic
Hivi unakumbuka kile kisanga cha wadada kupelekwa dizonga wakafichwa huko ila walirudi kwa utata bongo?

Ova
 
Tafuta pesa acha umbea kwa non nonsense, unamjadili negatively mtu kama Bahkresa, Mo, and a like inakusaidia nini? Hivi Mungu waswahili tulimkosea nini kutuumba na roho zinazopenda negativity kwa wengine?, Tena hasa waliofanikiwa!
 
mrangi na mji wake na Mambo yake salute kwako
Huyo mbulgaria alikuwa Mafia alafu bonge la mhuni wa madem,alishigi na mtu fulani nakumbka moroco pale
Kumbukeni kisanga kile cha wadada fulani walipelekwa dizonga waliambiwa kuna tangazo wanaenda kufanya hko la biashara
Kufika hko ikawa ndivyo sivyo [emoji23][emoji23][emoji23]
Nakumbka mpk interpol waliingilia kati
Na huyo mbulgaria mpk leo hjarudi bongo
Ngj tuishie hpo

Ova
 
Kuna wakati alikua ana hunt madanga enzi za Kilimanjaro Hotel.
Si akawaga na hyo mbulgaria wenyw tulikuwa tnamuita Mr John
Mbulgaria alikuwa bonge la mafia+mhuni kawatandika sana wadada mjini[emoji23] [emoji23]
Kumbka tu kuna kisa cha madem fulani kutoroshwa bongo wkt fulani
Ahh ngj niishie hpa watu Wako bdo msibani

Ova
 
Mi na bifu na mleta uzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…