Dkt. Mengi alivyomchukua Jacky kwa Kinje

Dkt. Mengi alivyomchukua Jacky kwa Kinje

Huyo mbulgaria alikuwa Mafia alafu bonge la mhuni wa madem,alishigi na mtu fulani nakumbka moroco pale
Kumbukeni kisanga kile cha wadada fulani walipelekwa dizonga waliambiwa kuna tangazo wanaenda kufanya hko la biashara
Kufika hko ikawa ndivyo sivyo [emoji23][emoji23][emoji23]
Nakumbka mpk interpol waliingilia kati
Na huyo mbulgaria mpk leo hjarudi bongo
Ngj tuishie hpo

Ova
Hebu nitoe ushamba mkuu, dizonga ndio wp huko?
 
Maisha Yana Mambo Mengi Sana
Yaani Kila Kukicha Afadhali Ya Jana
 
Huyu dem Kabla ya kinje alikuwa na mzungu mmja mbulgaria mzungu huyo alikuwa na kampuni ya mambo ya bahati nasibu lotto Olympic
Hivi unakumbuka kile kisanga cha wadada kupelekwa dizonga wakafichwa huko ila walirudi kwa utata bongo?

Ova

Duuuh hiki kisa kimenikalia kushoto mkuu, ilikuwaje hii ya dizonga?
 
Huyo mbulgaria alikuwa Mafia alafu bonge la mhuni wa madem,alishigi na mtu fulani nakumbka moroco pale
Kumbukeni kisanga kile cha wadada fulani walipelekwa dizonga waliambiwa kuna tangazo wanaenda kufanya hko la biashara
Kufika hko ikawa ndivyo sivyo [emoji23][emoji23][emoji23]
Nakumbka mpk interpol waliingilia kati
Na huyo mbulgaria mpk leo hjarudi bongo
Ngj tuishie hpo

Ova

Nakumbuka hii ishu vzr.
 
Si akawaga na hyo mbulgaria wenyw tulikuwa tnamuita Mr John
Mbulgaria alikuwa bonge la mafia+mhuni kawatandika sana wadada mjini[emoji23] [emoji23]
Kumbka tu kuna kisa cha madem fulani kutoroshwa bongo wkt fulani
Ahh ngj niishie hpa watu Wako bdo msibani

Ova
Hawa Manhattan ladies wa Dar Mbulgaria alivuruga sana. Sasa ni classic wake wa waheshimiwa.
 
Back
Top Bottom