PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,518
- 13,144
DUh!!!vipi na vijana hawavungi wanakamatia kiuno kile?Hataki uzee kabisa.. ukimkuta club utasema kabinti kuanzia kalivyo vaa mpaka mikogo
Eeeh.. hii nimeisikia muda kweliIla ya mke wa kinje na salama unayo miaka mingi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Wanakamatia vizuri tuuDUh!!!vipi na vijana hawavungi wanakamatia kiuno kile?
Baada ya Jack 2000, series imenipotea hapo mpaka kufika kwa Sema 2006.
Yuko huko na kina Faraja, Happy Magese, kuna mmoja kama chotara then yeye.
Kuwapaka kawapaka kweli,hilo linajulikana!Dah!!!kwa list iliyo tajwa humu Mzee katelezesha sana nyoka pangoni isije tu kuwa aliwapaka vya kuwapaka kama mzee wa BoT.
Tufanye alikuwa kwenye harakati za kutafuta mke[emoji23][emoji23]Ila huyu baba tuseme ukweli mchunguu alikua Malaya km wengine!!!!
Eti....!???Sasa hivi hata mke anamshare na Salama Jabir na ubavu wa kumkomesha hana.
Kwamba kuruka kuta kumeanza tangu wengine hatujafika kwa Bashite.
Ohooooo!!!!Kuwapaka kawapaka kweli,hilo linajulikana!
Unataka kuniambia Salama anaweza kuipandia ndege?Lakini Kinje hawezi kumzuia Salama asikanyage South Africa
[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]Sema mjini mambo ni mengi mnoo. Eti wanasema Jack pia alishawahi kulana na Regina tena wakawa wanaishi nyumba moja mke na mume. Na ndio maana Regina anamchukia Jack kwa kuwa kala kuku na mayai
Hilo ni pepo la hatari. Linatakiwa kutafutiwa tiba.Tena kuna Dada alikua anamsarandia pale jangwani na kuna mwingine alikua anamtongoza WiFi yake namjua live sio story ya uongo ni kweli asilmia 100%
Ndio kile kisa cha kubakwa like ?Alizaa na miaka 13
Ana mingapi ?Rita hana 41