Fisherscom
JF-Expert Member
- Mar 13, 2008
- 1,763
- 766
Tatizo hauishii hapo unaposema unaishia badala yake unaendelea mbele mrangiSi akawaga na hyo mbulgaria wenyw tulikuwa tnamuita Mr John
Mbulgaria alikuwa bonge la mafia+mhuni kawatandika sana wadada mjini[emoji23] [emoji23]
Kumbka tu kuna kisa cha madem fulani kutoroshwa bongo wkt fulani
Ahh ngj niishie hpa watu Wako bdo msibani
Ova
[emoji849][emoji849][emoji849]Awamu ya kwanza na ya pili hata ya tatu alikua Prince wa Dar untouchable
Aisee...hizo terms mnazotumia humu acha tuuKwa mzee madiba
Ova
Wale wote wamekulia shinyanga so walikuwa wanafahamiana kitambo kabla hawajafika Dar, kama kaka na dada.Hivi kulikua na uhusiano gani Kati ya Klyn na noorah?!
Sylvia Bahame 2003, kuna kipindi nilisikia ni mwanasheria wa kijitegemea ila kwasasa sijui Zaid.Kuna mmoja jina limenitoka kabisa, alikuwa 2003 au 2004, alikuwa mweupe halafu mnene, sijawahi kumsikia baada ya hapo.
Nilikuwa namwona chuo miaka hiyo, ila baada ya kumaliza sikumsikia tena.
Ni either before au after Happiness Magesa.
Ulikua wapi enzi hizo mkuu?!Nisikuchoshe mkuu japo sijamfaham bado
Ama ndio utamu wa ubuyu maana naona watu wanatiririka tuuSi unajua watu Wako msibani bado
Ova
Noma nomaAma ndio utamu wa ubuyu maana naona watu wanatiririka tuu
Marehemu alikuwa hapendi ku share ?Madam alichepuka na waziri mmoja wa awamu ya 4..
Ki asili Klyn ni mtu wa wapi ?Wale wote wamekulia shinyanga so walikuwa wanafahamiana kitambo kabla hawajafika Dar, kama kaka na dada.
Hakuna mikunjo hata kwenye mapaja? Muwe mnaangalia vizuri.Hataki uzee kabisa.. ukimkuta club utasema kabinti kuanzia kalivyo vaa mpaka mikogo
Waliolike wote hao ni kijani...ogopa hiyo kitu.Halafu anakuja mtu mmoja anasema uchumi wa Tanzania haukui.
Laiti kama uchumi ungekuwa haukui watu wasingepata muda wa kuwa meddlesome hapa.
Huyu marian ndo yule wa mitaa ya lembachia? mikocheni.Huyu lydia alikuwa anafanya kazi EATV, kuna kipind alikuwa na fema/femina programme yupo vizuri kimtindo in terms of akili mingi(intelligent haswaa), so unaweza ku connect dot hapo na regina, salama na vee
Huyu mariam nilifahamiana nae kipind cha nyuma kama 2009, kawakoboa sana akina sepenga, wolpa,...huyu ashaish kinyumba kabisa waulpa
Nrgs yupoKuna haja ya hata wakat wa kunya ukahakikisha umelock vzur sio kwa kujuana huku. Mi naomba tu kujua yule mrembo sn alo act zari la mentali cjui ....mohamed yuko wap kwa sasa. Na kwanini hakupewa umiss. Anayejua acc yake insta anipe
Nrgs yupo
Alishatokaga Masoud kimice wkt fulani
Sema mm namuonaga kama ana mguu mmja mrefu mwngne mfpi
Nakajuaga tangia knakaa blck 41 enzi hzo knasoma esacs
Ova
Kuna wakati nlikuwa nai run .....nai controlIGP wa kino [emoji23][emoji23][emoji23]
HahahaaSio rejina ni Regina