Dkt. Mengi alivyomchukua Jacky kwa Kinje

Dkt. Mengi alivyomchukua Jacky kwa Kinje

Asante endelea ku-decod mkuu [emoji23][emoji23].
F I ni fideline iranga.

acha wajisumbue kuandika kwa kwa code....mimi kazi yangu itakuwa ni ku-decode kila neno.
wasidhani ni wao tu ndio maboni town kitambo. sisi wengine ni maboni town hasa ila tumetulia tuli tunawachora.
 
Ina maana mengi yeye ndio alikua anaoa tu. Maana sijasikia kama kuna mwanae aliyeolewa au kuoa
 
Madam alichepuka na waziri mmoja wa awamu ya 4..
Hii picha nimeona kwenye page moja huko IG,unamtambua huyu binti anaitwa nani?kwa mwonekano wa picha inaonyesha walikuwa kwenye mahaba na mzee
343b6ad8e6e9b67c3b6b818a3eef0fa0.jpeg
 
Yule anaingilika ila jongoo hapandi mtungi fresh si nayeye kabla hajaukwaa ukuu alikuwa anachumishwa kiboga.

[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
 
Hii picha nimeona kwenye page moja huko IG,unamtambua huyu binti anaitwa nani?kwa mwonekano wa picha inaonyesha walikuwa kwenye mahaba na mzee
View attachment 1095217

Hii ilikuwa product ya mzee miaka ya around 2008-2010, kabla ya Madam Rita.

Kama kumbukumbu zangu hazinidanganyi, kuna picha ziliwahi kusambaa kwenye blogs za New Year Party ya IPP Family na threaded emails, huyu ndiye alikuwa mshika dau by then. Nimezitafuta zile picha bila mafanikio.
 
Back
Top Bottom