Dkt. Mengi alivyomchukua Jacky kwa Kinje

Dkt. Mengi alivyomchukua Jacky kwa Kinje

Bado point yako ni ya kiwack
Hayo yote unayosema sio sahihi....nakula 'kitu' kwa sana tokea 2008 na sijawah kumtukana ata mbuzi.
Na usikariri kwamba 'kitu' ni kwa ajili ya vijana tu. Kwa taarifa yako hadi madingi wanakula 'kitu' na wako fresh sasa hiyo point yko sijui ina apply wapi!

Kuliwa na madingi haimanishi hakufanyi bange kufaa kutumiwa na watu!
Madingi ni binadamu kama binadamu wengi kwamba wanaweza kukosea na kufanya makosa!
 
Bado point yako ni ya kiwack
Hayo yote unayosema sio sahihi....nakula 'kitu' kwa sana tokea 2008 na sijawah kumtukana ata mbuzi.
Na usikariri kwamba 'kitu' ni kwa ajili ya vijana tu. Kwa taarifa yako hadi madingi wanakula 'kitu' na wako fresh sasa hiyo point yko sijui ina apply wapi!

Inawezekana humtukani mtu lakini kuna mahala huenda watu hawakuelewagi nakwambia,

Jaribu kutafuta mrejesho kwa wanaokuzunguuka mara kwa mara kama hawakuogopi wako huru watakwambia ukweli!
Madhara siyo matusi tu lakini ni mengi, mwingine akivuta anakaa kimyaaaa hazungumzi chochote hata akipewa salamu na jirani njiani hajibu , sasa hiyo ni sawa?
Yani lazima kuna mahala hawakuelewi tu jaribu kutafuta mtejesho.
Ni mazingira gani yalikushawishi hadi ukaamua kuvuta bange?


Bange siyo nzuri !
 
Bado point yako ni ya kiwack
Hayo yote unayosema sio sahihi....nakula 'kitu' kwa sana tokea 2008 na sijawah kumtukana ata mbuzi.
Na usikariri kwamba 'kitu' ni kwa ajili ya vijana tu. Kwa taarifa yako hadi madingi wanakula 'kitu' na wako fresh sasa hiyo point yko sijui ina apply wapi!

Kuliwa na madingi hakufanyi bange kufaa kwa matumizi !
Kuna madingi wanakunywa gongo je hiyo ifanye gongo kufaa kwa matumizi?
Kuna madingi ni wazinifu waliokubuhu kwenye mfumo huo wa maisha , je tuseme kwa kuwa madingi wanazini kwa hiyo tabia ya uzinzi inafaa ?

Tafakali kisha chukua hatua ,

Maisha ya utii wa sheria bila shuruti yanawekana!
 
Wakati madam akiwa na mengi, kulikuwepo na sintofahamu ,kelele kibao na yule Mke wa kwanza, ndio maana madam alikuwa hajazaa na mengi kwa sababu ya vurugu za familiya, sasa ka Jack kalikuwa ka shost ka madam, si kadangaji nako, kakakawa kanajisogeza, kumbuka madam ashachoka zile sekeseke.

Basi Jack akajisogeza na akafanikiwa.

Nb. Nimeongea jujuu.
ila foleni yao ndefu, jojo, madam, magese haya ndio akaja mjane Jaky
 
[emoji3][emoji3][emoji3] hamna iache tu
Nimestuka maana angeniita mtu mwingine nisingejali ila sio wewe hahahha,
episod za tamthilia za bongo ni zinakuaga tam jamani
Tumemaliza ya Nandy na Ruge, mala Mengina Jacky, Mala Gwajima sasa hatuna hata muda na Shamimu na mumewe
 
Nimestuka maana angeniita mtu mwingine nisingejali ila sio wewe hahahha,
episod za tamthilia za bongo ni zinakuaga tam jamani
Tumemaliza ya Nandy na Ruge, mala Mengina Jacky, Mala Gwajima sasa hatuna hata muda na Shamimu na mumewe
Hahaha mimi nna nini wajameni, bongo acha kabisa hyu Jack avumilie tu hizi siku chache na aombe atokee mtu wa kutupa cha kuongea....tutamsahau mazima
 
Na kipi kinachofanya isifae kwa matumizi, nipe sababu.
Na kaa ukijua bila uzinifu hata wewe usingezaliwa

Kuliwa na madingi hakufanyi bange kufaa kwa matumizi !
Kuna madingi wanakunywa gongo je hiyo ifanye gongo kufaa kwa matumizi?
Kuna madingi ni wazinifu waliokubuhu kwenye mfumo huo wa maisha , je tuseme kwa kuwa madingi wanazini kwa hiyo tabia ya uzinzi inafaa ?

Tafakali kisha chukua hatua ,

Maisha ya utii wa sheria bila shuruti yanawekana!
 
Kuna wakati nilimuona amekwisha wala hapendezi tena, wanadai alikatwa utumbo ili akonde.
Kitabibu hii kukatwa utumbo imekaaje daktari? siku hizi haka katabia kanashika mzizi bongo. kwanza ni sehemu gani ya utumbo wanakataga? Au wanakatwaga tu appendix wakifika mtaani wanatuambia wamekata utumbo......Hahahahaha!
 
Ndiye. Alikuwa anasokota dread. Mzaramo nadhani.

Nakumbuka Salama Jabir alikuwa anapenda sana kumtania kuhusu jina lake.

Ila kusema ukweli jamaa ni mbunifu. Jumanne Kabwela halikuwa na swaga kabisa aisee [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Kuna mtu nilimuambia Jimmy Kabwe anaitwa Jumanne Kabwela alinibishia sisahau
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jimmy Kabwe si ndiye yule mtangazaji aliyefupisha jina lake kutoka Jumanne Kabwela?
N
 
Back
Top Bottom