Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Bado point yako ni ya kiwack
Hayo yote unayosema sio sahihi....nakula 'kitu' kwa sana tokea 2008 na sijawah kumtukana ata mbuzi.
Na usikariri kwamba 'kitu' ni kwa ajili ya vijana tu. Kwa taarifa yako hadi madingi wanakula 'kitu' na wako fresh sasa hiyo point yko sijui ina apply wapi!
Kuliwa na madingi haimanishi hakufanyi bange kufaa kutumiwa na watu!
Madingi ni binadamu kama binadamu wengi kwamba wanaweza kukosea na kufanya makosa!