Dkt. Mengi alivyomchukua Jacky kwa Kinje

Dkt. Mengi alivyomchukua Jacky kwa Kinje

Haikuwa rahisi.. Ulikuwa ni ugomvi mzito.. Pesa ikashinda..

Kinje alimsaidia Jacky ku-maintain maisha classic ya mjini, career yake ya mitindo/music na kumpatia exposure..

Mengi alikuwa ana ofisi yake maalum ya kufanya mikutano na vijana waliokuwa wakihitaji 'kusapotiwa'. Wengi walipata msaada wake. Nilicheka nilivyosikia Jacky anasema walikutana kwenye ndege! Hassanali anajua zaidi..

Msimu huo ulikuwa ni vita pia kwa wadada wa mjini.. Wenyewe waliita mawindo.. Kila mmoja alitaka kupata a finer catch..

Zile nyimbo za K-Lyinn mostly zilimhusu Kinje na madongo kwa mashosti zake... Mambo ya kuporana wanaume..

Pale Makumbusho jirani na eagle wing kuna members only club.. MPs, Ministers, CEOs, Moguls, Dons na Diplomats wanaenda kurefresh.. VIPs only.. PIMPs wa enzi hizo wanajua zaidi... Da' Mange naye kachezea sana mikasi pale.. Niishie hapo. Sitaki kuharibu swaum za watu!


Bifu la Kinje na Mengi halikuwa la kibiashara!
Huu ni uongo mtupu, Kinje alimtelekeza South Africa yeye na Rafiq yake, wakaokolewa na mzungu akawa anaishi naye kama two weeks ndipo akarudi tz, Kipindi hicho Dr. Akikamua madame, baadaye kabla ya kuamua kuwa mwanamziki na kuimba na bushoke tayari Kinje alikuwa ashaoa. Dr. Walikutana akiwa ashaachana na Kinje muda Kipindi hicho tunakunywa Jacky's na dids baadaye bar one ya Kinje
 
Huyu Lydia na Mariam sijawahi wasikia kabisa

Huyu lydia alikuwa anafanya kazi EATV, kuna kipind alikuwa na fema/femina programme yupo vizuri kimtindo in terms of akili mingi(intelligent haswaa), so unaweza ku connect dot hapo na regina, salama na vee

Huyu mariam nilifahamiana nae kipind cha nyuma kama 2009, kawakoboa sana akina sepenga, wolpa,...huyu ashaish kinyumba kabisa waulpa
 
W
Huyu dem Kabla ya kinje alikuwa na mzungu mmja mbulgaria mzungu huyo alikuwa na kampuni ya mambo ya bahati nasibu lotto Olympic
Hivi unakumbuka kile kisanga cha wadada kupelekwa dizonga wakafichwa huko ila walirudi kwa utata bongo?

Ova
Wewe ndiye mkweli story naikumbuka sana. Enzi hizo tunakutana sana jakys na didis o.bay
 
Kuna Miss Tanzania ambaye yuko kimya sana. Anaitwa Sylvia Bahame. Mwingine ni Angela Damas (chotara). Huyu sijajua yuko wapi mpaka leo huyu Damas

Huyu Sylvia ndiye nilikuwa namsemea, mara ya mwisho kumwona ilikuwa 2006 na sijamsikia tena.
 
Huyu lydia alikuwa anafanya kazi EATV, kuna kipind alikuwa na fema/femina programme yupo vizuri kimtindo in terms of akili mingi(intelligent haswaa), so unaweza ku connect dot hapo na regina, salama na vee

Huyu mariam nilifahamiana nae kipind cha nyuma kama 2009, kawakoboa sana akina sepenga, wolpa,...huyu ashaish kinyumba kabisa waulpa
Lydia ndio yule wa Femina talk show mhaya?
 
Huu ni uongo mtupu, Kinje alimtelekeza South Africa yeye na Rafiq yake, wakaokolewa na mzungu akawa anaishi naye kama two weeks ndipo akarudi tz, Kipindi hicho Dr. Akikamua madame, baadaye kabla ya kuamua kuwa mwanamziki na kuimba na bushoke tayari Kinje alikuwa ashaoa. Dr. Walikutana akiwa ashaachana na Kinje muda Kipindi hicho tunakunywa Jacky's na dids baadaye bar one ya Kinje
Duuuh wewe ni Mkongwe mwenzangu.
 
Jimmy Kabwe si ndiye yule mtangazaji aliyefupisha jina lake kutoka Jumanne Kabwela?
Ndiye. Alikuwa anasokota dread. Mzaramo nadhani.

Nakumbuka Salama Jabir alikuwa anapenda sana kumtania kuhusu jina lake.

Ila kusema ukweli jamaa ni mbunifu. Jumanne Kabwela halikuwa na swaga kabisa aisee [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Wewe ndiyo bogus siyo mimi!
Nisome tena vizuri usikurupuke!

Jamaa wamesema bangi haina tatizo, mmoja akasema aliwahi tumia na hakuona tatizo.

Mimi nikasema, tatizo la bange anaetumia anaweza asione tatizo la kutumia bange isipokuwa wale wanaomzunguuka, wale atakaokutana nao baada ya kuvuta bange ndiyo wataona madhara ya Yule alovuta bange ,
Mfano wale atakaokutana nao wanawezwa kutukanwa, kupigwa , kuibiwa na Yule alovuta bange, lakini yeye alovuta anajionea sawa tu!

Mambo mengi kuyaelewa hadi uwe na akili kubwa, mwenye akili ya kiwango chako hawezi elewa kama wewe, halafu badala ya kunyoosha kidole Adela wangu uniulize vizuri nikupe ufafanuzi badala yake unaleta ujuaji? [emoji851][emoji851]

Kwa maneno mengine mpumbavu afanyapo upumbavu machoni pake hujiona sawa lakini kwa wengine ni shida!

Bado point yako ni ya kiwack
Hayo yote unayosema sio sahihi....nakula 'kitu' kwa sana tokea 2008 na sijawah kumtukana ata mbuzi.
Na usikariri kwamba 'kitu' ni kwa ajili ya vijana tu. Kwa taarifa yako hadi madingi wanakula 'kitu' na wako fresh sasa hiyo point yko sijui ina apply wapi!
 
Bado point yako ni ya kiwack
Hayo yote unayosema sio sahihi....nakula 'kitu' kwa sana tokea 2008 na sijawah kumtukana ata mbuzi.
Na usikariri kwamba 'kitu' ni kwa ajili ya vijana tu. Kwa taarifa yako hadi madingi wanakula 'kitu' na wako fresh sasa hiyo point yko sijui ina apply wapi!

Kwa hiyo kumbe serikali inafanya makosa kukataza watu kuvuta bange kwa mujibu wa sheria?
Serikali haiwezi kuamua tu kuzuia matumizi ya kitu flani bila kupata uzoefu wa matatizo ya tokanayo na matumizi ya hicho kitu!

Nachelea kusema huenda hata utafiti ulifanyika na kuona kuwa bange iko na madhara makubwa sana kwenye jamii.

Nchi nyingi zinakataza matumizi ya bange siyo TZ tu !
Je na hizo nchi nyingine wanakosea kukataza?
 
Back
Top Bottom