Sara
JF-Expert Member
- Aug 3, 2014
- 1,060
- 932
itakuwa kweli kakamatwa na nganda/sembe, ila kwa sasa wacha tu deal na mjane tajiriShamim kabadili akaunti ya IG nafikiri kampa mtu aindeleze inaitwa 8020medialtd sasa hivi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
itakuwa kweli kakamatwa na nganda/sembe, ila kwa sasa wacha tu deal na mjane tajiriShamim kabadili akaunti ya IG nafikiri kampa mtu aindeleze inaitwa 8020medialtd sasa hivi
Jamaa bila shaka atakuwa wafooTeh teh
Umeona enhee? Eti kipeme!! Mzee wa kumoka yupo bien
F I ni fideline iranga.
acha wajisumbue kuandika kwa kwa code....mimi kazi yangu itakuwa ni ku-decode kila neno.
wasidhani ni wao tu ndio maboni town kitambo. sisi wengine ni maboni town hasa ila tumetulia tuli tunawachora.
Madam alichepuka na waziri mmoja wa awamu ya 4..Nini kilisababisha hasidumu na madam ?
watu wachokozi tu...[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] kitu elastic ile
Baada ya Jack 2000, series imenipotea hapo mpaka kufika kwa Wema 2006.
Yuko huko na kina Faraja, Happy Magese, kuna mmoja kama chotara then yeye.
Hii picha nimeona kwenye page moja huko IG,unamtambua huyu binti anaitwa nani?kwa mwonekano wa picha inaonyesha walikuwa kwenye mahaba na mzeeMadam alichepuka na waziri mmoja wa awamu ya 4..
KinuktaKibamia au [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sylvia Bahame
Yule anaingilika ila jongoo hapandi mtungi fresh si nayeye kabla hajaukwaa ukuu alikuwa anachumishwa kiboga.Hivi yule anaingilika au ndiyo mtakatifu kwa mkewe?!
Yule anaingilika ila jongoo hapandi mtungi fresh si nayeye kabla hajaukwaa ukuu alikuwa anachumishwa kiboga.
Hii picha nimeona kwenye page moja huko IG,unamtambua huyu binti anaitwa nani?kwa mwonekano wa picha inaonyesha walikuwa kwenye mahaba na mzee
View attachment 1095217
Dada ake nae alimpiku mke halali wa huyo Luca, tena wa ndoa kabisa kanisani..Nancy Mme aliyemuoa kamla Dada yake akampiku kaolewa yeye