Dkt. Mengi alivyomchukua Jacky kwa Kinje

Hebu nitoe ushamba mkuu, dizonga ndio wp huko?
 
Maisha Yana Mambo Mengi Sana
Yaani Kila Kukicha Afadhali Ya Jana
 
Huyu dem Kabla ya kinje alikuwa na mzungu mmja mbulgaria mzungu huyo alikuwa na kampuni ya mambo ya bahati nasibu lotto Olympic
Hivi unakumbuka kile kisanga cha wadada kupelekwa dizonga wakafichwa huko ila walirudi kwa utata bongo?

Ova

Duuuh hiki kisa kimenikalia kushoto mkuu, ilikuwaje hii ya dizonga?
 

Nakumbuka hii ishu vzr.
 
Hawa Manhattan ladies wa Dar Mbulgaria alivuruga sana. Sasa ni classic wake wa waheshimiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…