Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
[emoji3]KumbeAwamu ya kwanza na ya pili hata ya tatu alikua Prince wa Dar untouchable
Hebu nitoe ushamba mkuu, dizonga ndio wp huko?Huyo mbulgaria alikuwa Mafia alafu bonge la mhuni wa madem,alishigi na mtu fulani nakumbka moroco pale
Kumbukeni kisanga kile cha wadada fulani walipelekwa dizonga waliambiwa kuna tangazo wanaenda kufanya hko la biashara
Kufika hko ikawa ndivyo sivyo [emoji23][emoji23][emoji23]
Nakumbka mpk interpol waliingilia kati
Na huyo mbulgaria mpk leo hjarudi bongo
Ngj tuishie hpo
Ova
Kwa mzee madibaHebu nitoe ushamba mkuu, dizonga ndio wp huko?
Kinjikitile ngwale yule wa majimajiKwa sisi wa vijijini Kinje hatumfaham
Huyu dem Kabla ya kinje alikuwa na mzungu mmja mbulgaria mzungu huyo alikuwa na kampuni ya mambo ya bahati nasibu lotto Olympic
Hivi unakumbuka kile kisanga cha wadada kupelekwa dizonga wakafichwa huko ila walirudi kwa utata bongo?
Ova
HeheDuuuh hiki kisa kimenikalia kushoto mkuu, ilikuwaje hii ya dizonga?
Umefunga pm yko naonaDuuuh hiki kisa kimenikalia kushoto mkuu, ilikuwaje hii ya dizonga?
Ni msanii.
Huyo mbulgaria alikuwa Mafia alafu bonge la mhuni wa madem,alishigi na mtu fulani nakumbka moroco pale
Kumbukeni kisanga kile cha wadada fulani walipelekwa dizonga waliambiwa kuna tangazo wanaenda kufanya hko la biashara
Kufika hko ikawa ndivyo sivyo [emoji23][emoji23][emoji23]
Nakumbka mpk interpol waliingilia kati
Na huyo mbulgaria mpk leo hjarudi bongo
Ngj tuishie hpo
Ova
Hawa Manhattan ladies wa Dar Mbulgaria alivuruga sana. Sasa ni classic wake wa waheshimiwa.Si akawaga na hyo mbulgaria wenyw tulikuwa tnamuita Mr John
Mbulgaria alikuwa bonge la mafia+mhuni kawatandika sana wadada mjini[emoji23] [emoji23]
Kumbka tu kuna kisa cha madem fulani kutoroshwa bongo wkt fulani
Ahh ngj niishie hpa watu Wako bdo msibani
Ova
Mtoto wa aliyekuwa mwanasiasa mkongwe kingunge ngombare mwiru...kinjektile a.k.a drug lordWa bongofleva ama bongo movie?ni dadavulie mkuu.