JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Kamishna wa Kinga na Tiba kutoka Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya Tanzania (DCEA), Dkt. Peter Mfisi amesema dawa ya kulevya inayoongoza kwa kutumiwa zaidi hapa Nchini ni bangi ikifuatiwa Heroin.
Amesema sehemu ya Heroin inayoingizwa Nchini Tanzania husafirishwa na kupelekwa kwenye masoko mengine Duniani ikiwemo China na Marekani.
Dkt. Mfisi anasema "Bangi inastawi mikoa mingi hapa Nchini hata katika udongo wa ajabuajabu, sijui kwanini lakini nafikiri ndiyo maana imekuwa ikipatikana maeneo mengi."
Source: EATV
Amesema sehemu ya Heroin inayoingizwa Nchini Tanzania husafirishwa na kupelekwa kwenye masoko mengine Duniani ikiwemo China na Marekani.
Dkt. Mfisi anasema "Bangi inastawi mikoa mingi hapa Nchini hata katika udongo wa ajabuajabu, sijui kwanini lakini nafikiri ndiyo maana imekuwa ikipatikana maeneo mengi."
Source: EATV