Dkt. Modestus Francis Kipilimba: Wasifu wake

Dkt. Modestus Francis Kipilimba: Wasifu wake

Huyu bwana hajawahi kufanya biashara ya aina yoyote katika maisha yake. Kimsingi, naweza kukuthibitishia kwamba hajawahi kumiliki hata duka katika maisha yake,” mmoja wa marafiki wa Dk. Kipilimba aliniambia katika mazungumzo naye wiki hii.
Eyooooo! Nimeipenda hii đź’ť
Biashara ni stress
 
Dunia hii hutakimbia mauaji hata baada ya miaka 10 akistaafu atalipa tu aliyofanya kisheria au kimtaani
 
Correct me if I'm wrong. Mtu aliyetoka TISS na kuja Tume ya Taifa ya Uchaguzi siyo Ramadhani Kahilima? Nakumbuka ndo alikuja kuwa mkurugenzi wa uchaguzi.
Kailima hakuteuliwa na Magufuli

Watu%20wanatokea%20mbali%20sana!.jpg
 
Mkuu huyu jamaa aliondolewa na Magufuli kwa vile alikataa kwenda extremes za ukichaa wa Magufuli.
Aliondolewa unceremoniously.
Mungu amlaani yeye mpaka kizazi chake cha 10

Naamini Dunia inamsubiri kwani wahenga walisema kwa kinyume chake

"... WALIMWENGU HADAA DUNIA SHUJAA ..."

Kwamwe mlimwengu hawezi kuishinda DUNIA
 
Tumekwisha isikia sana hii hadithi, ni wakati wa kuipumzisha, hakuna haja ya kuirudia rudia kila mahali kila dakika. Kila mtu anafahamu maji hulowanisha nguo.
Ukachero ni zaidi ya kufanya kazi za kawaida na vile vile makachero huwa kila sehemu wapo, hata rafiki yako wa karibu waweza kumuamini na kumpa siri zako za ndani kumbe mwenzako ni kachero tena mbobezi, huwa na uwezo wa kufanyakazi popote na katika mazingira yoyote tena yaliyojaa usiri.
 
Back
Top Bottom