Dkt. Modestus Francis Kipilimba: Wasifu wake

Huyu bwana hajawahi kufanya biashara ya aina yoyote katika maisha yake. Kimsingi, naweza kukuthibitishia kwamba hajawahi kumiliki hata duka katika maisha yake,” mmoja wa marafiki wa Dk. Kipilimba aliniambia katika mazungumzo naye wiki hii.
Eyooooo! Nimeipenda hii 💝
Biashara ni stress
 
Dunia hii hutakimbia mauaji hata baada ya miaka 10 akistaafu atalipa tu aliyofanya kisheria au kimtaani
 
Mkuu huyu jamaa aliondolewa na Magufuli kwa vile alikataa kwenda extremes za ukichaa wa Magufuli.
Aliondolewa unceremoniously.
Mungu amlaani yeye mpaka kizazi chake cha 10

Naamini Dunia inamsubiri kwani wahenga walisema kwa kinyume chake

"... WALIMWENGU HADAA DUNIA SHUJAA ..."

Kwamwe mlimwengu hawezi kuishinda DUNIA
 
Tumekwisha isikia sana hii hadithi, ni wakati wa kuipumzisha, hakuna haja ya kuirudia rudia kila mahali kila dakika. Kila mtu anafahamu maji hulowanisha nguo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…