Hayo yametokea Februari 11, 2025 wakati wa ibada ya mazishi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Manyara, Derick Magoma, ambapo Naibu Waziri wa Afya, Dr. Godwin Mollel alipojibu hoja za Godbles Lema wa CHADEMA kuhusu suala la afya, akigusia pia katika Magoma alipokuwa akiugua.
Chanzo: Tourch
Huwa tunawaangalia tu watu kama nyie.Kati ya mawaziri wa hovyo kwenye baraza la mawaziri.
Anyways wote ni wahovyo na mijizi tu.
Halafu mnakuja kututeka na kutuua sio?Huwa tunawaangalia tu watu kama nyie.
Mollel siyo hovyo tu ni zaidi ya shetani kabisaKati ya mawaziri wa hovyo kwenye baraza la mawaziri.
Anyways wote ni wahovyo na mijizi tu.
Ndani ya nchi tiba ni mbovu haswa..Dr.Ndugulile kafia India.
..Lawrence Mafuru kafia India.
..jiulize kwanini hawakuchagua kutibiwa Tanzania?
Kabisa uko sahihi. Tunakulawiti tu. Tunakuachia, wakuua tunawaua kabisa kabisa uko sahihi.Halafu mnakuja kututeka na kutuua sio?