Dkt. Mollel: CHADEMA walipanga njama za kumpiga risasi Lissu

The question: Where do they publish their dissertations is very valid! Dr MD or PhD??
 
Wanaoshabikia upuuzi huu wa Mollel naomba Mungu kati yao wajeruhiwe kwa risasi hata kwenye kidole kama wataipenda hii nchi yenye udharimu mkubwa.Nashukuru Mungu hakuna ambaye hajawahi kupata madhara na serilikali hii.
 
Kuna muongo muongo mwingine anazunguka kwenye vyombo vya habari huko ulaya anadanganya danganya tu kuvuta huruma za wazungu..

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ww ulivo muongo hapa jibun madai ya Huyo anaye zunguka huko lasihivo anawavua nguo hana Cha kupoteza Kama ni kifo amekinusa Mungu akamwambia muda wako Bado rudi ukawaumbue hao Wahuni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si amini mungu amekuumba na ubongo kama wa watu wegine....kama ni wa sungura.......... nakuombea akurejeshee wa binadamu... Sioni namna nyingine.. Tuedelee kumuomba Mungu!!!!!!
 
Molel anataka kutuambia kuwa Ulinzi siku iyo apo pia uliomdolewa na Chadema pia CCTV camera zilitolewa na Chadema!? Basi kama ni ivo Wabunge wetu na mawaziri hawako salama kama tu waharifu wanakuwa Granted na sensitive area kama Maeneo hayo tena wanaenda beyond mpaka kungoa cameras na kuondoa ulinzi
 
Acha kukalilishwa na mbowe, ewe nyumbu tumia ubongo wako vizuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hai wana hasara kubwa kuwakilishwa bungeni na mtu wa aina hii.
 
Mollel akili zake keshamkabidhi polepole ni wa kumuhurumia tu..kawaida ukiwa ccm hata ukiwa Phd unatakiwa utumie akili za sdt 7
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…