Jikite kwenye hoja ,kwa nini dereva wa Lisu amefichwa?Mollel akili zake keshamkabidhi polepole ni wa kumuhurumia tu..kawaida ukiwa ccm hata ukiwa Phd unatakiwa utumie akili za sdt 7
Kwann wanaoanza na Dr hawana akili sawasawa? Tukianzia na Juma Ponda Mali antenna zao hazikamat kabisawaling'oa ndio kwani chadem wameuwa wangap chacha.mtema.ben
bora utulie na njaa yako ya haja
mzee kwa kumuona tu anafanana na watu wenye mtindio wa ubongo (sio kufanana tu ndivyo alivyo)Naunga mkono hoja. Kama kuna mtu anabisha aombe picha ya huyo Mollel amuangalie vizuri.
Inashangaza kuona kuwa ili kutoa ushahidi mzito na muhimu namna hii unaoweza kuitikisa na hatimae kuimaliza CDM unasubiri mpaka ETI wabishiwe kwanza.Kwani yule anayezunguka huko ulaya hajui sehemu sahihi ya kutoa malalamiko yake?
Dr Mollel kasema kama watabisha waseme wanakopeleka ruzuku kisha atoe ushahidi wote wa tukio la Tundu Lissu ugumu uko wapi..?
Njia ya muongo si fupi tu. Waseme atoe huo ushahidi kisha ijulikane ni ushahidi aa uongo au kweli.,
Lakini kumbukeni wenye akili wanafahamu mikakati yenu ilivyokuwa na ilivyo sasa.! Hata wale vijana wenu walikuwa Nje ya Nchi watu wanafahamu. Hivyo msijifiche kwa viganja vya mikono mkiacha mwili mtupu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Shetani anaekuendesha, poleMbunge wa hovyo ni Lisu aliyekimbia jimbo lake na kwenda kuwa shoga Ulaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Molel akamatwe mala mojaAliyekuwa mbunge wa Chadema kutoka jimbo la Siha jana ametema nyongo bungeni baada ya kuelezea namna viongozi wa Chadema walivyopanga njama za kumuuwa Lisu kwa kumpiga risasi na amesema kama Chadema wanabisha siku ikifika ataweka ushahidi wote hadharani!
Report ya Dkt Mollel sasa inaweza kujibu swali la kwa nini pamoja na kufyatuliwa risasi nyingi lakini hamna hata moja iliyompata dereva wa Lisu kwa sababu alikuwa anajua mchongo mzima na namna gani ya kujificha wakati risasi zikimiminwa.
Chanzo: Mpekuzi
========
Mbunge Dkt. Mollel akiwa Bungeni amesema fedha zinazopatikana kwenye rasilimali ambazo si endelevu(Mf. Madini) zinapaswa kuwekezwa kwenye maeneo ambayo yataendelea kulipa taifa pato hata zikiisha.
Nayo ni
1. Rasilimali watu
2. Miundombinu
3. Ugunduzi na Teknolojia
Pia ameeleza kuwa wakati sisi tunawekeza huko, kuna baadhi ya nchi ambazo rasilimali zao zimekwisha hivyo wanatafuta maeneo katika nchi zetu ili waweze kuwekeza kwenye rasilimali zetu na kuzipa nchi zao nguvu.
Katika kutoa mfano wa hilo, Dkt. Mollel anadai kuwa akiwa CHADEMA chini ya Mbunge Selasini, walikuwa wakipanga mikakati ya kuzuia Serikali isiwekeze maeneo hayo.
Katika mkakati huo ikaonekana kuwa Tundu Lissu anajipatia umaarufu binafsi hivyo wakampiga risasi na kumuumiza.
Anasema mkakati huo ndio unaendelea hadi sasa Ulaya ukifadhiliwa na watu wachafu wenye nia ya kuiba rasilimali za Watanzania. Anasema suala la Lissu liko wazi sababu hata Chacha Wangwe alipotaka Uenyekiti nini kilimpata?
Mabomu ya Arusha
Akizidi kukandamizia point yake, Mollel amesema alikuwa Daktari mwakilishi wa CHADEMA kipindi cha Mabomu ya Arusha na alipotoka kwenye chumba cha uchunguzi(post mortem) aliwaeleza viongozi wake kuwa ameiba vitu kadhaa toka kwenye chumba hicho hivyo wavipeleke Afrika ya Kusini kwa ajili ya uchunguzi lakini walikataa licha ya kuwa na Ruzuku.
Sent using Jamii Forums mobile app
Anamsubiri dereva wa Lisu waende woteNadhani apelekwe mahakamani athibitisha anachokisema.
Ewe dereva wa Lisu njoo uhojiwe, acha kuwa mke wa mtu ulayaInashangaza kuona kuwa ili kutoa ushahidi mzito na muhimu namna hii unaoweza kuitikisa na hatimae kuimaliza CDM unasubiri mpaka ETI wabishiwe kwanza.
YAONEKANA wazi kuwa, si Mollel au hata Waitara wote hawana kipya wala cha msingi cha kusema, ndio maana amejikuta anatumia staili tulizokuwa tunatumia utotoni za "..we nianze tu...utaona..."
Pia pangekuwepo na kitu chenye uzito, kwa usongo waliyonao, Polisi (wenu) wangeishawakimbilia WALA wasingesubiri kupelekewa.
Katika songombingo za kubumba kama hizi, Mh Mwigulu Nchemba nae aliwahi kuahidi kutoa ushahidi hata mbinguni. Lakini mpaka anatumbuliwa, alishindwa kuutoa hata hapa duniani.
Maadam Polisi hawataki kuzungumzia swala la
1.kuondolewa walinzi wote eneo na saa ya tukio.
2. Kutowahoji wafanyakazi wa majumbani eneo la tukio ambao ndio walimbeba TAL
3. Kungolewa cctv camera iliyokuwa nyumbani kwa Wazir (yupo )i karibu kabisa na eneo la tukio.
Basi wanajua kilichotokea.
Mengine na haya ya Dr Mollel ni juhudi za kujaribu kufunika mambo ili kuokoa wauaji kama ilivyo kawaida yenu. Na ndio juhudi walizokwenda kuziunga mkono.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani mbinu inayotumika ni kuhangaika nanyu kimya kimya! Ila tu nikudokeze kuwa mipango yenu mingi sana mliyokuwa mnaipanga kuanzia 2010 kwenda 2015 wakati ule chadema ikiwa kwenye peak!Inashangaza kuona kuwa ili kutoa ushahidi mzito na muhimu namna hii unaoweza kuitikisa na hatimae kuimaliza CDM unasubiri mpaka ETI wabishiwe kwanza.
YAONEKANA wazi kuwa, si Mollel au hata Waitara wote hawana kipya wala cha msingi cha kusema, ndio maana amejikuta anatumia staili tulizokuwa tunatumia utotoni za "..we nianze tu...utaona..."
Pia pangekuwepo na kitu chenye uzito, kwa usongo waliyonao, Polisi (wenu) wangeishawakimbilia WALA wasingesubiri kupelekewa.
Katika songombingo za kubumba kama hizi, Mh Mwigulu Nchemba nae aliwahi kuahidi kutoa ushahidi hata mbinguni. Lakini mpaka anatumbuliwa, alishindwa kuutoa hata hapa duniani.
Maadam Polisi hawataki kuzungumzia swala la
1.kuondolewa walinzi wote eneo na saa ya tukio.
2. Kutowahoji wafanyakazi wa majumbani eneo la tukio ambao ndio walimbeba TAL
3. Kungolewa cctv camera iliyokuwa nyumbani kwa Wazir (yupo )i karibu kabisa na eneo la tukio.
Basi wanajua kilichotokea.
Mengine na haya ya Dr Mollel ni juhudi za kujaribu kufunika mambo ili kuokoa wauaji kama ilivyo kawaida yenu. Na ndio juhudi walizokwenda kuziunga mkono.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani mbinu inayotumika ni kuhangaika nanyu kimya kimya! Ila tu nikudokeze kuwa mipango yenu mingi sana mliyokuwa mnaipanga kuanzia 2010 kwenda 2015 wakati ule chadema ikiwa kwenye peak!
Kwa sasa iko wazi sana vile vikao vya ifakara! Au kule Arusha..na sehemu nyingine agenda zake zimevurugwa sana.
Vip, Mallya alikuwa dereva wa chacha wangwe ameachiwa? Au bado yupo gerezani mkuu..?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tangu lini Malaya akaaminika?Mollel kamsaidia sana lissu kujua ukweli
Alipokuwa CDM huo mtindio wa ubongo hamkuweza kuuona!!. Mnachekesha.mzee kwa kumuona tu anafanana na watu wenye mtindio wa ubongo (sio kufanana tu ndivyo alivyo)
Polisi watakuwa wapuuzi sana kama hawana taarifa kama hizo. Endapo wapo kimya watakuwa wameona sio wakati sahihi kuchukua hatua.!Kabidhi siri hizo Polisi, sheria ichukue mkondo wake. Kama hauna vielelezo ungejipumzisha tu ingawaje utaambiwa sio mzalendo.
Sent using Jamii Forums mobile app