Dkt. Mollel: CHADEMA walipanga njama za kumpiga risasi Lissu

Dkt. Mollel: CHADEMA walipanga njama za kumpiga risasi Lissu

Chama kinachoongozwa na Ketemakers, DJ's, Chaarusha hakika ni genge hatari sana kwa kutekana na kuuana eg Saa 8 yuko wapi?, Rasi Wangwe na wengineyo. Hili genge la wahuni wanaishi maisha kama ya Samaki kulana wao kwa wao hivyo maneno ya Mh. phd holder si ya kubeza na kupuuza hata kidogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani yule anayezunguka huko ulaya hajui sehemu sahihi ya kutoa malalamiko yake?
Dr Mollel kasema kama watabisha waseme wanakopeleka ruzuku kisha atoe ushahidi wote wa tukio la Tundu Lissu ugumu uko wapi..?
Njia ya muongo si fupi tu. Waseme atoe huo ushahidi kisha ijulikane ni ushahidi aa uongo au kweli.,
Lakini kumbukeni wenye akili wanafahamu mikakati yenu ilivyokuwa na ilivyo sasa.! Hata wale vijana wenu walikuwa Nje ya Nchi watu wanafahamu. Hivyo msijifiche kwa viganja vya mikono mkiacha mwili mtupu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Inashangaza kuona kuwa ili kutoa ushahidi mzito na muhimu namna hii unaoweza kuitikisa na hatimae kuimaliza CDM unasubiri mpaka ETI wabishiwe kwanza.
YAONEKANA wazi kuwa, si Mollel au hata Waitara wote hawana kipya wala cha msingi cha kusema, ndio maana amejikuta anatumia staili tulizokuwa tunatumia utotoni za "..we nianze tu...utaona..."
Pia pangekuwepo na kitu chenye uzito, kwa usongo waliyonao, Polisi (wenu) wangeishawakimbilia WALA wasingesubiri kupelekewa.
Katika songombingo za kubumba kama hizi, Mh Mwigulu Nchemba nae aliwahi kuahidi kutoa ushahidi hata mbinguni. Lakini mpaka anatumbuliwa, alishindwa kuutoa hata hapa duniani.

Maadam Polisi hawataki kuzungumzia swala la
1.kuondolewa walinzi wote eneo na saa ya tukio.
2. Kutowahoji wafanyakazi wa majumbani eneo la tukio ambao ndio walimbeba TAL
3. Kungolewa cctv camera iliyokuwa nyumbani kwa Wazir (yupo )i karibu kabisa na eneo la tukio.

Basi wanajua kilichotokea.

Mengine na haya ya Dr Mollel ni juhudi za kujaribu kufunika mambo ili kuokoa wauaji kama ilivyo kawaida yenu. Na ndio juhudi walizokwenda kuziunga mkono.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliyekuwa mbunge wa Chadema kutoka jimbo la Siha jana ametema nyongo bungeni baada ya kuelezea namna viongozi wa Chadema walivyopanga njama za kumuuwa Lisu kwa kumpiga risasi na amesema kama Chadema wanabisha siku ikifika ataweka ushahidi wote hadharani!

Report ya Dkt Mollel sasa inaweza kujibu swali la kwa nini pamoja na kufyatuliwa risasi nyingi lakini hamna hata moja iliyompata dereva wa Lisu kwa sababu alikuwa anajua mchongo mzima na namna gani ya kujificha wakati risasi zikimiminwa.

Chanzo: Mpekuzi

========

Mbunge Dkt. Mollel akiwa Bungeni amesema fedha zinazopatikana kwenye rasilimali ambazo si endelevu(Mf. Madini) zinapaswa kuwekezwa kwenye maeneo ambayo yataendelea kulipa taifa pato hata zikiisha.

Nayo ni

1. Rasilimali watu
2. Miundombinu
3. Ugunduzi na Teknolojia

Pia ameeleza kuwa wakati sisi tunawekeza huko, kuna baadhi ya nchi ambazo rasilimali zao zimekwisha hivyo wanatafuta maeneo katika nchi zetu ili waweze kuwekeza kwenye rasilimali zetu na kuzipa nchi zao nguvu.

Katika kutoa mfano wa hilo, Dkt. Mollel anadai kuwa akiwa CHADEMA chini ya Mbunge Selasini, walikuwa wakipanga mikakati ya kuzuia Serikali isiwekeze maeneo hayo.

Katika mkakati huo ikaonekana kuwa Tundu Lissu anajipatia umaarufu binafsi hivyo wakampiga risasi na kumuumiza.

Anasema mkakati huo ndio unaendelea hadi sasa Ulaya ukifadhiliwa na watu wachafu wenye nia ya kuiba rasilimali za Watanzania. Anasema suala la Lissu liko wazi sababu hata Chacha Wangwe alipotaka Uenyekiti nini kilimpata?

Mabomu ya Arusha

Akizidi kukandamizia point yake, Mollel amesema alikuwa Daktari mwakilishi wa CHADEMA kipindi cha Mabomu ya Arusha na alipotoka kwenye chumba cha uchunguzi(post mortem) aliwaeleza viongozi wake kuwa ameiba vitu kadhaa toka kwenye chumba hicho hivyo wavipeleke Afrika ya Kusini kwa ajili ya uchunguzi lakini walikataa licha ya kuwa na Ruzuku.

Sent using Jamii Forums mobile app
Molel akamatwe mala moja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inashangaza kuona kuwa ili kutoa ushahidi mzito na muhimu namna hii unaoweza kuitikisa na hatimae kuimaliza CDM unasubiri mpaka ETI wabishiwe kwanza.
YAONEKANA wazi kuwa, si Mollel au hata Waitara wote hawana kipya wala cha msingi cha kusema, ndio maana amejikuta anatumia staili tulizokuwa tunatumia utotoni za "..we nianze tu...utaona..."
Pia pangekuwepo na kitu chenye uzito, kwa usongo waliyonao, Polisi (wenu) wangeishawakimbilia WALA wasingesubiri kupelekewa.
Katika songombingo za kubumba kama hizi, Mh Mwigulu Nchemba nae aliwahi kuahidi kutoa ushahidi hata mbinguni. Lakini mpaka anatumbuliwa, alishindwa kuutoa hata hapa duniani.

Maadam Polisi hawataki kuzungumzia swala la
1.kuondolewa walinzi wote eneo na saa ya tukio.
2. Kutowahoji wafanyakazi wa majumbani eneo la tukio ambao ndio walimbeba TAL
3. Kungolewa cctv camera iliyokuwa nyumbani kwa Wazir (yupo )i karibu kabisa na eneo la tukio.

Basi wanajua kilichotokea.

Mengine na haya ya Dr Mollel ni juhudi za kujaribu kufunika mambo ili kuokoa wauaji kama ilivyo kawaida yenu. Na ndio juhudi walizokwenda kuziunga mkono.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ewe dereva wa Lisu njoo uhojiwe, acha kuwa mke wa mtu ulaya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inashangaza kuona kuwa ili kutoa ushahidi mzito na muhimu namna hii unaoweza kuitikisa na hatimae kuimaliza CDM unasubiri mpaka ETI wabishiwe kwanza.
YAONEKANA wazi kuwa, si Mollel au hata Waitara wote hawana kipya wala cha msingi cha kusema, ndio maana amejikuta anatumia staili tulizokuwa tunatumia utotoni za "..we nianze tu...utaona..."
Pia pangekuwepo na kitu chenye uzito, kwa usongo waliyonao, Polisi (wenu) wangeishawakimbilia WALA wasingesubiri kupelekewa.
Katika songombingo za kubumba kama hizi, Mh Mwigulu Nchemba nae aliwahi kuahidi kutoa ushahidi hata mbinguni. Lakini mpaka anatumbuliwa, alishindwa kuutoa hata hapa duniani.

Maadam Polisi hawataki kuzungumzia swala la
1.kuondolewa walinzi wote eneo na saa ya tukio.
2. Kutowahoji wafanyakazi wa majumbani eneo la tukio ambao ndio walimbeba TAL
3. Kungolewa cctv camera iliyokuwa nyumbani kwa Wazir (yupo )i karibu kabisa na eneo la tukio.

Basi wanajua kilichotokea.

Mengine na haya ya Dr Mollel ni juhudi za kujaribu kufunika mambo ili kuokoa wauaji kama ilivyo kawaida yenu. Na ndio juhudi walizokwenda kuziunga mkono.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani mbinu inayotumika ni kuhangaika nanyu kimya kimya! Ila tu nikudokeze kuwa mipango yenu mingi sana mliyokuwa mnaipanga kuanzia 2010 kwenda 2015 wakati ule chadema ikiwa kwenye peak!
Kwa sasa iko wazi sana vile vikao vya ifakara! Au kule Arusha..na sehemu nyingine agenda zake zimevurugwa sana.

Vip, Mallya alikuwa dereva wa chacha wangwe ameachiwa? Au bado yupo gerezani mkuu..?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani mbinu inayotumika ni kuhangaika nanyu kimya kimya! Ila tu nikudokeze kuwa mipango yenu mingi sana mliyokuwa mnaipanga kuanzia 2010 kwenda 2015 wakati ule chadema ikiwa kwenye peak!
Kwa sasa iko wazi sana vile vikao vya ifakara! Au kule Arusha..na sehemu nyingine agenda zake zimevurugwa sana.

Vip, Mallya alikuwa dereva wa chacha wangwe ameachiwa? Au bado yupo gerezani mkuu..?

Sent using Jamii Forums mobile app

Kabidhi siri hizo Polisi, sheria ichukue mkondo wake. Kama hauna vielelezo ungejipumzisha tu ingawaje utaambiwa sio mzalendo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ili watu wawe na imani juu ya anachokieleza ni vyema basi hoja zaxkung'olewa cctv camera zijibiwe.
Maana sudhani kama wanayo aurhority ya kuwaondoa walinzi pale.

Na pia ikiwa kuna ukweli polisi wamekuwa wakiwatafuta wahusika kwa nini asipeleke ushahidi kwa jamvo hatari kama hilo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom