Dkt. Mollel: CHADEMA walipanga njama za kumpiga risasi Lissu

Dkt. Mollel: CHADEMA walipanga njama za kumpiga risasi Lissu

Molel kichaa waambie kijani wenzio waruhusu wachunguzi wa kimataifa ili waimbue chadema kwa kuhusika kwake na kupiga risasi lissu ,Fanya hivyo taahira wewe .
 
CCM wote Akili zao zimegandishwa na Bashite hawawezi kuwaza kwa Akili zao wanapelekeshwa na mtesi mkuu wa Tundu Lisu, hawalali wanakesha kusaka wana ccm punguani kuwakaririsha upumbavu wao wakiamini utawachanganya watanzania mpaka ifike 2020 hakuna maendeleo wala viwanda huku wakitafuna trilion 1.5 kimya kimya pasipo kuulizwa na mtu kwani anayethubutu kuhoji ufujaji wa pesa za umma lazima atapigwa Risasi na Bashite.
 
Molel kichaa waambie kijani wenzio waruhusu wachunguzi wa kimataifa ili waimbue chadema kwa kuhusika kwake na kupiga risasi lissu ,Fanya hivyo taahira wewe .
Tayari vyombo vya uchaguzi wa kimataifa vilifika Dodoma vikafanya Upelelezi kwa siri vikabaini cctv kung’olewa na Bashite ambaye ndiye aliyeshiriki kuandaa na kuteleza shambulio lote, taarifa zote zipo na chadema walishapewa wapo wanaandaa mashitaka kuyapeleka The Hague kule uholanzi pindi Tundu Lisu akipona na kurejea Tanzania
 
Duh....mara mseme sio Lissu tu aliyeshambuliwa bali kuna mwanajeshi pia alishambuliwa! Na CDM pia?

BTW, ile twist/spin ya yule mwanajeshi "aliyeshambuliwa" iliishia wapi? Hili muvie linafanana sana na lile la "Kashoggi" kwa namna lilivyobumburuka.
 
CCM wote Akili zao zimegandishwa na Bashite hawawezi kuwaza kwa Akili zao wanapelekeshwa na mtesi mkuu wa Tundu Lisu, hawalali wanakesha kusaka wana ccm punguani kuwakaririsha upumbavu wao wakiamini utawachanganya watanzania mpaka ifike 2020 hakuna maendeleo wala viwanda huku wakitafuna trilion 1.5 kimya kimya pasipo kuulizwa na mtu kwani anayethubutu kuhoji ufujaji wa pesa za umma lazima atapigwa Risasi na Bashite.
Hiyo mimba ya Bashite itakuua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha utahira wako chama hakikuuzwa bali ni propaganda za kishamba toka CCM wakazikariri wale wajinga wajinga kama nyie, lakini wenye Akili wanajua Lowasa alikuwa vizuri na chama chochote kingempokea pasipo kudai chochote, watesi nyie mpo busy kutengeneza mazingira ya kishamba shamba kuwahadaa watanzania pasipo kujua kuwa wananchi wa sasa si wale wa zamani ambao walidanganywa ki rahisi na kukubali Uongo wa CCM.
You are such a pathetic uncircumcised baboon!
Hivi unajisikia upumbavu uliyoandika hapo juu!? Eti "Wenye akili wanajua Lowasa alikuwa vizuri na Chama chochote kingempokea"!!!???? Unaikumbuka ule Mkutano mwembeyanga mlivyomshambulia Mzee Lowasa kwa Matusi na kejeli!? Viongozi wenu wa Chama akiwemo Mhaini Tundu Lissu walidiriki kumuita Mzee Lowasa Fisadi Papa ambaye hasafishiki. Hayo yote leo hii mmeyasahau na kubadili GIA angani kama wadada poa wa pale Corner bar na Masai Bar.
Shame on you SOB.
 
Dr Mollel anaweza kusaidia sana uchunguzi kuliko dereva wa Lissu. Kwanini Polisi wasimhoji

Anasema aliiba vitu kutoka ''mochwari'. Huyu ni Dr kitaalamu. Hilo tu ni kosa la kitaaluma
Chama cha Madaktari nitshangaa kama hawatamhoji kuhusu maadili ya kazi 'medical ethics''

Halima Mdee kaitwa kamati ya maadili kwa suala la CAG. Bunge hilo hilo limekaa kimya linasikiliza uzushi wa Dr Mollel. Kwakweli Nduguy ni mmoja wa viongozi wabovu sana tuliowahi kuwapata katika taifa hili

Wasichoeleza
Walinzi walikuwa wapi? Waliona au hawakuona nini?
Kamera za CCTV zipo wapi? Zinaonyesha au hazionyeshi nini?

Pascal Mayalla JokaKuu
 
Hakuna siri ya kikundi cha watu itakayo baki milele bila kugundulikana ........ Sikiliza kwa makini hiyo video na baada ya hapo linganisha na matukio halisi pamoja na viashiria vyote vinavyojionesha kwasasa utaamini maneno ya hiyo video clip
 

Attachments

"Tuangalie wanapinga suala la Tundu Lissu, Chacha Wangwe kilimtokea nini baada ya kutaka uenyekiti!? Kulikuwa na plan namba moja ya kuzuia serikali isifanye kazi, kati kati ya plan namba moja Lissu akapigwa Risasi ili kusisimua watu wavuruge serikali yetu, plan namba mbili ndio inaendelea Ulaya, ambayo ni muendelezo wa kufadhiliwa na wale watu wachafu”. Mbunge wa Siha, Dkt. Godwin Mollel (aliyekuwa CHADEMA).
1549854947166.png
 
"Tuangalie wanapinga suala la Tundu Lissu, Chacha Wangwe kilimtokea nini baada ya kutaka uenyekiti!? Kulikuwa na plan namba moja ya kuzuia serikali isifanye kazi, kati kati ya plan namba moja Lissu akapigwa Risasi ili kusisimua watu wavuruge serikali yetu, plan namba mbili ndio inaendelea Ulaya, ambayo ni muendelezo wa kufadhiliwa na wale watu wachafu”. Mbunge wa Siha, Dkt. Godwin Mollel (aliyekuwa CHADEMA). View attachment 1019461

Ni mtu asiyetahiriwa kiakili au aliyelipwa fedha ndiye anaweza kuandika uharo huu. Kichefuchefu tupu.
 
Ni mtu asiyetahiriwa kiakili au aliyelipwa fedha ndiye anaweza kuandika uharo huu. Kichefuchefu tupu.
Uharo mtupu! Jitu limeamkia kwenda kunywa mkojo wa first lady, limetoka huko na hangover ya mkojo!
 
"Tuangalie wanapinga suala la Tundu Lissu, Chacha Wangwe kilimtokea nini baada ya kutaka uenyekiti!? Kulikuwa na plan namba moja ya kuzuia serikali isifanye kazi, kati kati ya plan namba moja Lissu akapigwa Risasi ili kusisimua watu wavuruge serikali yetu, plan namba mbili ndio inaendelea Ulaya, ambayo ni muendelezo wa kufadhiliwa na wale watu wachafu”. Mbunge wa Siha, Dkt. Godwin Mollel (aliyekuwa CHADEMA). View attachment 1019461
Kwa hiyo CHADEMA ndio walio waondoa Polisi wanaolinda makazi ya viongozi?
Tena ni CHADEMA ndio wamesababisha hadi Leo Polisi wasipeleleze tukio hilo?
 
Back
Top Bottom