Barua Ya Kujiuzuru ameandika Kwa Chama chake ili asichaguliwe Kuwa Mgombea Mwenza tu!
Ila Serikali inamtambua Kama Vice mpaka Sasa Na Mpaka Uchaguzi Utakapoisha Na Wakachaguliwa Wengine Bado atakuwa VICE ikitokea Uchaguzi ukaahirishwa Kw namna Yoyote ile Bado anaendelea Kuwa Vice..