Nimesoma maoni vilivyo,katika yote nakubaliana na mdau aliyependekeza teknolojia iachiwe na cha kuongezea kuwe na barrier patakapofaa, askali kazi yake iwe ni kufunga na kufungua kizuizi pale mwenye chombo cha moto atakapo ingiza leseni yake ya udreva katika mashine maalum ikiwa expired imtengenezee faini ya kulipa mbele ya safari bila kusahau waendesha bodaboda mashine iwascan kama wamevaa element,safety jacket na boot ngumu na pia katika barrier chombo kisimamapo kitafsiri mfumo mzima wa hicho chombo kina kosa gani kati ya indicator,brake,etc kwa hapo rushwa itakoma na asiyelipa faini huko aendako baada ya siku tatu akibainika na mfumo basi isiwe majadiliano bali mahakamani ili ikiwezekana alipe faini zote pamoja na kifungo cha mwezi mmoja,mijeredi kila asubuhi na kazi ngumu hapo tutakomesha rushwa za barabarani.