Escrowseal1
JF-Expert Member
- Dec 17, 2014
- 4,618
- 4,605
Huyu gangwe si ndo awamu ya tano alimuwa anapinga kutembeza bakuli kwa mabeberu.anyway na kasi ya kulamba asali ni kama mandonga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliponea chupuchupuNadhani Covid made some damage upstairs
Tuwe na tabia ya kupongeza pale mazuri yanapofanyika..... (nchi nzima kila pahala panajengwa)Nadhani Covid made some damage upstairs
Usafirishaji pekee wa abiria unaleta hasara, ndio maana serekali yetu inafanya bidii kumaliza vipande hivyo vya mbali venye kuunga nje ya nchi ili mara ianzapo ianze kwa faida straight forwards, Note this!Tuliambiwa SGR ya Dar to Dom itakua tayari around Disemba 2022 ila mpaka sasa hamna chochote, tunahitaji majibu kuhusiana na hili jambo mana uwepo wake ni msaada tosha kwa wanaosafiri kutoka Dar kwenda Kahama, Mwanza, Kigoma au Bukoba.
Kazi inaendelea 👇Huyu gangwe si ndo awamu ya tano alimuwa anapinga kutembeza bakuli kwa mabeberu.anyway na kasi ya kulamba asali ni kama mandonga