Li ngunda ngali
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 707
- 2,572
Kila kitu kina wakatiView attachment 2667588 ' Vp watamwonea tu maskini wa Mungu na yule baba ni mcha Mungu mno kamwe hawezi kuhongeka.'
' Nakumbuka hata siku lile anakutana nao wasaidizi wake wote aliwaasa kuwa makini kwenye makubaliano ya aina yeyote.'
' Wakati wote alionyesha tai yake kwa watu wake wa karibu na kuwakumbusha uzalendo kwa Taifa letu uwe kipaumbele namba moja.'
'Mzee Mpango watu wasimfikirie vibaya jamani na kama utaona hata siku anakutana nao alivaa tai ya bendera ya Taifa.'
Mzee hausiki jamani hahaha.Kila kitu kina wakati
View attachment 2667588 ' Vp watamwonea tu maskini wa Mungu na yule baba ni mcha Mungu mno kamwe hawezi kuhongeka.'
' Nakumbuka hata siku lile anakutana nao wasaidizi wake wote aliwaasa kuwa makini kwenye makubaliano ya aina yeyote.'
' Wakati wote alionyesha tai yake kwa watu wake wa karibu na kuwakumbusha uzalendo kwa Taifa letu uwe kipaumbele namba moja.'
'Mzee Mpango watu wasimfikirie vibaya jamani na kama utaona hata siku anakutana nao alivaa tai ya bendera ya Taifa ile ilikuwa inawapa maana ya uzalendo wake wale mabwana.'
Ajapata mgao wake.Mzee hausiki jamani hahaha.
Hao ndiyo wenye nchi,ukileta ujuaji wanakupoteza!Hahaha haa haa..
Kumbe huyu ni mchamungu ila wengine wezi sio?
Interesting... .huyu ndo project ya Pengo?
Haha haha, mbona mapema sana Yan 😂, mnaanza kujikana , si mlisema huu mradi utawakomboa wa TZ 🇹🇿, na Bado tutaelewana TU Yan 😂View attachment 2667588 ' Vp watamwonea tu maskini wa Mungu na yule baba ni mcha Mungu mno kamwe hawezi kuhongeka.'
' Nakumbuka hata siku lile anakutana nao wasaidizi wake wote aliwaasa kuwa makini kwenye makubaliano ya aina yeyote.'
' Wakati wote alionyesha tai yake kwa watu wake wa karibu na kuwakumbusha uzalendo kwa Taifa letu uwe kipaumbele namba moja.'
'Mzee Mpango watu wasimfikirie vibaya jamani na kama utaona hata siku anakutana nao alivaa tai ya bendera ya Taifa ile ilikuwa inawapa maana ya uzalendo wake wale mabwana.'
Mtikila alikuwa anaita watu kama hawa Babu jinga.View attachment 2667588 ' Vp watamwonea tu maskini wa Mungu na yule baba ni mcha Mungu mno kamwe hawezi kuhongeka.'
' Nakumbuka hata siku lile anakutana nao wasaidizi wake wote aliwaasa kuwa makini kwenye makubaliano ya aina yeyote.'
' Wakati wote alionyesha tai yake kwa watu wake wa karibu na kuwakumbusha uzalendo kwa Taifa letu uwe kipaumbele namba moja.'
'Mzee Mpango watu wasimfikirie vibaya jamani na kama utaona hata siku anakutana nao alivaa tai ya bendera ya Taifa ile ilikuwa inawapa maana ya uzalendo wake wale mabwana.'
Kiongozi mkubwa kama yeye linapotokea kswala kama hili na ushahidi wa picha ,natakiwa ajitokeze aueleze umma , ni zawadi Kwa lipi jema alilowafanyia. Akikosa maneno ya kuwaambia watanzania ajiuzuruView attachment 2667588 ' Vp watamwonea tu maskini wa Mungu na yule baba ni mcha Mungu mno kamwe hawezi kuhongeka.'
' Nakumbuka hata siku lile anakutana nao wasaidizi wake wote aliwaasa kuwa makini kwenye makubaliano ya aina yeyote.'
' Wakati wote alionyesha tai yake kwa watu wake wa karibu na kuwakumbusha uzalendo kwa Taifa letu uwe kipaumbele namba moja.'
'Mzee Mpango watu wasimfikirie vibaya jamani na kama utaona hata siku anakutana nao alivaa tai ya bendera ya Taifa ile ilikuwa inawapa maana ya uzalendo wake wale mabwana.'
Labda Mheshimiwa ameshakula cha up kwa hiyo hakubali ushauri wowote!Hapo anacheka nini ? Mwambieni amshauri Mheshimiwa
Bora na bora tena bora sana 2025 twende na Majaliwa tujipange upya ....nadhani mnanielewaaa.....
Mwongo mwongo Sana.Hao ndiyo wenye nchi,ukileta ujuaji wanakupoteza!
Road Map au siyo?View attachment 2667588 ' Vp watamwonea tu maskini wa Mungu na yule baba ni mcha Mungu mno kamwe hawezi kuhongeka.'
' Nakumbuka hata siku lile anakutana nao wasaidizi wake wote aliwaasa kuwa makini kwenye makubaliano ya aina yeyote.'
' Wakati wote alionyesha tai yake kwa watu wake wa karibu na kuwakumbusha uzalendo kwa Taifa letu uwe kipaumbele namba moja.'
'Mzee Mpango watu wasimfikirie vibaya jamani na kama utaona hata siku anakutana nao alivaa tai ya bendera ya Taifa ile ilikuwa inawapa maana ya uzalendo wake wale mabwana.'
Yule maza tatizo waliomuweka ni wezi lazima atimize matakwa yaoHahaha haa haa..
Kumbe huyu ni mchamungu ila wengine wezi sio?
Interesting... .huyu ndo project ya Pengo?