Vice President watamwonea tu maskini wa Mungu na yule baba ni mcha Mungu mno kamwe hawezi kuhongeka.'
' Nakumbuka hata siku lile anakutana nao wasaidizi wake wote aliwaasa kuwa makini kwenye makubaliano ya aina yeyote.'
' Wakati wote alionyesha tai yake kwa watu wake wa karibu na kuwakumbusha uzalendo kwa Taifa letu uwe kipaumbele namba moja.'
'Mzee Mpango watu wasimfikirie vibaya jamani na kama utaona hata siku anakutana nao alivaa tai ya bendera ya Taifa ile ilikuwa inawapa maana ya uzalendo wake wale mabwana.'