NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Kumbe!View attachment 2667588 ' Vp watamwonea tu maskini wa Mungu na yule baba ni mcha Mungu mno kamwe hawezi kuhongeka.'
' Nakumbuka hata siku lile anakutana nao wasaidizi wake wote aliwaasa kuwa makini kwenye makubaliano ya aina yeyote.'
' Wakati wote alionyesha tai yake kwa watu wake wa karibu na kuwakumbusha uzalendo kwa Taifa letu uwe kipaumbele namba moja.'
'Mzee Mpango watu wasimfikirie vibaya jamani na kama utaona hata siku anakutana nao alivaa tai ya bendera ya Taifa ile ilikuwa inawapa maana ya uzalendo wake wale mabwana.'
Lakini si kwa picha hii. Tazama usawa wa magoti, alikuwa amevaa gum boots?!Mtikila alikuwa anaita watu kama hawa Babu jinga.
Ccm wote weeeeezziiiiView attachment 2667588 ' Vp watamwonea tu maskini wa Mungu na yule baba ni mcha Mungu mno kamwe hawezi kuhongeka.'
' Nakumbuka hata siku lile anakutana nao wasaidizi wake wote aliwaasa kuwa makini kwenye makubaliano ya aina yeyote.'
' Wakati wote alionyesha tai yake kwa watu wake wa karibu na kuwakumbusha uzalendo kwa Taifa letu uwe kipaumbele namba moja.'
'Mzee Mpango watu wasimfikirie vibaya jamani na kama utaona hata siku anakutana nao alivaa tai ya bendera ya Taifa ile ilikuwa inawapa maana ya uzalendo wake wale mabwana.'
Ayaaaa..., daaah, akina Mangungo kila konaView attachment 2667588 ' Vp watamwonea tu maskini wa Mungu na yule baba ni mcha Mungu mno kamwe hawezi kuhongeka.'
' Nakumbuka hata siku lile anakutana nao wasaidizi wake wote aliwaasa kuwa makini kwenye makubaliano ya aina yeyote.'
' Wakati wote alionyesha tai yake kwa watu wake wa karibu na kuwakumbusha uzalendo kwa Taifa letu uwe kipaumbele namba moja.'
'Mzee Mpango watu wasimfikirie vibaya jamani na kama utaona hata siku anakutana nao alivaa tai ya bendera ya Taifa ile ilikuwa inawapa maana ya uzalendo wake wale mabwana.'
[emoji16][emoji16][emoji16]dah umenikumbusha hii. Magu alikuwa na drama sana yule mwambaKila nikimuona nakumbuka alivyotolewa ICU pale Benjamin hospital aje awaprove wrong wananchi kuwa yy ni mzima...at the same time amekaa kwny wheelchair na ana suffocate the way anaongea kwa maumivu ..ile video niliota kabisa...
Majaliwa yupi .watu wa kusini wapuuz sanaBora na bora tena bora sana 2025 twende na Majaliwa tujipange upya ....nadhani mnanielewaaa.....
Naona hawa jamaa wamepania hasa.Vice President watamwonea tu maskini wa Mungu na yule baba ni mcha Mungu mno kamwe hawezi kuhongeka.'
' Nakumbuka hata siku lile anakutana nao wasaidizi wake wote aliwaasa kuwa makini kwenye makubaliano ya aina yeyote.'
' Wakati wote alionyesha tai yake kwa watu wake wa karibu na kuwakumbusha uzalendo kwa Taifa letu uwe kipaumbele namba moja.'
'Mzee Mpango watu wasimfikirie vibaya jamani na kama utaona hata siku anakutana nao alivaa tai ya bendera ya Taifa ile ilikuwa inawapa maana ya uzalendo wake wale mabwana.'
Atasema tu tumuombe Mungu Sana hili lipite.Mzee hausiki jamani hahaha.
Hivi Pengo ni nani ndani ya nchi hii, mbali ya kumtumia watu kama wewe kuhalalisha uchafu!Hahaha haa haa..
Kumbe huyu ni mchamungu ila wengine wezi sio?
Interesting... .huyu ndo project ya Pengo?
Siyo dhehebu mama la dini fulani. Lugha ya kinabii inasema "mama wa makahaba" [emoji125][emoji125][emoji125]Kanisa Moja Takatifu la Mitume
Wamepania, lakini hiyo picha si halisi. Iangalie kwenye magoti ya Mpango. Kama amevaa gum boots.Naona hawa jamaa wamepania hasa.
Ni kama wanaokota embe dodo zisizokuwa na mwenyewe. Wapo kila mahala?
Kumetokea nini kinachowavuta sana kuja hapa wakati huu?
Halafu wewe kha!Vice President watamwonea tu maskini wa Mungu na yule baba ni mcha Mungu mno kamwe hawezi kuhongeka.'
' Nakumbuka hata siku lile anakutana nao wasaidizi wake wote aliwaasa kuwa makini kwenye makubaliano ya aina yeyote.'
' Wakati wote alionyesha tai yake kwa watu wake wa karibu na kuwakumbusha uzalendo kwa Taifa letu uwe kipaumbele namba moja.'
'Mzee Mpango watu wasimfikirie vibaya jamani na kama utaona hata siku anakutana nao alivaa tai ya bendera ya Taifa ile ilikuwa inawapa maana ya uzalendo wake wale mabwana.'
Mpango ana uhusiano gani na msaliti aliyetoa bandari zetu kwa wajomba zake?Hahaha haa haa..
Kumbe huyu ni mchamungu ila wengine wezi sio?
Interesting... .huyu ndo project ya Pengo?
Acha tuu ndugu[emoji16][emoji16][emoji16]dah umenikumbusha hii. Magu alikuwa na drama sana yule mwamba
Huyu mzee angeweza hata kukata moto pale kwenye wheelchair kwa kutekeleza amri tu, si yeye wala madaktari wangeweza hata kukohoa.
Kama ni mzalendo kwanini hakupinga mkataba wa DP World?Vice President watamwonea tu maskini wa Mungu na yule baba ni mcha Mungu mno kamwe hawezi kuhongeka.'
' Nakumbuka hata siku lile anakutana nao wasaidizi wake wote aliwaasa kuwa makini kwenye makubaliano ya aina yeyote.'
' Wakati wote alionyesha tai yake kwa watu wake wa karibu na kuwakumbusha uzalendo kwa Taifa letu uwe kipaumbele namba moja.'
'Mzee Mpango watu wasimfikirie vibaya jamani na kama utaona hata siku anakutana nao alivaa tai ya bendera ya Taifa ile ilikuwa inawapa maana ya uzalendo wake wale mabwana.'
Mzee hausiki jamani hahaha.