Wazoefu wote waliogopa ban.Makampuni yenye uzoefu yalikataa kazi kwakuwa wangepigwa kitu na worldbank, IMF na UNESCO
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazoefu wote waliogopa ban.Makampuni yenye uzoefu yalikataa kazi kwakuwa wangepigwa kitu na worldbank, IMF na UNESCO
Chuki za magufuli tu,ndizo zinamwongoza.Una uhakika kati ya hao wawili Kalemani ndio amekudanganya
Lkn mpango kasema kazi inaendelea vizuri hilo la subcont huenda ni mbinu ya kumaliza kazi haraka.Mmmhhh..!! Mh. Mpango anasema mkandarasi hana uzoefu wa kutosha? Sasa alipewaje kazi? Kama ni sub-contractor na hana uzoefu wa kutosha, atajenga ktk viwango vya kimataifa kweli Bwawa letu la umeme? Au ndio mwanzo wa figisu?
Mpango si alikuwa waziri wa Fedha na alikuwa mstari wa mbele ktk ujenzi wa bwawa hili na bungeni alitetea sana, kama mkandarasi hana uzoefu kwa nafasi yake akiwa waziri wa fedha alishindwa nini kusema haya leo anayosema mapema?
Hata mpango amesifia kazi nzuri inayofanywa huko bwawani hilo la subcont siyo tatizo kabisa lbd hao wanaolipwa kutafuta mabaya ya kiongozi wa awamu ya tano ndiyo wanaona wapanue midomo.Hata muitengeneze haiwezi kutokea...Aliwazidi akili kwaku document kila event na ku share na general public...Kila uzushi utakuwa na counter attack yake...Ukajipange upya!
Mleta uzi mwehu ,uwezo wa kuchambua kauli za wanasiasa ni duni kwakeUna uhakika kati ya hao wawili Kalemani ndio amekudanganya
Mkuu kuna ka clip kidogo?Wakati akitoa maelekezo alipotembelea mradi wa kufua wa umeme wa stiglers gorge , Mh. Mpango alipongeza kwa kazi nzuri unayoendelea na kuongea mengi yakiwemo
1. Mkandarasi Hana Uzoefu wa kutosha katika ufanyaji wa kazi zake huku akisema kwasababu anatumia subcontractor kwa karibu kazi zote kila sehemu. Serikali labda ilitaka mkandarasi mkuu afanye kazi zote peke yake, lakini sehemu nyingi ameweka wachina
2. Mkandarasi yupo nyuma ya mpango kazi, na kwamba amechelewa kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo mafuriko na uvico19. Kauli ambayo Kalemani amekuwa akitudanganya kuwa tupo mbele ya muda na maji yataanza kujazwa Mwezi wa 11 tarehe 15, na kuwasha mitambo June 2022( KAULI AMBAYO NI DHAHIRI ALITUDANGANYA NA ILIKUWA YA KISIASA) Laini Makamu wa Rais ameongea ukweli.
Kutokana na Kauli ya Mh. Makamu wa Rais ni DHAHIRI kuwa Mradi huu hautaweza kukamilika 2022 Wala 2023 Wala 2024 labda 2025.
Subletting in a construction project?Mkuu kuna shida. Subletting uwa ina limit. In a single contract subletting like ile ya Bwawa subletting is not supposed to be more than 25% of work. Ingelikuwa ni management contract ingelikuwa sawa
Mkuu huko kwenye google utapotea tu. Bado tuko kwenye traditional method of contract. FIDIC yunayotumia bado ina limitations ya subletting. Otherwise mada mezani siyo bwawa la NyerereSubletting in a construction project?
Subcontracting
Nimekuwekea title ya document wanayotumia kuwekewekeana makubaliano yenye maelezo yote namna kazi itakavyotekelezwa.
Ungetumia muda wako ku-google umuhimu wa ‘Project Initiator Document’ kwenye construction contracts usingeleta hizo hoja zako na ‘rule of thumb’ ya kujitungia mkandarasi awezi toa zaidi ya 25% za kazi kwa subcontractors.
Moreover PID ina include a ‘project charter’ na ‘project concept statement’ ukisoma walau definitions ya ivyo vitu vitatu vina cover nini upate basic knowledge utaona ni kwa namna gani V.P kachemka.
Mwingine jana nimemsikia ana kazia mradi kuchelewa kujenga majengo ya kupokea na kupoozea umeme; sasa kama critical path ya mradi anashindwa kuelewa anarudia yale yale ya makamu wa raisi. Kibaya zaidi wizara ya Makamba ndio main clients wa mradi surely kama waziri anaweza pata info zote.
Mtu elementary process tu za construction project zinampiga chenga na documents ambazo TANESCO tayari wanazo; wanamwacha tu aropoke.
Unajiuliza huyu waziri anajua madhara ya vitu vingine anavyolazimisha wakati ukimsikiliza unaona hata basic knowledge ya wider energy industry hana.
Anyway binafsi nadhani nimeshasema niliyotaka kusema on this thread na hakuna jipya tena kwangu; so kilatha out of this one.
Subletting maana yake umekodisha jengo na wewe umemkodisha mtu mwingine either part or the whole premise.Mkuu huko kwenye google utapotea tu. Bado tuko kwenye traditional method of contract. FIDIC yunayotumia bado ina limitations ya subletting. Otherwise mada mezani siyo bwawa la Nyerere
Kaka upo sahihi, kama kweli makamu wa rais ametamka hayo maneno, Ni mpango wa kufifisha huu mradi na soon tutasikia mengi sana, Kiongozi mzalendo hakutakiwa kuongea maneno hayo. mwaka 2022 mkataba wa songas ulikua unaisha na magu aliwaambia songas kabisa mkataba ukiisha wala wasiage waondoke, lakni naona tunarudi kulekule kuendelea na huo mkataba na bado tutaleta majenerator ya zarura, Tanesco inapoteza fedha nyingi sana kulipa overcharges za songas, huu mzigo magu alikua anautua lakn naona guys are on track again, naililia nchi yangu,Kwahiyo ndio Mpango wa kufifisha ujenzi wa bwawa hilo umeanza? Kisha watasema kasma hamna, kisha Mwezi wa kwanza na genge lake lote la msoga watasema tununue umeme wa dharula, paaap wamerudi, kazi inaendelea!
Eti mkandarasi hana uzoefu, kabla ya hii ziara, kuna ziara ya viongozi wastaafu ilitangulia eeenhe?
upo sahihi, the project will be purposely abandoned for benefit, count on meNdugu hawa ndugu wanajua wanachokitaka....Tutawaona tu sura zao kamili kabla hata mwaka haujaisha
Mwenye macho haambiwi tazama.Kwahiyo ndio Mpango wa kufifisha ujenzi wa bwawa hilo umeanza? Kisha watasema kasma hamna, kisha Mwezi wa kwanza na genge lake lote la msoga watasema tununue umeme wa dharula, paaap wamerudi, kazi inaendelea!
Eti mkandarasi hana uzoefu, kabla ya hii ziara, kuna ziara ya viongozi wastaafu ilitangulia eeenhe?
Endeleeni kutetea CCM mkijfanya hamuoni maovu yao .Mmmhhh..!! Mh. Mpango anasema mkandarasi hana uzoefu wa kutosha? Sasa alipewaje kazi? Kama ni sub-contractor na hana uzoefu wa kutosha, atajenga ktk viwango vya kimataifa kweli Bwawa letu la umeme? Au ndio mwanzo wa figisu?
Mpango si alikuwa waziri wa Fedha na alikuwa mstari wa mbele ktk ujenzi wa bwawa hili na bungeni alitetea sana, kama mkandarasi hana uzoefu kwa nafasi yake akiwa waziri wa fedha alishindwa nini kusema haya leo anayosema mapema?
Mkuu tafuta kopi za conditions of contract za FIDIC ambazo ndizo tunatumia utaelewa zaidi.. Wewe unachokiongea ni conditions tofauti na kilichopo on a particular matter on tableSubletting maana yake umekodisha jengo na wewe umemkodisha mtu mwingine either part or the whole premise.
Kwenye maswala ya kazi unapogawa baadhi ya majukumu ni subcontracting; let’s get the terminologies right first.
When you bring a ‘rule of thumb’ you have to back it up with evidence in this instance kama kuna hizo regulations Tanzania.
Otherwise customery ya project planning entails kupewa maelezo ya mtiririko wa TASKs, budget zake, control ya finances, quality management and so forth.
Jukumu la mkandarasi ni kuhakikisha kazi zinafanyika in the order of their plans (task scheduling), procedures zinafuatwa, quality inafikiwa, kuhakikisha suppliers wanapeleka necessary material, procurement, kuchagua subcontractors na kila unachojua.
So hakuna kitu kinachofanyika hapo mkandarasi hajui; kila mradi mkubwa mkandarasi anatengeneza project structure yake na ‘Responsibility Assignment Matrix’ ambapo kila hatua muhusika anatakiwa ajue na atoe habari juu; na hizo habari zinarudi mpaka kwa boss wao huko Egypt head of building department ambae si ajabu ajafika hata Tanzania lakini anaweza uelezea mradi.
Mfano subcontractor kalipwa kwa kazi fulani finance team wanaripoti kiasi gani kimetumika, ujenzi wa matundu ya kuvuta maji umeanza, sijui ukuta umeanza kujengwa civil engineer anatoa habari; na wenyewe wanapima development ya tasks in terms of percentage ya kazi.
Kazi gani anafanya physical mkandarasi anafanya mwenyewe kwenye hizo tasks inategemea ame base wapi. In practice mkandarasi wa kigeni awezi kufanya kazi nyingi vinginevyo itabidi alete watu wengi na machinery; so it’s logical asilimia kubwa ya kazi zitafanywa na local contractors na wachina wameivamia hiyo fani kwa sababu ya mitaji na uzoefu wa miradi mikubwa.
So kusema mkandarasi afanyi kazi ni kutoelewa majukumu yake, mambo yakienda kombo au mradi ukichelewa umshitaki subcontractor bali mkandarasi ndio ulie na mkataba nae.
Tumuulize naniKama hana uzoefu Kwanini alipewa kazi ?
Vigezo gani vilitumika kumpatia kazi kubwa ya kiwango hicho?
Mkuu tafuta kopi za conditions of contract za FIDIC ambazo ndizo tunatumia utaelewa zaidi.. Wewe unachokiongea ni conditions tofauti na kilichopo on a particular matter on table