Dkt. Mpango: Mkandarasi wa Bwawa la Nyerere hana Uzoefu, pia mradi upo nyuma ya muda

Dkt. Mpango: Mkandarasi wa Bwawa la Nyerere hana Uzoefu, pia mradi upo nyuma ya muda

Baada ya aliyekuwa waziri Kalemani kusema mradi wa bwawa la Julius Nyerere JNHPP wa Megawatts 2115 kutarajiwa kuanza kujazwa November 2021 kuonekana zoezi hilo halitoweza kufanyika, basi tupewe haraka mpangokazi mpya ni lini litaanza kujazwa maji na pia lini mpangokazi mpya unaonesha mradi huo utakamilika.
Ni sahihi tunafichwa Sana yaani ni uongo uongo
 
Mkandarasi wa miradi mikubwa kama hiyo anashinda tender kutokana na design yake ya mradi wote kuanzia physical project, ulinzi wa mazingira kama ecosystem, namna ya kuvuta maji and so forth with hydro power project scope.

Anakupa na costs zake za kujenga mradi, work break down structure ya wewe kuweza kufuatilia progress ya mradi kwa makubaliano ya muda wa kazi, etc.

Kazi yenyewe inafanywa na sub-contractors anachosimamia mkandarasi na ku coordinate hatua za kazi, kuangalia quality ya kazi, time, anapanga critical path ya mradi na other supervision roles.

Mtu kama makamu wa raisi awezi kwenda kwenye mradi kama huo bila ya mshauri wa maswala ya project management; hivi mbona tunaviongozi waropokaji halafu wepesi sana vichwani ukiwasikiliza.

Au anadhani huu sawa na miradi wa kujenga barabara. Yaani nchi inaviongozi wa ovyo kweli.
Mkuu unauhakika gani anachokisema amekisema bila kupata ushauri wa wataalum wahayo mambo
 
"Timu ya Taifa ya Wahandisi" kikosi Mahiri cha Wahandisi wazawa katika mradi wa JNHPP / STIEGLER'S GORGE RUFIJI

Mhandisi Robert Kabudi mwenye miaka 20 ya kusimamia miradi mikubwa ya ujenzi nje ya Tanzania pamoja na wahandisi wengine mahiri wazalendo wapo ktk mradi wa ujenzi wa Bwawa la Umeme la Rufiji linatotegemewa kuzalisha 2115 MW wa umeme Tanzania. Mhandisi Robert Kabudi anaitaja timu hiyo ya watu 21, kikosi anacho kibainisha kama timu ya kutizamwa duniani.



Timu hiyo ya wahandisi wa kiTanzania walio na ujuzikazi kwa vitendo, kuna mhandisi aliyepata kusimamia mradi wa kiwanja cha ndege cha Dubai kilichokuwa na bajeti ya zaidi ya US$ 3.5Bn. Miradi mikubwa ya Qatar, Abu Dhabi, Botswana , World Cup Africa Kusini 'wachezaji' wake waTanzania wazalendo wahandisi walishiriki ktk ujenzi huko ughaibuni.

Wahandisi hao chini ya kitengo cha Tanroads Engineering Consultanting Unit TECU wana kiu ya kuongeza CV zao ktk mradi huu wa Rufiji wenye bajeti kubwa kuliko iliyotumika ktk ujenzi wa Uwanja Mkubwa Mpya wa Ndege Dubai na hivyo si tu kuitambulusha Tanzania bali hata wahandisi wazalendo kwa ulimwengu kukitokea mradi wowote mkubwa nje ya Tanzania.

Soma zaidi source :

 
"Timu ya Taifa ya Wahandisi" kikosi Mahiri cha Wahandisi wazawa katika mradi wa JNHPP / STIEGLER'S GORGE RUFIJI

Mhandisi Robert Kabudi mwenye miaka 20 ya kusimamia miradi mikubwa ya ujenzi nje ya Tanzania pamoja na wahandisi wengine mahiri wazalendo wapo ktk mradi wa ujenzi wa Bwawa la Umeme la Rufiji linatotegemewa kuzalisha 2115 MW wa umeme Tanzania. Mhandisi Robert anaitaja timu hiyo ya watu 21, kikosi anacho kibainisha kama timu ya kutizamwa duniani.



Timu hiyo ya wahandisi wa kiTanzania walio na ujuzikazi kwa vitendo, kuna mhandisi aliyepata kusimamia mradi wa kiwanja cha ndege cha Dubai kilichokuwa na bajeti ya zaidi ya US$ 3.5Bn. Miradi mikubwa ya Qatar, Abu Dhabi, Botswana , World Cup Africa Kusini wachezaji wake waTanzania wazalendo walishiriki ktk ujenzi huko ughaibuni.

Wahandisi hao chini ya kitengo cha Tanroads Engineering Consultanting Unit TECU wana kiu ya kuongeza CV zao ktk mradi huu wa Rufiji wenye bajeti kubwa kuliko iliyotumika ktk ujenzi wa Uwanja Mkubwa Mpya wa Ndege Dubai na hivyo si tu kuitambulusha Tanzania bali hata wahandisi wazalendo kwa ulimwengu kukitokea mradi wowote mkubwa nje ya Tanzania.

Soma zaidi source :


Wahandisi huwa wanaweka uhandisi pembeni wanafuata siasa
 
Mkuu unauhakika gani anachokisema amekisema bila kupata ushauri wa wataalum wahayo mambo
Ametoa lawama za jumla jumla, for starters sub-contractor afiki site na kujifanyia kazi tu. Anachojenga ni sehemu ya design ya mradi with specification alizopewa na main contractor na kuna mtu ana majukumu ya kuangalia kiwango cha kazi.

Sasa utasemaje sub-contractor anajua kazi kushinda main contractor.

Pili analaumu kutokujengwa kwa majengo ya kupokea umeme, kama unafahamu critical path analysis ya project kuna shughuli hazina ulazima kwanza kama hatua fulani bado azijafikiwa.

Ni hivi alitakiwa kuongea na contractor kwanza kujibuwa hoja zake au ashauriwe kuhusu project management kabla ya kutoa lawama ambazo azieleweki.
 
Power is the ability to make someone do something otherwise he wouldn’t do.

Ndio njaa aliyoenyesha Dr Mpango kwa maelezo yake ya jumla jumla kwa akili za kawaida tu mradi kama huo una ‘project structure’ yake kujua nani ana majukumu gani, OBS kujua usimamizi wake, RAM kusaidia flow of information mpaka kwa raisi mwenyewe.

Sasa kusikiliza kiongozi anaporoka mpaka wewe raia ndio unaona aibu; hata sijui hilo swala unaliweka wapi.

Njaa ndio silaha inayotumiwa sana nchi yetu kuwanyamazisha viongozi wenye kuhoji hasa wabunge.

Mfano Ndugai anapenda kuwapiga mikwara sana wabunge kama alivyomtisha Jerry Slaa. Ya kuwa kanuni karibu zote zinamtaja yeye kama muamuzi bungeni na yupo kwenye kamati kuu ya CCM kwenye mchujo wa wabunge.

Maana yake wabunge wasiende njee ya mitazamo yake na wasihoji asiyoyapenda what an idiot.

Binafsi kama vile naanza kukubali yaishe; hii vita ni kati ya wazalendo na mafisadi ndani ya vyombo vyetu vya usalama.

Bila ya backup ya upande ni kujiweka in the middle of firing squads.

Nonetheless aina maana ntaacha kusemea maslahi yangu what CCM does and opposition struggle is not my problem (let’s face as yet hakuna mbadala wa CCM pamoja na mapungufu yao).

Good Morning [emoji112]

That last phrase in parentheses presents you as diehard CCM disciple. It’s simply a fallacy. In that context, the entire content can’t be rationalised.

No wonder CCM gangs have so successfully consolidated their relentless rule over this godforsaken land full of ignorants and the gullible chiefly by intrigue.
 
That last phrase in parentheses presents you as diehard CCM disciple. It’s simply a fallacy. In that context, the entire content can’t be rationalised.

No wonder CCM gangs have so successfully consolidated their relentless rule over this godforsaken land full of ignorants and the gullible chiefly by intrigue.
Even a parliament which is pretty much made up of CCM MPs have various committees to scrutinise government business.

I see no wrong in highlighting the V.P shortfalls if he is going to blame people for their work at least show educated knowledge on the matter.

Besides this is a non partisan issue, not that I am a fully subscribed die hard CCM fan. That being said I am entitled to expressing my views independently.
 
Moja ya athari za kutumia sub-contractors wengi bila shaka itakuwa ni kuongeza gharama za mradi na hizi gharama zinabebeshwa walipa kodi masikini wa nchi hii.
Ahaaaa sub-contractors hawakupatana bei na magufuli sasa kwanin utoe lawama kwa sub-contractors.
 
Wakati akitoa maelekezo alipotembelea mradi wa kufua wa umeme wa stiglers gorge , Mh. Mpango alipongeza kwa kazi nzuri unayoendelea na kuongea mengi yakiwemo

1. Mkandarasi Hana Uzoefu wa kutosha katika ufanyaji wa kazi zake huku akisema kwasababu anatumia subcontractor kwa karibu kazi zote kila sehemu. Serikali labda ilitaka mkandarasi mkuu afanye kazi zote peke yake, lakini sehemu nyingi ameweka wachina

2. Mkandarasi yupo nyuma ya mpango kazi, na kwamba amechelewa kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo mafuriko na uvico19. Kauli ambayo Kalemani amekuwa akitudanganya kuwa tupo mbele ya muda na maji yataanza kujazwa Mwezi wa 11 tarehe 15, na kuwasha mitambo June 2022( KAULI AMBAYO NI DHAHIRI ALITUDANGANYA NA ILIKUWA YA KISIASA) Laini Makamu wa Rais ameongea ukweli.

Kutokana na Kauli ya Mh. Makamu wa Rais ni DHAHIRI kuwa Mradi huu hautaweza kukamilika 2022 Wala 2023 Wala 2024 labda 2025.
Khy ina maana huyu Mkandarasi ilikuwa ni single source?
 
Wakati akitoa maelekezo alipotembelea mradi wa kufua wa umeme wa stiglers gorge , Mh. Mpango alipongeza kwa kazi nzuri unayoendelea na kuongea mengi yakiwemo

1. Mkandarasi Hana Uzoefu wa kutosha katika ufanyaji wa kazi zake huku akisema kwasababu anatumia subcontractor kwa karibu kazi zote kila sehemu. Serikali labda ilitaka mkandarasi mkuu afanye kazi zote peke yake, lakini sehemu nyingi ameweka wachina

2. Mkandarasi yupo nyuma ya mpango kazi, na kwamba amechelewa kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo mafuriko na uvico19. Kauli ambayo Kalemani amekuwa akitudanganya kuwa tupo mbele ya muda na maji yataanza kujazwa Mwezi wa 11 tarehe 15, na kuwasha mitambo June 2022( KAULI AMBAYO NI DHAHIRI ALITUDANGANYA NA ILIKUWA YA KISIASA) Laini Makamu wa Rais ameongea ukweli.

Kutokana na Kauli ya Mh. Makamu wa Rais ni DHAHIRI kuwa Mradi huu hautaweza kukamilika 2022 Wala 2023 Wala 2024 labda 2025.
KIGUGUMIZA KINANIJIA KWA HARAKA SAANA. HIVI WIZARA HAIKUGUNDUA HILO? JE YEYE KAGUNDUAJE? SIFA ALIPATA LINI NA ZIMEYEYUKA LINI?
 
Miradi mikubwa aijengwi na architecture mwenyewe; sub contractors ndio wanafanya kazi.

Labda kwa sababu hatuna uzoefu wa miradi mikubwa; kinyerezi power plant nadhani ni Germany design sasa ule mradi umejengwa na wajerumani wenyewe au subcontractors na kusimamia na ma-engineer wa kitanzania.

Ungelikuwa mradi wa wachina ungewaona wao tu.
BRT phase 1 ilijengwa na mkandarasi mkuu pekee?
Tuliona wahindi, watanzania na wengineo siyo wajerumani tu.
 
Mmmhhh..!! Mh. Mpango anasema mkandarasi hana uzoefu wa kutosha? Sasa alipewaje kazi? Kama ni sub-contractor na hana uzoefu wa kutosha, atajenga ktk viwango vya kimataifa kweli Bwawa letu la umeme? Au ndio mwanzo wa figisu?
Mpango si alikuwa waziri wa Fedha na alikuwa mstari wa mbele ktk ujenzi wa bwawa hili na bungeni alitetea sana, kama mkandarasi hana uzoefu kwa nafasi yake akiwa waziri wa fedha alishindwa nini kusema haya leo anayosema mapema?
Ndio ujue tunaposema ccm ni chama cha mafisadi tuna maanisha nini!

Alafu toka lini waziri wa fedha akajua mambo ya ujenzi? Nilitarajia useme waziri wa ujenzi na nishati ndio wawajibike!
 
Una uhakika kati ya hao wawili Kalemani ndio amekudanganya
Mkandarasi ametoa sababu za ucheweshaji ambazo zinatokana na majanga yasiyopangwa (disasters) halafu bado unasema ulidanganywa nyie majizi mnashida sana? Hizi siasa uchwara zinawaharibu sana ili mradi sifa ziende kwa kimnyamkera!!
 
Mkandarasi wa miradi mikubwa kama hiyo anashinda tender kutokana na design yake ya mradi wote kuanzia physical project, ulinzi wa mazingira kama ecosystem, namna ya kuvuta maji and so forth with hydro power project scope.

Anakupa na costs zake za kujenga mradi, work break down structure ya wewe kuweza kufuatilia progress ya mradi kwa makubaliano ya muda wa kazi, etc.

Kazi yenyewe inafanywa na sub-contractors anachosimamia mkandarasi na ku coordinate hatua za kazi, kuangalia quality ya kazi, time, anapanga critical path ya mradi na other supervision roles.

Mtu kama makamu wa raisi awezi kwenda kwenye mradi kama huo bila ya mshauri wa maswala ya project management; hivi mbona tunaviongozi waropokaji halafu wepesi sana vichwani ukiwasikiliza.

Au anadhani huu sawa na miradi wa kujenga barabara. Yaani nchi inaviongozi wa ovyo kweli.
Nilidhani ungekuja na proof kwamba Arab contractors wana uzoefu wa kutosha kwa kusimamia miradi AB na C ya same nature na magnitude kama hii na ikakimilika vizuri na pia Sitaki kuamini kuwa mkandarasi mkuu aliajiriwa kama project manager wa huu mradi sasa serikali na mashirika yake yote inafanya nini kama si kula ela za walala hoi bure..
 
nilidhani ungekuja na proof kwamba Arab contractors wana uzoefu wa kutosha kwa kusimamia miradi AB na C na ikakimilika vizuri. Sitaki kuamini kuwa mkandarasi mkuu aliajiriwa kama project manager sasa serikali na mashirika yake yote inafanya nini kama si kula ela za walala hoi bure..
Hii nayo yakuangaliwa
 
Mradi mkubwa hivyo ataweza kufanya mwenyewe?hapo lazima kuwe kuna ma subcontractors hata 20 ikiwezekana wote wanasimamiwa na Arab, kwa matamshi ya mtu utajua tuu leadership style
 
BRT phase 1 ilijengwa na mkandarasi mkuu pekee?
Tuliona wahindi, watanzania na wengineo siyo wajerumani tu.
Nadhani ndio nilichosema pia kwenye mradi wa Kinyerezi.

Isitoshe kila mradi ni tofauti na kila contractor anagawa kazi kutokana na uwezo wake depending on various tasks of the project.

Mimi sijafuatilia mradi wa BRT lakini hakuna contractor mwenye wafanyakazi wa full time, so lazima atatafuta mtu wa kumpatia man power hiyo tayari ni definition ya sub-contracting.

Issue hapa ni lawama za V.P kwenye mradi wa Stiglers.
 
Back
Top Bottom